just in time
Member
- Jan 12, 2011
- 30
- 0
Jamani, kama 90% ya budget ya tanzania inatoka kwa wafadhili swali linakuja , kwanini chadema wasitumiwe na wafadhil kwani wao wanakosa gani ? Angalao tanzania iweze kujiendesha yenyewe. Au bora kutumia wafadhili wa ndani, hao mafisadi wanaofilisi mali za tanzania na bado wapo ndani ya nchi? Mfano ni mmoja wapo wa mmiliki wa dowans.