Chadema wazidi kukata tamaa Arumeru Mashariki washindwa kukubalika

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,918
32,335
Wanabodi,
Hii ndio wiki ya mwisho kwenye kampeni za uchaguzi mdogo jimbo la Arumeru Mashariki hali ni ngumu kwa Chadema.

Timu ya kampeni ya CCM inayoongozwa na Mwigulu Nchemba, Steven Wassira, Christopher Ole Sendeka, Livingstone Lusinde chini ya Edward Lowassa.

Hawa jamaa wamefanikiwa kufunika kabisa siasa za Chadema kwenye kampeni huko Arumeru Mashariki.

Timu ya kampeni ya Chadema inayoongozwa na Vincent Nyerere, Godbless Lema, chini ya W. Slaa na Freeman Mbowe.

Kuchelewa kurudi kwa Mbowe katika dulu lala salama kumesababishwa kushindwa kwake kuwashawishi wazee wa kimila kumunga mkono Nassari.

Tatizo lingine la Chadema wanahubiri mambo kiujumlajumla, hawasemi watatatuaje kero ambazo CCM wameshindwa kuzitatua.

Tathmini iliyofanywa huko Arumeru Mashariki inaonyesha Lowassa na Slaa wana ushawishi mkubwa ndani ya jimbo hilo, Lakini Slaa anazidiwa kete kutokana na mila na desturi za jamii yake ya Karatu kuwa na tofauti kubwa na za jamii ya Wamasai na Wameru.

Sasa hivi Chadema wamebaki kulalamika wanatukanwa wakati wamesahau kuwa kina Lema, ndio walianza siasa chafu za kumchafua Sioi Sumari.
 
Hahahahahaaaaaa

538449_364650896912386_100001024378293_1142482_362472890_n.jpg


Kampeni-za-CHADEMA-Arumeru-2.jpg


Kampeni-za-CHADEMA-Arumeru.jpg


Kampeni-za-CHADEMA-Arumeru-1.jpg


Kampeni-za-CHADEMA-Arumeru.jpg
 
No mashiko KABSAAAAA!...Sounds like mkonoo mmoja unaandika , mwingine una mixer ya Konyagi na Valuer!..huh!
 
he he he ..acheni woga mbona mnaishi kwa matumaini njoo huku uone magamba wenzako wanavyohangaika usiwe kama nape hajui kinachoendelea huku mwenzako mwigulu hata maji ya kunywa shida hata usiku hana mda wa kuingia jamii forum akitafuta pa kujificha hii ndio arumeru riz mlifikiri igunga huku ha ha ha nawaonea huruma maskini magamba
 
Wanabodi,
Hii ndio wiki ya mwisho kwenye kampeni za uchaguzi mdogo jimbo la Arumeru Mashariki hali ni ngumu kwa Chadema.

Timu ya kampeni ya CCM inayoongozwa na Mwigulu Nchemba, Steven Wassira, Christopher Ole Sendeka, Livingstone Lusinde chini ya Edward Lowassa.

Hawa jamaa wamefanikiwa kufunika kabisa siasa za Chadema kwenye kampeni huko Arumeru Mashariki.

Timu ya kampeni ya Chadema inayoongozwa na Vincent Nyerere, Godbless Lema, chini ya W. Slaa na Freeman Mbowe.

Kuchelewa kurudi kwa Mbowe katika dulu lala salama kumesababishwa kushindwa kwake kuwashawishi wazee wa kimila kumunga mkono Nassari.

Tatizo lingine la Chadema wanahubiri mambo kiujumlajumla, hawasemi watatatuaje kero ambazo CCM wameshindwa kuzitatua.

Tathmini iliyofanywa huko Arumeru Mashariki inaonyesha Lowassa na Slaa wana ushawishi mkubwa ndani ya jimbo hilo, Lakini Slaa anazidiwa kete kutokana na mila na desturi za jamii yake ya Karatu kuwa na tofauti kubwa na za jamii ya Wamasai na Wameru.

Sasa hivi Chadema wamebaki kulalamika wanatukanwa wakati wamesahau kuwa kina Lema, ndio walianza siasa chafu za kumchafua Sioi Sumari.
Mkuu una uhakika au unafurahisha Jamvi tu? Arumeru hata iweje haiwezi kurudi CCM, niko hapa Jimboni kiukweli watu wana mwamko mkubwa sana na wanataka mageuzi..kuna Mzee mmoja kaniambia "Kijana mm nimezaliwa hapa, miaka yote ya uchaguzi sijawahi kuona chama kinakubalika kama hiki" akimaanisha CHADEMA.
Hali niliyoiona Arumeru, CCM ikishinda nitajua kweli hii nchi hakuna uchaguzi huru na haki!
 
Chadema wanafanya makosa makubwa sana kusomba vijana kutoka Karatu, Hai, Rombo.
Vijana hawa sio wenyeji wa Arumeru Mashariki sio wapiga kura sijui wanamdanganya nani.

Ni bora mkutano wako wafike watu 50 ambao wapiga kura kuliko wajae watu 10,000 ambao sio wapiga kura.
 
Mkuu una uhakika au unafurahisha Jamvi tu? Arumeru hata iweje haiwezi kurudi CCM, niko hapa Jimboni kiukweli watu wana mwamko mkubwa sana na wanataka mageuzi..kuna Mzee mmoja kaniambia "Kijana mm nimezaliwa hapa, miaka yote ya uchaguzi sijawahi kuona chama kinakubalika kama hiki" akimaanisha CHADEMA.
Hali niliyoiona Arumeru, CCM ikishinda nitajua kweli hii nchi hakuna uchaguzi huru na haki!

Tarehe 2 Apr 2012 njoo humu Jamvini ulalamike kura zimeibiwa.
 
Chadema wanafanya makosa makubwa sana kusomba vijana kutoka Karatu, Hai, Rombo.
Vijana hawa sio wenyeji wa Arumeru Mashariki sio wapiga kura sijui wanamdanganya nani.

Ni bora mkutano wako wafike watu 50 ambao wapiga kura kuliko wajae watu 10,000 ambao sio wapiga kura.
bandugu mapovu mbona mengi umemeza sabuni
 
Peoplessssssss..........pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa..................itafahamika tu!
 
Wanabodi,
Hii ndio wiki ya mwisho kwenye kampeni za uchaguzi mdogo jimbo la Arumeru Mashariki hali ni ngumu kwa Chadema.

Timu ya kampeni ya CCM inayoongozwa na Mwigulu Nchemba, Steven Wassira, Christopher Ole Sendeka, Livingstone Lusinde chini ya Edward Lowassa.

Hawa jamaa wamefanikiwa kufunika kabisa siasa za Chadema kwenye kampeni huko Arumeru Mashariki.

Timu ya kampeni ya Chadema inayoongozwa na Vincent Nyerere, Godbless Lema, chini ya W. Slaa na Freeman Mbowe.

Kuchelewa kurudi kwa Mbowe katika dulu lala salama kumesababishwa kushindwa kwake kuwashawishi wazee wa kimila kumunga mkono Nassari.

Tatizo lingine la Chadema wanahubiri mambo kiujumlajumla, hawasemi watatatuaje kero ambazo CCM wameshindwa kuzitatua.

Tathmini iliyofanywa huko Arumeru Mashariki inaonyesha Lowassa na Slaa wana ushawishi mkubwa ndani ya jimbo hilo, Lakini Slaa anazidiwa kete kutokana na mila na desturi za jamii yake ya Karatu kuwa na tofauti kubwa na za jamii ya Wamasai na Wameru.

Sasa hivi Chadema wamebaki kulalamika wanatukanwa wakati wamesahau kuwa kina Lema, ndio walianza siasa chafu za kumchafua Sioi Sumari.

Haya tumesikia hicho kichekesho, endelea kutupa afya kwa kupanua misuli na mapafu.
Magamba chini ya Lowasa, alianza lini?
Ukweli ulio rohoni mwako umeshindwa kuuficha, si unaona hapo kwenye red?
 
Wanabodi,
Hii ndio wiki ya mwisho kwenye kampeni za uchaguzi mdogo jimbo la Arumeru Mashariki hali ni ngumu kwa Chadema.

Timu ya kampeni ya CCM inayoongozwa na Mwigulu Nchemba, Steven Wassira, Christopher Ole Sendeka, Livingstone Lusinde chini ya Edward Lowassa.

Hawa jamaa wamefanikiwa kufunika kabisa siasa za Chadema kwenye kampeni huko Arumeru Mashariki.

Timu ya kampeni ya Chadema inayoongozwa na Vincent Nyerere, Godbless Lema, chini ya W. Slaa na Freeman Mbowe.

Kuchelewa kurudi kwa Mbowe katika dulu lala salama kumesababishwa kushindwa kwake kuwashawishi wazee wa kimila kumunga mkono Nassari.

Tatizo lingine la Chadema wanahubiri mambo kiujumlajumla, hawasemi watatatuaje kero ambazo CCM wameshindwa kuzitatua.

Tathmini iliyofanywa huko Arumeru Mashariki inaonyesha Lowassa na Slaa wana ushawishi mkubwa ndani ya jimbo hilo, Lakini Slaa anazidiwa kete kutokana na mila na desturi za jamii yake ya Karatu kuwa na tofauti kubwa na za jamii ya Wamasai na Wameru.

Sasa hivi Chadema wamebaki kulalamika wanatukanwa wakati wamesahau kuwa kina Lema, ndio walianza siasa chafu za kumchafua Sioi Sumari.
"ukiimudu vyema propaganda na ukaitoa katika kiwango cha juu cha juu unaweza ukawaaminisha watu kuwa jehanam ndiko peponi au kuyafanya wachukie maisha ya hovyo na ya taabu ndiyo Paradiso"Adolf Hitler
Poleni sana wana CCM mliogubikwa na propaganda kama huyu jamaa alie post hii thread Pole Comrade still upo kwenye utawala wa wanaginingi
 
Back
Top Bottom