Vijijini Lawama
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 298
- 73
Hongera Mbunge wangu Wenje, Hilo la vyuo vikuu huwa linanikera sana, sijawahi kusikia mbunge yeyote toka kanda ya ziwa akilalamika kuhusu kukosekana kwa Chuo cha Serikali Kanda ya Ziwa. Wakatoliki wamesaidia sana mikoa ya kanda ya Ziwa mimi nadhani hao ndo serikali yetu kwa watu amabao idadi yao inayokadiriwa kuwa 15 million. Serikali ya majimbo ni suluhisho. Siyo viserikali vya mitaa visivyokuwa na lolote.