environmental
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,054
- 137
Matawi ya vyama vya siasa hasa wakati wa ukombozi wa nchi mablimbali duniani africa na america kusini yalikuwa yanafunguliwa nje ya nchi sababu ya kupigwa marufuku katika nchi zao. Chadema ina tawi imara sana washington dc ina maana sana maana ni mapambano ya kukabiliana na na maovu ya ccm, tanzania ni rahisi kupewa sumu sababu umesema kitu fulani,
sasa chama tawala kikianzisha matawi nje ya nchi ni kwa uwoga upi na maslahi ya nani? Hivi ccm ni wazima maovo yote haya bado wanachekacheka na wananchi hwawajui wako uchi sijui nani awasaidie wajisitiri.
sasa chama tawala kikianzisha matawi nje ya nchi ni kwa uwoga upi na maslahi ya nani? Hivi ccm ni wazima maovo yote haya bado wanachekacheka na wananchi hwawajui wako uchi sijui nani awasaidie wajisitiri.