Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,419
- 2,270
Kheeee kheeee heeeee eeEh!Ilidaiwa kuwa lengo la kikundi hicho kufika katika mkutano huo, lilikuwa ni kuwazomea viongozi hao, lakini kutokana na kuonywa na Katibu wa CCM wa Mkoa, Bw. Kilumbe Ng'enda kuwa atakayejaribu kufanya fujo katika mkutano huo atakiona cha moto, azma hiyo ilishindikana.
Kumbe CCM sio kimeo