Chadema ya gonga mwamba udom,jitihada za kuitisha mgomo na maandamano yashindikana!

Mlengo wa Kati

JF-Expert Member
Feb 16, 2011
2,730
492
Siku ya jumamosi tarehe 26 March ilikua na hekaheka za kufanyika kwa College Baraza,College ya Social Science and Humanity! Kabla ya Baraza hilo kulikua na maandalizi ya Wafuasi wa CHADEMA hapa UDOM kuhamasisha mgomo usio na kikomo kwa mambo matatu:
1.Kuandamana kudai katiba Mpya
2.Kumkataa Profesa Mlacha (DVC Finance and Administration)
3.Kukataa Wanafunzi wa humanity kuhamia kwenye mabweni yao yaliyojengwa kwa madai kuwa hakuna huduma bora!
Mheshimiwa Tundu Lissu(MB) alifika hapa dodoma siku ya Jumatano kwa ajiri ya kuongea na wanaharakati wa CHADEMA kuhusu maandalizi hayo,kikao cha kwanza kilfanyikia mjini Nam Hotel kikiwa na Vijana 20 wa Udom. Kikao kingine kilifanyikia eneo la Makulu ambalo liko karibu na Chuo. Kikao hicho hakikuhudhuliwa na Mh Lissu siku ya Ijumaa bali alikuja Mtu mmoja alie jitambulishakuwa anatoka makao makuu ya CHADEMA dar es salam pamoja na Lecturer mmoja ambae ni kiongozi wa UDOMASA.
Mheshimiwa Lissu alikutana na Bwana Singo Rais wa College ya Social Science kumwambia umhimu wa mgomo huo na kwamba lazima ajue kuna maisha baada ya Chuo.
Mheshimwa Lissu alitoa Shilingi Milion 3 kwa ajili ya vijana kufanya kazi,ugomvi mkubwa ulianzia hapa baada ya baadhi yao kusema mgawo wa pesa utafanyika baaada ya siku ya pili ya mgomo! Siri yote ilivuja kwani kulibandikwa matangazo kila kona ya college yenye ujumbe TUMEKUJA KUSOMA SIO KUFANYA SIASA,CHADEMA ACHENI TUSOME,na jingine lilisema PEOPLES POWER INATUHARIBIA CHUO,UDOM SIO CHUO CHA KUFUNDISHA MIGOMO!
Siku ya Baraza kulikua na vituko kwani kabla ya Rais Kuanza kuongea watu wakaanza kuimba hatutaki mgomo wa kisiasa! Na mwisho wa Baraza mambo yakawa magumu kufikia maamuzi ya kugoma!
 
Lissu ni mwanasheria sidhani kama anaweza kutoa pesa waziwazi kiasi hicho kuanzisha mgomo nakushauri chunga sana maandishi yako yasije yakakupeleka pabaya.
 
Wakati mwingine kukaa kimya kunaweza kukujenga kibusara kuliko kuandika utumbo....
 
Ndugu yangu hizo story za kutunga tumezizoea CHADEMA. Tumeshasema HATUDANGANYIKI. MBONA HAMSIKII?
 
Siku ya jumamosi tarehe 26 March ilikua na hekaheka za kufanyika kwa College Baraza,College ya Social Science and Humanity! Kabla ya Baraza hilo kulikua na maandalizi ya Wafuasi wa CHADEMA hapa UDOM kuhamasisha mgomo usio na kikomo kwa mambo matatu:
1.Kuandamana kudai katiba Mpya
2.Kumkataa Profesa Mlacha (DVC Finance and Administration)
3.Kukataa Wanafunzi wa humanity kuhamia kwenye mabweni yao yaliyojengwa kwa madai kuwa hakuna huduma bora!
Mheshimiwa Tundu Lissu(MB) alifika hapa dodoma siku ya Jumatano kwa ajiri ya kuongea na wanaharakati wa CHADEMA kuhusu maandalizi hayo,kikao cha kwanza kilfanyikia mjini Nam Hotel kikiwa na Vijana 20 wa Udom. Kikao kingine kilifanyikia eneo la Makulu ambalo liko karibu na Chuo. Kikao hicho hakikuhudhuliwa na Mh Lissu siku ya Ijumaa bali alikuja Mtu mmoja alie jitambulishakuwa anatoka makao makuu ya CHADEMA dar es salam pamoja na Lecturer mmoja ambae ni kiongozi wa UDOMASA.
Mheshimiwa Lissu alikutana na Bwana Singo Rais wa College ya Social Science kumwambia umhimu wa mgomo huo na kwamba lazima ajue kuna maisha baada ya Chuo.
Mheshimwa Lissu alitoa Shilingi Milion 3 kwa ajili ya vijana kufanya kazi,ugomvi mkubwa ulianzia hapa baada ya baadhi yao kusema mgawo wa pesa utafanyika baaada ya siku ya pili ya mgomo! Siri yote ilivuja kwani kulibandikwa matangazo kila kona ya college yenye ujumbe TUMEKUJA KUSOMA SIO KUFANYA SIASA,CHADEMA ACHENI TUSOME,na jingine lilisema PEOPLES POWER INATUHARIBIA CHUO,UDOM SIO CHUO CHA KUFUNDISHA MIGOMO!
Siku ya Baraza kulikua na vituko kwani kabla ya Rais Kuanza kuongea watu wakaanza kuimba hatutaki mgomo wa kisiasa! Na mwisho wa Baraza mambo yakawa magumu kufikia maamuzi ya kugoma!

Utakuwa ni kibaraka wa ccm.Yote aliyosema ni uwongo mtupu kwani jana jumapili ndio Chadema walikutana na uliyosema hata moja halikuwepo. Acha kupotosha umma.
 
kaka we ni mzushi sana,nimetoka kuongea na BAISI ambaye ni raisi wa chuo amesema ni uzushi tuu hakuna kitu kama hicho,kama hiyo haitoshi nimeongea na DANIEL NKENDA ambaye ni kiongozi mwandamizi wa chadema hapo UDOM pia amekanusha habari hyo na kudai hawawezi kukubali chadema kutumika katika mambo ya kipuuzi,kwa kuongezea bwana Dan ameniambia sasa wameshakamilisha mchakato wa kupata ofisi ya chama pale ngo'ng'ona na siku yoyote mwezi ujao(april) wanatarajia kufungua tawi rasmi chuoni hapo na wanatarajia Slaa kuwa ni mgeni rasmi
 
Kazi kweli kweli, unajua kwa sasa ni ngumu sana kumanuplate data, watu kwa sasa ni waelewa tofauti na siku za nyuma, sasa hapa CHADEMA inahusishwa na school baraza kivipi?
 
kweli kama wewe ni mwanaume nitakuvisha kanga kisha nikuweke mkono juu kwani utakuwa haujitambui.
Baraza la wanafunzi walikutana juma mosi nikiwa ndani mbona sikusikia hayo? Pili chadema walikutana juma pili iyo ijumaa imetoka wapi?
Tatu hayo matangazo yaliyobandikwa kila kona ulibandika wewe chumbani mwako kwani mbona ata kipisi cha karatasi hatujaona kinavyosema ivyo?
 
Hata mie nilisikia hii HABARI.

Inasemekana SIKU ya pili alikuja Sophia Simba na kutoa dau kubwa zaidi ili Wasigome.

Inaonekana Sophia Simba alishinda na mgomo ukaisha.

Msicheze na MTANI wangu Sophia Simba.

Pichani, Sophia Simba akiendeleza KUWALAMBISHA watu NOTI zake......
vicky.jpg
 
Siku ya jumamosi tarehe 26 March ilikua na hekaheka za kufanyika kwa College Baraza,College ya Social Science and Humanity! Kabla ya Baraza hilo kulikua na maandalizi ya Wafuasi wa CHADEMA hapa UDOM kuhamasisha mgomo usio na kikomo kwa mambo matatu:
1.Kuandamana kudai katiba Mpya
2.Kumkataa Profesa Mlacha (DVC Finance and Administration)
3.Kukataa Wanafunzi wa humanity kuhamia kwenye mabweni yao yaliyojengwa kwa madai kuwa hakuna huduma bora!
Mheshimiwa Tundu Lissu(MB) alifika hapa dodoma siku ya Jumatano kwa ajiri ya kuongea na wanaharakati wa CHADEMA kuhusu maandalizi hayo,kikao cha kwanza kilfanyikia mjini Nam Hotel kikiwa na Vijana 20 wa Udom. Kikao kingine kilifanyikia eneo la Makulu ambalo liko karibu na Chuo. Kikao hicho hakikuhudhuliwa na Mh Lissu siku ya Ijumaa bali alikuja Mtu mmoja alie jitambulishakuwa anatoka makao makuu ya CHADEMA dar es salam pamoja na Lecturer mmoja ambae ni kiongozi wa UDOMASA.
Mheshimiwa Lissu alikutana na Bwana Singo Rais wa College ya Social Science kumwambia umhimu wa mgomo huo na kwamba lazima ajue kuna maisha baada ya Chuo.
Mheshimwa Lissu alitoa Shilingi Milion 3 kwa ajili ya vijana kufanya kazi,ugomvi mkubwa ulianzia hapa baada ya baadhi yao kusema mgawo wa pesa utafanyika baaada ya siku ya pili ya mgomo! Siri yote ilivuja kwani kulibandikwa matangazo kila kona ya college yenye ujumbe TUMEKUJA KUSOMA SIO KUFANYA SIASA,CHADEMA ACHENI TUSOME,na jingine lilisema PEOPLES POWER INATUHARIBIA CHUO,UDOM SIO CHUO CHA KUFUNDISHA MIGOMO!
Siku ya Baraza kulikua na vituko kwani kabla ya Rais Kuanza kuongea watu wakaanza kuimba hatutaki mgomo wa kisiasa! Na mwisho wa Baraza mambo yakawa magumu kufikia maamuzi ya kugoma!
Huna hata aibu? nina mashaka na uwezo wako wa scan mambo!
 
Upumbavu mwengine hauna hata haja ya kujadiliwa leten thread zenye changamoto ya wapi tulipo na tunakwenda wapi.
 
Hata mie nilisikia hii HABARI.

Inasemekana SIKU ya pili alikuja Sophia Simba na kutoa dau kubwa zaidi ili Wasigome.

Inaonekana Sophia Simba alishinda na mgomo ukaisha.

Msicheze na MTANI wangu Sophia Simba.

Pichani, Sophia Simba akiendeleza KUWALAMBISHA watu NOTI zake......
vicky.jpg

Akutukanaye akuchagulii tusi. Pia wewe unaunga mkono?
 
Siku ya jumamosi tarehe 26 March ilikua na hekaheka za kufanyika kwa College Baraza,College ya Social Science and Humanity! Kabla ya Baraza hilo kulikua na maandalizi ya Wafuasi wa CHADEMA hapa UDOM kuhamasisha mgomo usio na kikomo kwa mambo matatu:
1.Kuandamana kudai katiba Mpya
2.Kumkataa Profesa Mlacha (DVC Finance and Administration)
3.Kukataa Wanafunzi wa humanity kuhamia kwenye mabweni yao yaliyojengwa kwa madai kuwa hakuna huduma bora!
Mheshimiwa Tundu Lissu(MB) alifika hapa dodoma siku ya Jumatano kwa ajiri ya kuongea na wanaharakati wa CHADEMA kuhusu maandalizi hayo,kikao cha kwanza kilfanyikia mjini Nam Hotel kikiwa na Vijana 20 wa Udom. Kikao kingine kilifanyikia eneo la Makulu ambalo liko karibu na Chuo. Kikao hicho hakikuhudhuliwa na Mh Lissu siku ya Ijumaa bali alikuja Mtu mmoja alie jitambulishakuwa anatoka makao makuu ya CHADEMA dar es salam pamoja na Lecturer mmoja ambae ni kiongozi wa UDOMASA.
Mheshimiwa Lissu alikutana na Bwana Singo Rais wa College ya Social Science kumwambia umhimu wa mgomo huo na kwamba lazima ajue kuna maisha baada ya Chuo.
Mheshimwa Lissu alitoa Shilingi Milion 3 kwa ajili ya vijana kufanya kazi,ugomvi mkubwa ulianzia hapa baada ya baadhi yao kusema mgawo wa pesa utafanyika baaada ya siku ya pili ya mgomo! Siri yote ilivuja kwani kulibandikwa matangazo kila kona ya college yenye ujumbe TUMEKUJA KUSOMA SIO KUFANYA SIASA,CHADEMA ACHENI TUSOME,na jingine lilisema PEOPLES POWER INATUHARIBIA CHUO,UDOM SIO CHUO CHA KUFUNDISHA MIGOMO!
Siku ya Baraza kulikua na vituko kwani kabla ya Rais Kuanza kuongea watu wakaanza kuimba hatutaki mgomo wa kisiasa! Na mwisho wa Baraza mambo yakawa magumu kufikia maamuzi ya kugoma!


jamaa wana kazi kweli ya kuzunguka vyuoni kuhamasiha migomo nadhani safari hii wataishia patupu hagomi mtu si wanafunzi wala walimu, tumewashtukia na agenda zao binafsi! wanataka migomo iwe ndio njia njia ya kuingilia ikulu, hagomi mtu tena, hata mgomo wa mwanzo wa social science jamaa alikuja few days before!!

na UDOMASA safari hii mtagoma wenyewe na padri wenu wa chadema, tumechoka na wimbo wenu wa kumtoa DVC-PFA vikao kila siku manafundisha saa ngapi? hamisi, idi, paul, padri, mtumishi, mjauzi, et al wengine hata sio excome lakini kwenye vikao vya udomasa hamkosi kisa mlacha aondoke, hilo dua la mwewe halimpati kuku!

madau yameshughulikiwa na mnajua tatizo lilikuwa wapi wenyewe mmefuatilia hazina mmeona sasa hivi vikao vya kila siku ohhh mlacha mlacha, tugome tugome vya nini? wasomi wazima hata kuchuja mnashindwa mnaburuzwa na ubinafsi, be informed this time NO mgomo UDOMASA wala UDOSO hata chadema mje muweke kambi
 
HTML:
Mlengo wa Kati
Today 06:41 PM #1        
Senior Member
       
Join Date : 16th February 2011
Posts : 102
Thanks
33
Thanked 20 Times in 12 Posts
Rep Power : 21

Kuna watu wametumwa mahsusi kuchafua jukwaa!!!:smash: Tuwe makini sana na hawa watoto!!
 
  • Thanks
Reactions: Iza
Siku ya jumamosi tarehe 26 March ilikua na hekaheka za kufanyika kwa College Baraza,College ya Social Science and Humanity! Kabla ya Baraza hilo kulikua na maandalizi ya Wafuasi wa CHADEMA hapa UDOM kuhamasisha mgomo usio na kikomo kwa mambo matatu:
1.Kuandamana kudai katiba Mpya
2.Kumkataa Profesa Mlacha (DVC Finance and Administration)
3.Kukataa Wanafunzi wa humanity kuhamia kwenye mabweni yao yaliyojengwa kwa madai kuwa hakuna huduma bora!
Mheshimiwa Tundu Lissu(MB) alifika hapa dodoma siku ya Jumatano kwa ajiri ya kuongea na wanaharakati wa CHADEMA kuhusu maandalizi hayo,kikao cha kwanza kilfanyikia mjini Nam Hotel kikiwa na Vijana 20 wa Udom. Kikao kingine kilifanyikia eneo la Makulu ambalo liko karibu na Chuo. Kikao hicho hakikuhudhuliwa na Mh Lissu siku ya Ijumaa bali alikuja Mtu mmoja alie jitambulishakuwa anatoka makao makuu ya CHADEMA dar es salam pamoja na Lecturer mmoja ambae ni kiongozi wa UDOMASA.
Mheshimiwa Lissu alikutana na Bwana Singo Rais wa College ya Social Science kumwambia umhimu wa mgomo huo na kwamba lazima ajue kuna maisha baada ya Chuo.
Mheshimwa Lissu alitoa Shilingi Milion 3 kwa ajili ya vijana kufanya kazi,ugomvi mkubwa ulianzia hapa baada ya baadhi yao kusema mgawo wa pesa utafanyika baaada ya siku ya pili ya mgomo! Siri yote ilivuja kwani kulibandikwa matangazo kila kona ya college yenye ujumbe TUMEKUJA KUSOMA SIO KUFANYA SIASA,CHADEMA ACHENI TUSOME,na jingine lilisema PEOPLES POWER INATUHARIBIA CHUO,UDOM SIO CHUO CHA KUFUNDISHA MIGOMO!
Siku ya Baraza kulikua na vituko kwani kabla ya Rais Kuanza kuongea watu wakaanza kuimba hatutaki mgomo wa kisiasa! Na mwisho wa Baraza mambo yakawa magumu kufikia maamuzi ya kugoma!

Inapendeza kuona kundi la akina Kashaga, Zubeda, wewe na wengineo mnavyojaribu kucheza karata zenu bila mafanikio. Ndugu yangu hapa ni pagumu kuna watu wenye akili zao hapa. Lakini kumbuka wewe sio mmoja wa watu wanaokwenda kutibiwa wala kusomesha watoto ulaya ila unakula makombo bila kujali wanao watarithi nini katika nchi hii !!!!

Mtu mzima ovyo!!!!!

Tiba
 
Inapendeza kuona kundi la akina Kashaga, Zubeda, wewe na wengineo mnavyojaribu kucheza karata zenu bila mafanikio. Ndugu yangu hapa ni pagumu kuna watu wenye akili zao hapa. Lakini kumbuka wewe sio mmoja wa watu wanaokwenda kutibiwa wala kusomesha watoto ulaya ila unakula makombo bila kujali wanao watarithi nini katika nchi hii !!!!

Mtu mzima ovyo!!!!!

Tia
hivi kashaga yuko wapi siku hizi simuoni,yule jamaa kwa pumba kiboko
 
hivi kashaga yuko wapi siku hizi simuoni,yule jamaa kwa pumba kiboko

Kashaga amesepa kwa lugha ya kileo. Nafikiri atarudi hapa kwa jina jipya, lakini nina imani tutamgundua tu.

Tiba
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom