Chama cha Maendeleo na Demokrasia CHADEMA, kimetikisa chuo cha uhasibu arusha (IAA) baada ya MH Lema kufungua tawi jipya ukanda wa uhasibu,huku mamia ya wanafunzi wa chuo wakichukua kadi za CHADEMA na wengine kurudisha kadi za CCM na kuwa wanachama wa CHADEMA.Huo ni mwelekeo mwema kwa wanaharakati wa mabadiliko...PEOPLES.....................
HAO NI BAADHI TU YA WANAFUNZI WALIOKUWA WAKIENDELEA KUCHUKUA KADI.takribani watu 400 hivi walihudhuria.
HAO NI BAADHI TU YA WANAFUNZI WALIOKUWA WAKIENDELEA KUCHUKUA KADI.takribani watu 400 hivi walihudhuria.