PROPHET POLY
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 469
- 72
Halina mvuto!
ikuvutie wapi?Think big.
Halina mvuto!
Hii ndio CHADEMA nayotaka kuiona, inayokuwa tayari kusema ukweli hata kama ukweli wenyewe unauma. Sheikh Ponda ni gaidi ila kwa kweli nadhani kumnyima dhamana ni makosa. Na inatupasa kukaa meza moja kuona namna tutakavyoyamaliza matatizo yetu kama watanzania. Waislamu+Wakristo ni ndugu tatizo ni CCM.
Wamejitahidi kuwapenda ndugu zetu na kiongozi wao Ponda BUT je ni kweli hata wanazuoni hawa hawana uhakika na uraia wa huyu sheikh Ponda? Kwanini waseme "raia au mkazi"
Nawapongeza pia kuwa wamemalizia vyema kuwa kile kilichokuwa chama cha wananchi tangu miaka 35 na zaidi iliyopita ndio "mzizi wenyewe wa fitna". Chama kikongwe na kijitokeze kitoe tamko, mbona mko kimya na nchi iko mikononi mwako?
Limetolewa kwa kusudio la kuwapaka waislamu mafuta kwa mgongo wa chupa.....
Sio ishu ya waislam mie ni mkristo sina ugomvi na waislam hata kazini kwangu nina vijana wa kiislam wamekua wameoa na kuzaa wanafanya kazi na mimi kwa upendo kabisa, hata majirani na marafiki ni vigumu hata kujenga nao chuki maana ni watu wema, ndivyo tulivyo wa tz, lakini huyu pônda ni janga tu ni kama mtikila, wakristo wangekuwa wabaguzi kama wewe ulivyo mtikila angeshakua rais tayari..kaburu!leo tutashuhudia wafuasi wa chadema wakipingana na chama chao kwa mara ya kwanza.
Kisa, ni ishu ya waislam.
Hata kama kakosa dhamana kwa kuwa na sura mbaya, hiyo ni juu ya jaji siyo juu ya shoga kama wewe.kama hujui sheria nyamaza kuliko kutema povu. Unajua kwanini alikosa dhamana?
so what then!who the hell(muslims) do u think u are?there are non religious tanzanians to.mngeka jana maandamanoni muone chupa inavyopeti (waislam)
Chadema should just keep quite on this issue
Vyama vingi ndio chanzo cha haya matatizo yote tanzania.vinafanya serikali ishindwe kuwashughulikia wahalifu kwa kuogopa kupoteza kura.ingekuwa enzi zile hata jk mnayemsema kila siku asingekuwa hivi.unafiki ndio biashara ya siku..
Challenging and testing times is now.
Talking about who?Really?I think it's the right time to show the LEADERSHIP......!
We see the nation heading towards a civil war.Kwa nini tunyamaze?
When you've got a situation where a bunch of people can go into a place of worship and open fire through the windows, you've reached a certain dismal watershed in the life of that nation.
There are people in power in certain parts of the country, leaders, who quite genuinely and authoritatively hate and cannot tolerate any religion outside their own.
When you combine that with the ambitions of a number of people who believe they are divinely endowed to rule the country and who… believe that their religion is above whatever else binds the entire nation together, and somehow the power appears to slip from their hands, then they resort to the most extreme measures
Youths who have been indoctrinated right from infancy can be used, and who have been used, again and again to create mayhem in the country.
Chadema should just keep quite on this issue
CHADEMA playing their cards well to attract the frustrated and stranded voters! this is how politics is best at not wasting time with golden chance opportunity!!! hooraaay CHADEMA!
Tunaweza kuwa miongoni mwetu, wapo watu wanaomchukia Sheikh Ponda" - Mabere Marando.