nickname
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 544
- 147
Mimi naona kuwa CHADEMA wanatumia siku ya mapinduzi ya Zanzibar kuaga watu waliokufa kwenye maandamano ya CHADEMA kama njia moja wapo ya KUJIONGEZEA UMAARUFU.
Kweli siasa ni mchezo mchafu na KUFA KUFAANA .CHADEMA wanatupeleka wapi??
NB: Hayo ni mawazo yangu binafsi
Kweli siasa ni mchezo mchafu na KUFA KUFAANA .CHADEMA wanatupeleka wapi??
NB: Hayo ni mawazo yangu binafsi