Chadema wanatafuta tu umaarufu

Status
Not open for further replies.

nickname

JF-Expert Member
Dec 20, 2009
544
147
Mimi naona kuwa CHADEMA wanatumia siku ya mapinduzi ya Zanzibar kuaga watu waliokufa kwenye maandamano ya CHADEMA kama njia moja wapo ya KUJIONGEZEA UMAARUFU.

Kweli siasa ni mchezo mchafu na KUFA KUFAANA .CHADEMA wanatupeleka wapi??


NB: Hayo ni mawazo yangu binafsi
 
Mimi naona kuwa CHADEMA wanatumia siku ya mapinduzi ya Zanzibar kuaga watu waliokufa kwenye maandamano ya CHADEMA kama njia moja wapo ya KUJIONGEZEA UMAARUFU.

Kweli siasa ni mchezo mchafu.CHADEMA wanatupeleka wapi??


NB: Hayo ni mawazo yangu binafsi na sina uhusiano wowote na Malaria Sugu,Dar es Salaam au Mhadhir

Mawazo finyu hayo ndugu yangu; I am glad umesema ni mawazo yako! Yes, there are dates that are decisive dates such as kuwaaga mashujaa wa CDM siku ya mapinduzi....lakini hata wangeagwa siku gani, bado chadema umaarufu wake utaendelea kuwepo kwani kinachowafanya chadema kuwa maarufu si mapinduzi ya Zanzibar, bali mapinduzi ya ki-iitikadi, mapinduzi ya mawazo, it is their ideology, their love for the nation and for the people, the love for truth....and integrity....their values...and much more which you need to critically take into account na sio tu kulipuka na kutamka the unthinkable...all the same history is written in Arusha, by Chadema, and in Tanzania and no one can reverse it or stop it....Wenye kulalama waendelee kulalama, wa kufanya kazi ya ukombozi tutafanya tu in spite of everything....FREEDOM is COMING...FREEDOM has COME...and FREEDOM will Continue to COME with people and by people like those who lost their lives and by the likes of CDM....
 
.....kwa hiyo Nickname una-conclude nini? unapendekeza tarehe gani? umaarufu anautafuta Andengenye na Ustaadh Alhaji Mwema
 
Mimi naona kuwa CHADEMA wanatumia siku ya mapinduzi ya Zanzibar kuaga watu waliokufa kwenye maandamano ya CHADEMA kama njia moja wapo ya KUJIONGEZEA UMAARUFU.

Kweli siasa ni mchezo mchafu.CHADEMA wanatupeleka wapi??


NB: Hayo ni mawazo yangu binafsi na sina uhusiano wowote na Malaria Sugu,Dar es Salaam au Mhadhir

hiyo NB.... Kwangu ina maana kuna guilty conscious
 
Sio upupu per se... You people are not really let by logic, rather emotions..!! It is a valid proposition... as the philosophy dictates... "KUFA KUFAANA".
 
Sio upupu per se... You people are not really let by logic, rather emotions..!! It is a valid proposition... as the philosophy dictates... "KUFA KUFAANA".

Thank you,I forgot to include that saying in my thread
 
Sio upupu per se... You people are not really let by logic, rather emotions..!! It is a valid proposition... as the philosophy dictates... "KUFA KUFAANA".

Emotions/heart/soul and logic/mind cannot be separated. You cannot simply use logic without emotions and vice versa....plus your so called philosophy dictum is out of context in this respect....kufa kwa wana chadema wa Arusha kunamfaa nani katika mawazo yako? Think bit deeper my friend
 
Mawazo finyu hayo ndugu yangu; I am glad umesema ni mawazo yako! Yes, there are dates that are decisive dates such as kuwaaga mashujaa wa CDM siku ya mapinduzi....lakini hata wangeagwa siku gani, bado chadema umaarufu wake utaendelea kuwepo kwani kinachowafanya chadema kuwa maarufu si mapinduzi ya Zanzibar, bali mapinduzi ya ki-iitikadi, mapinduzi ya mawazo, it is their ideology, their love for the nation and for the people, the love for truth....and integrity....their values...and much more which you need to critically take into account na sio tu kulipuka na kutamka the unthinkable...all the same history is written in Arusha, by Chadema, and in Tanzania and no one can reverse it or stop it....Wenye kulalama waendelee kulalama, wa kufanya kazi ya ukombozi tutafanya tu in spite of everything....FREEDOM is COMING...FREEDOM has COME...and FREEDOM will Continue to COME with people and by people like those who lost their lives and by the likes of CDM....

Umeongea vizuri na kwa mtazamo wa juu juu uko sahihi.Lakini fikiria kwa undani sana na utanielewa.Kwa nini CHADEMA wapore shughuli nzima ya kuaga maiti na hata mazishi na kuifanya ya kwao? jiulize kama sio kutafuta press coverage na kujiongezea wafuasi basi ni nini?
 
Umeongea vizuri na kwa mtazamo wa juu juu uko sahihi.Lakini fikiria kwa undani sana na utanielewa.Kwa nini CHADEMA wapore shughuli nzima ya kuaga maiti na hata mazishi na kuifanya ya kwaoi? jiulize kama sio kutafuta press coverage na kujiongezea wafuasi basi ni nini?

what is wrong if CDM wakipata press coverage... does it affect you....pili pili ya shamba
 
Kwa kuwapiga mabomu na kuwaua wana-Chadema, CCM ilikuwa pia inatafuta umaarufu, lakini imekula kwao.
 
what is wrong if CDM wakipata press coverage... does it affect you....pili pili ya shamba

It is wrong for CHADEMA to get press coverage based on the particular approach.They made illegal demonstration and cause the deaths to happen.Nina uhakika kama CHADEMA wasingefanya maandamano basi asingeuawa mtu.Walifanya maandamano ili lolote likitokea basi wao wapate press coverage.Hii ni mbinu iliyotumiwa kukuza chama

I believe that Police forces are guilty.Ila CHADEMA wasifanye suala la kuaga miili na mazishi kuwa political issue.
 
Mimi naona kuwa CHADEMA wanatumia siku ya mapinduzi ya Zanzibar kuaga watu waliokufa kwenye maandamano ya CHADEMA kama njia moja wapo ya KUJIONGEZEA UMAARUFU.

Kweli siasa ni mchezo mchafu na KUFA KUFAANA .CHADEMA wanatupeleka wapi??


NB: Hayo ni mawazo yangu binafsi na sina uhusiano wowote na Malaria Sugu,Dar es Salaam au Mhadhir


Naomba ufafanuzi zaidi, Mapinduzi ya Zanzibar yana uhusiano gani na mazishi ya watu huko arusha?

kama ulivyo sema ni mawazo yako, inadhibitisha jinsi ulivyo na mawazo finyu na inaonesha ulivyo na huna tofauti ya hao uliowataja kuwa huna uhusiano nao.
 
Akili ake mbovu polisi wanawauwa watanzania wenzake wasiokuwa na hatia simply 2 walikua wanataka kuelezea umma hisia zao jinsi wasivofurahishwa na mambo yanavyoendelea katika tanzania etu unasema kufa kufaana. Kweli we have along way 2 go poor nickname. rip companero aluta continua
 
It is wrong for CHADEMA to get press coverage based on the particular approach.They made illegal demonstration and cause the deaths to happen.Nina uhakika kama CHADEMA wasingefanya maandamano basi asingeuawa mtu.Walifanya maandamano ili lolote likitokea basi wao wapate press coverage.Hii ni mbinu iliyotumiwa kukuza chama

I believe that Police forces are guilty.Ila CHADEMA wasifanye suala la kuaga miili na mazishi kuwa political issue.

acha propaganda wewe ..... kinachofanyika arusha ni nini...? akili yako ina ncha kali..... unaonyesha una think tank ya chuki na wivu.... huna ukomavu wa kisiasa kama makamba.... ingawa yawezekana unamaslahi kwa kuropoka
 
Kwa kuwapiga mabomu na kuwaua wana-Chadema, CCM ilikuwa pia inatafuta umaarufu, lakini imekula kwao.


CCM ikitafuta umaarufu at all costs, whether kwa kuiba kura, au kuua etc is not an issue; but when CDM honors their heroes then it become an issue of umaarufu, what else can anti CDM not say?
 
Mimi naona kuwa CHADEMA wanatumia siku ya mapinduzi ya Zanzibar kuaga watu waliokufa kwenye maandamano ya CHADEMA kama njia moja wapo ya KUJIONGEZEA UMAARUFU.

Kweli siasa ni mchezo mchafu na KUFA KUFAANA .CHADEMA wanatupeleka wapi??


NB: Hayo ni mawazo yangu binafsi na sina uhusiano wowote na Malaria Sugu,Dar es Salaam au Mhadhir



jiamini na post yako lkn kama mwenyewe unahisi inafanana na ya hao kwenye red basi hujakosea
 
Chadema bado si wapiganaji kisiasa ,mbinu wanazotumia ni ndogo sana ,nguvu za Umma haziwezi kuplay part katika siasa za kiafrika ,viongozi bado ni wababe wakiwa wamemiliki vyombo vyote vya dola ,hivi kwanini kila mkuu wa mkoa anakuwa mwanajeshi,basi tusijidanganye kuwa nguvu za umma zitaishinda serikali ya Kiafrika,Zanzibar walijaribu na walifanikiwa kukusanya umati kutoka kila pembe,habari za kiintelejinsia zilizodakwa na CUF ni kuwa watauliwa watu kama kuku na hakutakuwa na mswalie mtume na habari hizo zilipatikana ndani ya usalama wa Taifa maana kila kwenye mamba na kenge hawakosi,ni vyema Chadema mkajipanga ndani ya serikali ya CCM na vyombo vyake vya dola ili kudhibiti mauaji yasitokee.
 
Ni bora mka focus kwenye Topic na mjibu hoja.Na ajitokeze mtu mwerevu ajibu hoja yangu kiufasaha kabisa.Acheni matusi na usitoke nje ya mada.

Ok Mwiba hapo sawa.
 
Ni bora mka focus kwenye Topic na mjibu hoja.Na ajitokeze mtu mwerevu ajibu hoja yangu kiufasaha kabisa.Acheni matusi na usitoke nje ya mada

cimg4528s.jpg
 
Chadema bado si wapiganaji kisiasa ,mbinu wanazotumia ni ndogo sana ,nguvu za Umma haziwezi kuplay part katika siasa za kiafrika ,viongozi bado ni wababe wakiwa wamemiliki vyombo vyote vya dola ,hivi kwanini kila mkuu wa mkoa anakuwa mwanajeshi,basi tusijidanganye kuwa nguvu za umma zitaishinda serikali ya Kiafrika,Zanzibar walijaribu na walifanikiwa kukusanya umati kutoka kila pembe,habari za kiintelejinsia zilizodakwa na CUF ni kuwa watauliwa watu kama kuku na hakutakuwa na mswalie mtume na habari hizo zilipatikana ndani ya usalama wa Taifa maana kila kwenye mamba na kenge hawakosi,ni vyema Chadema mkajipanga ndani ya serikali ya CCM na vyombo vyake vya dola ili kudhibiti mauaji yasitokee.

martyrdom kama 5/01/2011..... wewe mwiba umetoroka Guantanamo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom