Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,090
Clouds FM wamegusia wataliongelea katika JAHAZI saa 11 hii hebu tusikilize...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmh mashabiki wa mnyika mna mambo? why ubungo ? halafu wameona gari la chadema wakakimbia? walikuwa wapi? barabarani au? aliyekuwa anawangalia hao jamaa na gari la chadema nani? alikaa wapi? akashuhudia watu wenye daftari la kupiga kura wakikimbia huku gari ya chadema ikija mmmmmmh
mmh yaani acha tu siasa zitatuua na tutasikia mengi sana mwaka huu ......huu ni mwanzo
Let us not jump to a judgement maana hata vyombo vya habari vimeanza kutangaza, hadi kesho tunaweza kujua ukweli wote.Mmemsahau huyo Kilewo alivyosema ana report live toka vikao vya NEC ya CCM Dodoma na yeye mwenyewe akiwa mjumbe wa NEC?
Hivi watu wengine mnapata nini kuja kuwadanganya wana JF? Huyo jamaa ni mwongo na mzushi na threads zake safari zote ni uzushi huo huo.
Jamaa nafikiri yupo JF kupotosha ukweli na sio ku report ukweli.
Ni kweli tuvute subira.....Let us not jump to a judgement maana hata vyombo vya habari vimeanza kutangaza, hadi kesho tunaweza kujua ukweli wote.
Ni kweli tuvute subira.....
Mmemsahau huyo Kilewo alivyosema ana report live toka vikao vya NEC ya CCM Dodoma na yeye mwenyewe akiwa mjumbe wa NEC?
Hivi watu wengine mnapata nini kuja kuwadanganya wana JF? Huyo jamaa ni mwongo na mzushi na threads zake safari zote ni uzushi huo huo.
Jamaa nafikiri yupo JF kupotosha ukweli na sio ku report ukweli.
baada ya mtuhumiwa kushikiliwa na polisi na kuhojiwa na kkmtaja mtendaji kata polisi walimfuta mtendaji wa kata ya mbezi na kumkamata kwa mahojiano na katika mahojiano hayo mtendaji huyo alidai ni kweli walikuwa wanafanya tukio hilo, ila walitumwa na mh,SHAMSA MANGUNGA na nizaidi ya vitambulisho elfu 2000 wamekwisha vigawa , picha hizo walipigia maeneo ya shule inayo itwa moutain villar , kwasasa ndiyo tunaeleka kituo cha mbezi na wahandishi wa habari nitaendelea kuwa juzi mambo yanavyo endelea
baada ya mtuhumiwa kushikiliwa na polisi na kuhojiwa na kkmtaja mtendaji kata polisi walimfuta mtendaji wa kata ya mbezi na kumkamata kwa mahojiano na katika mahojiano hayo mtendaji huyo alidai ni kweli walikuwa wanafanya tukio hilo, ila walitumwa na mh,SHAMSA MANGUNGA na nizaidi ya vitambulisho elfu 2000 wamekwisha vigawa , picha hizo walipigia maeneo ya shule inayo itwa moutain villar , kwasasa ndiyo tunaeleka kituo cha mbezi na wahandishi wa habari nitaendelea kuwa juzi mambo yanavyo endelea
Hii nomaaaaa
Asante sana kilewo watu walianza kuwa na wasiwasi na habari yako walifikiri ni yule yule tena Mjumbe wa NEC Dodoma. Ukweli nimeshangaa kama si kusikitika zaidi ya vitambulisho 2000 is a big issue, hivi CCM wana wasiwasi gani kiasi hiki kama walifanya mazuri waache watu wawahukumu kwa mazuri yao lakini kuhangaika hivi wanaweza hata kusababisha uvunjifu wa amani, lakini still watu humu kama walivyozoea watatuambia haya ni mambo ya kawaida wait n see.baada ya mtuhumiwa kushikiliwa na polisi na kuhojiwa na kkmtaja mtendaji kata polisi walimfuta mtendaji wa kata ya mbezi na kumkamata kwa mahojiano na katika mahojiano hayo mtendaji huyo alidai ni kweli walikuwa wanafanya tukio hilo, ila walitumwa na mh,SHAMSA MANGUNGA na nizaidi ya vitambulisho elfu 2000 wamekwisha vigawa , picha hizo walipigia maeneo ya shule inayo itwa moutain villar , kwasasa ndiyo tunaeleka kituo cha mbezi na wahandishi wa habari nitaendelea kuwa juzi mambo yanavyo endelea
baada ya mtuhumiwa kushikiliwa na polisi na kuhojiwa na kkmtaja mtendaji kata polisi walimfuta mtendaji wa kata ya mbezi na kumkamata kwa mahojiano na katika mahojiano hayo mtendaji huyo alidai ni kweli walikuwa wanafanya tukio hilo, ila walitumwa na mh,SHAMSA MANGUNGA na nizaidi ya vitambulisho elfu 2000 wamekwisha vigawa , picha hizo walipigia maeneo ya shule inayo itwa moutain villar , kwasasa ndiyo tunaeleka kituo cha mbezi na wahandishi wa habari nitaendelea kuwa juzi mambo yanavyo endelea
Give a break Kilewo....habari hii ni ya kweli?
makubwa hayo
fita ni fita mura