Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
Chama cha chadema kimefanya kazi ya ziada leo hii mitaa ya mbezi baada ya kupokea taarifa kutoka kwa wasamaria wema kuhusu hujuma zinazofanywa na wafuasi wa ccm, mpaka sasa mtuhumiwa anahojiwa hapa kituo cha mbezi wenzake kumi wamekimbia baada ya kuona gari ya chadema ikiwa inaongozwa na SABURA :eyeroll2: