Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 11,455
- 8,247
Cdm ni chama ambacho kimetokea kupendwa na wananchi wengi hasa vijana na wasomi wengi hivyo kuaminika kuwa huwenda ndio chama pekee chenye wasomi wengi kuliko chama chochote tz na kimekuwa tishio kubwa kwa ccm.
Kutokana nakupata wanachama wengi vijana wa mijini, vijijini, wazee na umati mkubwa unaohudhuria mikutano yao imejengeka imani kwa baadhi ya wanacdm kuwa wanaweza kuishinda CCM kirahisi wakati si kweli.
Ieleweke kwamba wapenzi wengi wa cdm ni vijana walioko shuleni na wengine ndio wamehitimu elimu zao hivyo walio wengi hawana shahada za kupigia kura. Kinachotakiwa kwa cdm ni kuhakikisha kuwa wafuwasi wao wanajiandikisha kwenye daftari la wapiga kura pindi mda utakapo fika hadi vijijini.
Kuwa na wapenzi wengi kwenye chama na umati mkubwa kwenye mikutano yenu bila kuwa na wapiga kura hakutoshi kuiondoa CCM madarakani. Ambayo haiko tayari kuachia madaraka kizembe. Bila hivyo CHADEMA watajikuta wanalambishwa mchanga na CCM ambayo ina mtaji mkubwa wa wazee na kutoka vijijini kama ilivyo fanywa NCCR ya Mrema.
Kutokana nakupata wanachama wengi vijana wa mijini, vijijini, wazee na umati mkubwa unaohudhuria mikutano yao imejengeka imani kwa baadhi ya wanacdm kuwa wanaweza kuishinda CCM kirahisi wakati si kweli.
Ieleweke kwamba wapenzi wengi wa cdm ni vijana walioko shuleni na wengine ndio wamehitimu elimu zao hivyo walio wengi hawana shahada za kupigia kura. Kinachotakiwa kwa cdm ni kuhakikisha kuwa wafuwasi wao wanajiandikisha kwenye daftari la wapiga kura pindi mda utakapo fika hadi vijijini.
Kuwa na wapenzi wengi kwenye chama na umati mkubwa kwenye mikutano yenu bila kuwa na wapiga kura hakutoshi kuiondoa CCM madarakani. Ambayo haiko tayari kuachia madaraka kizembe. Bila hivyo CHADEMA watajikuta wanalambishwa mchanga na CCM ambayo ina mtaji mkubwa wa wazee na kutoka vijijini kama ilivyo fanywa NCCR ya Mrema.