- Thread starter
- #41
izo account zingekuwepo si zingetolewa taarifa mkuu?taarifa ya matumizi na mapato ya chama yanaonesha account moja tu...!!hizo nyingine labda ni siri ya baadhi ya viongozi ndani ya chama..wanachama hawapaswi kujuwa..labda huko ndiko zinapokwenda hizo fedha nyingine!!!!