zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,831
- 8,620
Hongera sana CHADEMA sasa ni zama ya kitongoji cha mh.Kikwete(mbunge)
labda wala wakazi uwapelekee ubwabwa na kofia ndo watakuelewa.
Hongera sana CHADEMA sasa ni zama ya kitongoji cha mh.Kikwete(mbunge)
Nafikiri Chadema wabadilishe mwelekeo na mtazamo.
Mtazamo wenu ni kutangaza sera zenu kwa wananchi wote na sio kukazania wanachama. Mnatakiwa mfahamu kuwa kuwa na kadi zaidi ya moja ya chama cha siasa sio kosa huko tanzania. Hulka ya wabongo ni muhali na hivyo wengi ni walaghai.