Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 883
Pingamizi ndio kama tulivyotarajia,Tendwa katekeleza maagizo aliyopewa Ikulu na JK.Sasa kila dakika ni mithili ya muujiza usiojirudia. Tumeshanyanyaswa vya kutosha, utawala wa sheria umeshachezewa sana, tunachohitaji ni immediate action.
Naamini hao wanasheria mahiri wa CHADEMA wameshapitia kila kifungu cha hoja mufilisi za Tendwa. What we now need ni shambulizi la nguvu. Kama ni uchaguzi kuahirishwa basi ni bora iwe hivyo lakini kamwe CHADEMA wasikubali haki yao-na ya Watanzania wapenda demokrasia-kuacha uhuni huu ukibarikiwa kirahisi.
Waiting....
Naamini hao wanasheria mahiri wa CHADEMA wameshapitia kila kifungu cha hoja mufilisi za Tendwa. What we now need ni shambulizi la nguvu. Kama ni uchaguzi kuahirishwa basi ni bora iwe hivyo lakini kamwe CHADEMA wasikubali haki yao-na ya Watanzania wapenda demokrasia-kuacha uhuni huu ukibarikiwa kirahisi.
Waiting....