CHADEMA wanani dissapoint kwa kweli

Asante kwa maoni yako mkuu! You are entitled to it anyway.
Kwa maoni yangu, kukosa focus ndiko kunakosababisha kuingia kwenye mitego ya kuingia kwenye malumbano ambayo kwa bahati mbaya hayana tija yoyote kwa mwananchi wa kawaida.

Mimi nitaelewa kama chama kitafanya hivyo kinapokuwa under attack na hasa inapohusiana na viongozi wake, lakini hiyo haiwezi kuwa ni mpambano wa kudumu kama inavyoonekana kuwa sasa hivi.

Nape anapozunguka nchi nzima kuwaambia wananchi kuwa CCM sasa ni chama makini,safi,adilifu kwa vile kimewapa mafisadi woooooote watatu siku 90 wajiondoe....bila shaka kuna tija kwa mwananchi wa kawaida. Na wala siyo attack pale anapohubiri kwamba viongozi wa CDM ndio mafisadi kwasababu wananunua "magari chakavu".....na katibu wao anayarudia matapishi yake kwa kulipwa mshahara mkubwa mno.Si attack pale CDM kinapohubiriwa kuwa cha kichaga,cha kikristo,cha kikaskazini,cha kidugu n.k

Hali hii itawafanya wafuasi wao na most importantly, watanzania wataona wazi kabisa kwamba pengine chama hiki hakiko issue driven bali ni mkusanyiko ambao unasubiri kuona kuna mabishano gani na wao wajiingizeje ili kuendesha vita vya maneno na kuibuka washindi.
Kama vile walivyojiingiza kwenye mabishano ya katiba mpya, bei ya sukari, EPA, mikataba ya nishati na madini n.k Bcoz to you these are non-issues!

Kuna mambo kadhaa yanayohitaji kutengeneza a legislative agenda ambayo itawasaidia kulisukuma bunge kutengeneza mazingira mazuri ya uchaguzi ulio huru zaidi na pia kuandaa mazingira mazuri ya namna nzuri ya kulinda rasilimali zetu na kuwafanya wanachi kufaidika zaidi.
Yeah, an ALMIGHTY,DIVINE legislative agenda ambayo,kwanza spika Anne makinda atairuhusu ijadiliwe,halafu wabunge 230 wa CCM wataipitisha unanimously. Out of this world!

Mikutano ya hadhara, pamoja na uzuri wake, haitoshi kukiweka chama kuwa karibu na wananchi kama hakuna juhudi za makusudi za kujenga mazingira ya kujenga kuaminiwa.
Ndio,wakae ofisini,waandike matangazo kuwa sasa CDM si chama cha kidini wala cha kikaskazini. Kazi ya kwenda huko vijijini ifanywe na mawaziri wa kikwete wakati wanazunguka kuelezea "mafanikio" ya serikali kama walivyoelekezwa juzi.

Miaka mitano ni kipindi kifupi na kama wasipojijengea mazingira ya kupigania mageuzi, wasikae kuja kupiga kelele wakati wa uchaguzi na kuchochea wananchi kufanya machafuko kwa mambo ambayo wana fursa ya kuyabadilisha leo lakini wako busy kulumbana na kulia lia.
Ni kweli,sipendi kweli! wako bize wanalialia tuu,mara ooo serikali haina fedha mapato yameporomoka....mara ooo tunaburuzwa bungeni kwa uchache wetu si kwa hoja....mara wasusie vikao kisa eti kuburuzwa katika maamuzi kwa kupindisha sheria na taratibu...mara ooo kodi ya mafuta ipunguzwe ili mafuta yashuke bei....mara ooo...gharama za maisha zipo juu mnoo....siwapendi hawaa!
 
Nimevumilia sana kutokusema but nimeshindwa sasa
inabidi niseme tu kilicho moyoni kwangu.

Kwa ufupi nashangazwa na busara za CHADEMA na Dk Slaa.

Mimi ni katika wale ambao nimesha give up na CCM.
Chochote watakachokifanya kikiwa kibaya sishangai na kikiwa kizuri
kwangu hakivutii.

Sasa nilitegemea CHADEMA wawe tofauti saana lakini
wanayoyafanya mimi naona kama hawapo serious kabisa.

1. La kwanza ni hili la kujaribu na kujibizana na watu wa CCM,
kwanza kwa nini chadema wana react na mambo ya CCM?
Mfano mkutano mkuu wa ccm na suala la kujivua gamba?

Kwa nini kwa mfano chadema walishindwa nini kudharau na
kutokuongea lolote, badala yake wakawa wanazungumzia
namna ya kupunguza gharama za maisha zinazopanda, na namna
ya kuwafaidisha watanzania na zoezi la mjadala wa katiba mpya?

2. Kwa nini wasizungumze ni vipi katiba mpya itawasaidia watanzania
kupambana na rushwa, ufisadi na matatizo mengine?

3. Imeandikwa kwenye media kuwa, watuhumiwa wa ufisadi
watawatumia viongozi wa vyama vya upinzani kumtukana Kikwete
na familia yake, na siku haipiti Dk Slaa anaanzisha madai ya Ridhiwani?

Imean hata kama yuko right,what about the wrong time?
kwa nini now wakati inatangazwa maadui wa Kikwete watakitumia chama cha upinzani?

4. Tazama hili la Nape na CHADEMA, nani anaefaidika kama sio
watuhumiwa wa ufisadi, maana sasa hawazungumzwi wao.
attention imehama kutoka kwao. Kwa msaada wa Dk Slaaa.

5. Hivi hata kama Nape alitaka kujiunga HADEMA au CCJ, kumuumbua huko
kunaleta faida au hasara kwa CHADEMA?

6. watu wengine walio CCM nao wangependa kuondoka, wanaonaje?


Hivi CHADEMA hawawezi kuzungumza kuhusu mustakabali wa tanzania bila
kuzungumzia CCM kwa jazba?

Mimi nakuwa dissapointed na CHADEMA.

Kwa sababu hata wakati wa uchaguzi, Mbowe na wenzie wa CHADEMA
walinishangaza walipomlalamikia Kikwete kufanya kampeni baada ya muda rasmi
kupita, badala ya CHADEMA kupinga hiyo sheria ya kipuuzi ya kuweka limit ya masaa ya kampeni.
Kichaa akikupigia kelele ukakaa kimya anakuona ZEZETA hivyo ili wote muwe vichaa lazima na wewe umjibu kwa kelele
 
Kuna wakati kukaa kimya kunasaidia lakni katika siasa kukaa kimya si suluhu bali kujibu hoja kwa hoja...mambo ya kukaa kimya ni huko makanisani
 
Hivi ukiwa vitani, akitokea mwenye panga utamwacha sbb wewe unamtafuta mwenye bunduki? Niwakumbushe kidogo, wakati ule wa uchaguzi mkuu Makamba alikuja na story ya unyumba wa Dk.Slaaa na upadri wake alipopigwa lile dongo la kumpa mimba mwanafunzi akawa mpole akafunga mdomo hatukumsikia tena.

Akaibuka Six na kupinga hoja ya elimu bure eti haiwezekani akaambiwa yeye si msafi na ni fisadi kama wenzake akakumbushwa ile ofisi ya spika ya millioni 500 kule jimboni kwake akawa mpole akanyamaza.

Akaibuka Kinana, akapewa dozi yake kuhusu ufisadi wa zile meli zake na akaambiwa makombora mengine bado akatulia akaanza kuongea sera personal attack akaacha.

Akaibuka Shimbo, akapewa dozi yake ya tenda za kifisadi alizopewa na JK nae hatukumsikia tena. Kilichoponza Riz1 ni yeye na gazeti lake kumsakama kuisakama CDM kapewa dozi yake katulia.

Huyu Nape kajiingiza mwenyewe safari hii Dk katulia Marando na Mpendazoe wakampa dozi yake. Nape kashakuwa mpole baada ya hapo maandamano na kuwaeleza wananchi ukweli yako pale pale.

Umemaliza mkuu.
Mleta mada hakua na sababu nyingine zaidi ya kupotosha jamvi.
 
Nina wasiwasi kwamba wewe ndie asiyejua tunachokiface hapa. Unafahamu kwamba ni katika mikutano hiyohiyo ambayo propaganda za nape na wenzake zinajibiwa ndipo masuala ya mkulo kama vile kushuka kwa mapato kwa 15% yalizungumziwa? "budget season" eeh? Unataka kutuaminisha kuwa chanzo cha matatizo ya watanzania wa tandahimba ni bajeti? Bajeti ambayo haisimami mpaka kieleweke kwa wahisani? Mishahara wanailipa kwa kudunduliza mapato ya TRA on hand-to-mouth basis si ndio ipo kwenye bajeti? Kwanini tusiwahukumu kwa wananchi kwa kutufikisha hapa in the first place kabla hata ya kuanza kuiangalia hiyo bajeti uchwara!
Ungekuwa na busara ungejibu kwanini mnataka kuiuza NBC na Airtel ili kupunguza bei ya mafuta,na kama bajeti ni uchwara,unaweza kuonyesha bajeti mbadala ya CDM?
 
TRUE!
But mind you diversions sometimes are to be dealt with if they are coming strongly as we can witness now.
The type of TZ communities are also easily diverted to trivial issues think of the 2005 and the Slaa and the concubines issues.
So Diversions are to be dealt with also.

Suprisingly the people who were shouting the loudest and condemning Slaa and the concubines are the ones that are now using him to sabotage the war against the three musketeers. Then, Habari Corporation was at the fore front in maligning Slaa's name but it makes us wonder when we see him dining and wining with his accusers. Rostam even went further to pay for a lawyer who instituted proceedings against Slaa for the alleged adulterous acts. An angel sharing a bed with a devil! Unprecedented.
 
Hoja yako ina mantiki, na hata hisia zako wengi tunazo. Lakini kumbuka kuwa Tanzania yetu ina watu wenye uelewa tofauti tofauti. Wengine hayo mashutumu ya CCM kwa CDM hawayajali kabisa maana tayari wamekwisha waelewa kuwa hiyo ni tapa tapa ya mfa maji. Lakini kuna wale wasio na uelewa huo, hivyo wanahitaji kuoneshwa uozo wa hawa viongozi wa chama tawala ndipo washawishike kukiamini CDM. Kwa yeyote mwenye dhamiri ya dhati na aliye na uwelewa najua kuwa sera za CDM ziko juu, na umakini wa uongozi wake pia uko juu sana. Hivyo CDM haina budi kuendelea kuwadhibiti CCM kwa kila hila watakayo itumia kurubuni umma. And, at same time wataendelea kuzungumzia maswala muhimu yanayo husu Taifa letu.

GO CHADEMA GO !!!!

Nimevumilia sana kutokusema but nimeshindwa sasa
inabidi niseme tu kilicho moyoni kwangu.

Kwa ufupi nashangazwa na busara za CHADEMA na Dk Slaa.

Mimi ni katika wale ambao nimesha give up na CCM.
Chochote watakachokifanya kikiwa kibaya sishangai na kikiwa kizuri
kwangu hakivutii.

Sasa nilitegemea CHADEMA wawe tofauti saana lakini
wanayoyafanya mimi naona kama hawapo serious kabisa.

1. La kwanza ni hili la kujaribu na kujibizana na watu wa CCM,
kwanza kwa nini chadema wana react na mambo ya CCM?
Mfano mkutano mkuu wa ccm na suala la kujivua gamba?

Kwa nini kwa mfano chadema walishindwa nini kudharau na
kutokuongea lolote, badala yake wakawa wanazungumzia
namna ya kupunguza gharama za maisha zinazopanda, na namna
ya kuwafaidisha watanzania na zoezi la mjadala wa katiba mpya?

2. Kwa nini wasizungumze ni vipi katiba mpya itawasaidia watanzania
kupambana na rushwa, ufisadi na matatizo mengine?

3. Imeandikwa kwenye media kuwa, watuhumiwa wa ufisadi
watawatumia viongozi wa vyama vya upinzani kumtukana Kikwete
na familia yake, na siku haipiti Dk Slaa anaanzisha madai ya Ridhiwani?

Imean hata kama yuko right,what about the wrong time?
kwa nini now wakati inatangazwa maadui wa Kikwete watakitumia chama cha upinzani?

4. Tazama hili la Nape na CHADEMA, nani anaefaidika kama sio
watuhumiwa wa ufisadi, maana sasa hawazungumzwi wao.
attention imehama kutoka kwao. Kwa msaada wa Dk Slaaa.

5. Hivi hata kama Nape alitaka kujiunga HADEMA au CCJ, kumuumbua huko
kunaleta faida au hasara kwa CHADEMA?

6. watu wengine walio CCM nao wangependa kuondoka, wanaonaje?


Hivi CHADEMA hawawezi kuzungumza kuhusu mustakabali wa tanzania bila
kuzungumzia CCM kwa jazba?

Mimi nakuwa dissapointed na CHADEMA.

Kwa sababu hata wakati wa uchaguzi, Mbowe na wenzie wa CHADEMA
walinishangaza walipomlalamikia Kikwete kufanya kampeni baada ya muda rasmi
kupita, badala ya CHADEMA kupinga hiyo sheria ya kipuuzi ya kuweka limit ya masaa ya kampeni.
 
MI NAONA NI SAHIHI TU KUWASEMA NA KUNA FAIDA KWA CHADEMA MFANO HAPO JUU MKUU@Nickyk82 KAELEZEA..KAMA KUNA MTU ANATAKA KUHAMA CCM NA KUJA CHADEMA MLANGO UPO WAZI.SASA SIO MTU ANAYETOKA CHADEMA ANAENDA CCM HUYO NDIO HATUWEZI MUELEWA.




Nimevumilia sana kutokusema but nimeshindwa sasa
inabidi niseme tu kilicho moyoni kwangu.

Kwa ufupi nashangazwa na busara za CHADEMA na Dk Slaa.

Mimi ni katika wale ambao nimesha give up na CCM.
Chochote watakachokifanya kikiwa kibaya sishangai na kikiwa kizuri
kwangu hakivutii.

Sasa nilitegemea CHADEMA wawe tofauti saana lakini
wanayoyafanya mimi naona kama hawapo serious kabisa.

1. La kwanza ni hili la kujaribu na kujibizana na watu wa CCM,
kwanza kwa nini chadema wana react na mambo ya CCM?
Mfano mkutano mkuu wa ccm na suala la kujivua gamba?

Kwa nini kwa mfano chadema walishindwa nini kudharau na
kutokuongea lolote, badala yake wakawa wanazungumzia
namna ya kupunguza gharama za maisha zinazopanda, na namna
ya kuwafaidisha watanzania na zoezi la mjadala wa katiba mpya?

2. Kwa nini wasizungumze ni vipi katiba mpya itawasaidia watanzania
kupambana na rushwa, ufisadi na matatizo mengine?

3. Imeandikwa kwenye media kuwa, watuhumiwa wa ufisadi
watawatumia viongozi wa vyama vya upinzani kumtukana Kikwete
na familia yake, na siku haipiti Dk Slaa anaanzisha madai ya Ridhiwani?

Imean hata kama yuko right,what about the wrong time?
kwa nini now wakati inatangazwa maadui wa Kikwete watakitumia chama cha upinzani?

4. Tazama hili la Nape na CHADEMA, nani anaefaidika kama sio
watuhumiwa wa ufisadi, maana sasa hawazungumzwi wao.
attention imehama kutoka kwao. Kwa msaada wa Dk Slaaa.

5. Hivi hata kama Nape alitaka kujiunga HADEMA au CCJ, kumuumbua huko
kunaleta faida au hasara kwa CHADEMA?

6. watu wengine walio CCM nao wangependa kuondoka, wanaonaje?


Hivi CHADEMA hawawezi kuzungumza kuhusu mustakabali wa tanzania bila
kuzungumzia CCM kwa jazba?

Mimi nakuwa dissapointed na CHADEMA.

Kwa sababu hata wakati wa uchaguzi, Mbowe na wenzie wa CHADEMA
walinishangaza walipomlalamikia Kikwete kufanya kampeni baada ya muda rasmi
kupita, badala ya CHADEMA kupinga hiyo sheria ya kipuuzi ya kuweka limit ya masaa ya kampeni.
 
MI NAONA NI SAHIHI TU KUWASEMA NA KUNA FAIDA KWA CHADEMA MFANO HAPO JUU MKUU@Nickyk82 KAELEZEA..KAMA KUNA MTU ANATAKA KUHAMA CCM NA KUJA CHADEMA MLANGO UPO WAZI.SASA SIO MTU ANAYETOKA CHADEMA ANAENDA CCM HUYO NDIO HATUWEZI MUELEWA.

Kila mtu ana uhuru wa kujiunga na chama chochote na wakati wowote; mfano SITASHANGAA DR. W. SLAA AKIPIGA U-TURN KURUDI CCM, NI HAKI YAKE KIDEMOKRASIA. HAPA JF KUNA WATU WANA FIKRA FINYU KUWA MTU BORA NI YULE ANAYESHABIKIA CDM TU. MSIPOTEZWE NA VIONGOZI WENU KUWA CDM ITAKUWA KAMA ILIVYO DAIMA, KUMBUKENI MWAKA 1995 KULIKUWEPO DR. A.MREMA NA NCDCR MAGEUZI YUKO WAPI SIKU HIZI??? HATA MIMI NABOREKA NA MBINU ZINAZOTUMIWA NA CDM AMBAZO SIKU HADI SIKU WATZ ZINAWACHOSHA. TAFADHALI DR. SLAA UKIWA NI THINK TANK YA CHAMA BADILISHA MBINU ZA KUFIKISHA UJUMBE KWA WANANCHI, MAANDAMANO TUMECHOKA, TULETEENI KIPYA KATIKA SIASA ZA TANZANIA.
 
we inabidi urudi darasani ukasome ili uelewe vizuri si unakurupuka tu kuandika pumba hizi.
 
Kinachokera zaidi kuhusu CDM NI hii ndoa haramu waliofunga na watuhumiwa wakuu wa ufisadi sio siri iko siku umma utawahukumu hawa CDM
 
Nimevumilia sana kutokusema but nimeshindwa sasa
inabidi niseme tu kilicho moyoni kwangu.

Kwa ufupi nashangazwa na busara za CHADEMA na Dk Slaa.

Mimi ni katika wale ambao nimesha give up na CCM.
Chochote watakachokifanya kikiwa kibaya sishangai na kikiwa kizuri
kwangu hakivutii.

Sasa nilitegemea CHADEMA wawe tofauti saana lakini
wanayoyafanya mimi naona kama hawapo serious kabisa.

1. La kwanza ni hili la kujaribu na kujibizana na watu wa CCM,
kwanza kwa nini chadema wana react na mambo ya CCM?
Mfano mkutano mkuu wa ccm na suala la kujivua gamba?

Kwa nini kwa mfano chadema walishindwa nini kudharau na
kutokuongea lolote, badala yake wakawa wanazungumzia
namna ya kupunguza gharama za maisha zinazopanda, na namna
ya kuwafaidisha watanzania na zoezi la mjadala wa katiba mpya?

2. Kwa nini wasizungumze ni vipi katiba mpya itawasaidia watanzania
kupambana na rushwa, ufisadi na matatizo mengine?

3. Imeandikwa kwenye media kuwa, watuhumiwa wa ufisadi
watawatumia viongozi wa vyama vya upinzani kumtukana Kikwete
na familia yake, na siku haipiti Dk Slaa anaanzisha madai ya Ridhiwani?

Imean hata kama yuko right,what about the wrong time?
kwa nini now wakati inatangazwa maadui wa Kikwete watakitumia chama cha upinzani?

4. Tazama hili la Nape na CHADEMA, nani anaefaidika kama sio
watuhumiwa wa ufisadi, maana sasa hawazungumzwi wao.
attention imehama kutoka kwao. Kwa msaada wa Dk Slaaa.

5. Hivi hata kama Nape alitaka kujiunga HADEMA au CCJ, kumuumbua huko
kunaleta faida au hasara kwa CHADEMA?

6. watu wengine walio CCM nao wangependa kuondoka, wanaonaje?


Hivi CHADEMA hawawezi kuzungumza kuhusu mustakabali wa tanzania bila
kuzungumzia CCM kwa jazba?

Mimi nakuwa dissapointed na CHADEMA.

Kwa sababu hata wakati wa uchaguzi, Mbowe na wenzie wa CHADEMA
walinishangaza walipomlalamikia Kikwete kufanya kampeni baada ya muda rasmi
kupita, badala ya CHADEMA kupinga hiyo sheria ya kipuuzi ya kuweka limit ya masaa ya kampeni.

Mkuu kwani kabla hujatoa hisia zako umejaribu kukonsida jinsi uwanja wa habari ulivyothibitiwa na utawala wa CCM hasa dhidi ya CHADEMA? Umejaribu kufuatilia vyombo vya habari kama TBC katika kutoa habari kama wanatoa nafasi sawa kwa wote? Nimependa niulize hivi maana hoja yako nimeiona kama kuamini sana kwenye vyomba vya habari zetu.....! Hata hivyo nakuomba ujaribu kufuatilia tena... Naamini you will come back and say something indeed...!
 
BOSS,

They usually says,''THE BOSS IS ALWAYS RIGHT''.
Kwa hili BOSS you're NOT RIGHT! Sioni nini kinachokufanya uwe dissapointed na CHADEMA. Hivi unafikiri viongozi waandamizi wa CHADEMA wanaweza kuzunguka kwenye maeneo mbalimbali ya nchi hii kueneza 'umbeya' kama unavyotaka kutushawishi?Big NO!

Nashangaa sana hata kwa wale wanaokuunga mkono katika hili. Na I can predict that you're one of those CCM henchmen.
Mimi kwa kweli sielewi mnataka CHADEMA ifanye nini na iache nini! Watu lazima mjue kuwa KAZI YA CHAMA CHA UPINZANI CHOCHOTE NA MAHALI POPOTE DUNIANI NI KUKOSOA SERIKALI ILIYOKO MADARAKANI. They do the same in USA,UK,FRANCE,RUSSIA,CANADA etc.
Kule USA juzi wapinzani wa OBAMA wameibua hoja kuwa OBAMA hakuzaliwa Marekani na ikabidi aweke cheti chake cha kuzaliwa hadharani! Hizo ndiyo siasa! Hata leo hii CCM wakishindwa na kukaa pembeni wataanza mashambulizi yaleyale kama ya CDM!

Kwa hiyo wanachofanya CDM kuanika UFISADI wa CHAMA CHA MAGAMBA-CCM ni sawa kabisaaa! Sikuelewi unaposema CDM iache kuzungumzia UFISADI wa CCM ambao umetokana na sera na mfumo mbovu wa CCM yenyewe. Kila Mtz anajua kwa sasa HALI YA MAISHA NI NGUMU,INFLATION IS GOING UP DAILY,CHAKULA BEI JUU,PETROL/DIESEL BEI JUU,UMEME NI WA MGAWO NA BEI JUU!! Hali zote hizi zimesababishwa na CCM!!!

CDM wanazunguka nchi nzima kuwaeleza wananchi kuwa MBAYA WAO NI CCM HAKUNA HAJA YA KUTAFUTA MCHAWI.
Kwa hiyo mimi na-support CDM waendeleee na system hii ya kuikosoa CCM kwa utendaji wake mbovu mpaka kieleweke. Kwa hiyo tusidanganyane waheshimiwa!!
 

Kila mtu ana uhuru wa kujiunga na chama chochote na wakati wowote; mfano SITASHANGAA DR. W. SLAA AKIPIGA U-TURN KURUDI CCM, NI HAKI YAKE KIDEMOKRASIA. HAPA JF KUNA WATU WANA FIKRA FINYU KUWA MTU BORA NI YULE ANAYESHABIKIA CDM TU. MSIPOTEZWE NA VIONGOZI WENU KUWA CDM ITAKUWA KAMA ILIVYO DAIMA, KUMBUKENI MWAKA 1995 KULIKUWEPO DR. A.MREMA NA NCDCR MAGEUZI YUKO WAPI SIKU HIZI??? HATA MIMI NABOREKA NA MBINU ZINAZOTUMIWA NA CDM AMBAZO SIKU HADI SIKU WATZ ZINAWACHOSHA. TAFADHALI DR. SLAA UKIWA NI THINK TANK YA CHAMA BADILISHA MBINU ZA KUFIKISHA UJUMBE KWA WANANCHI, MAANDAMANO TUMECHOKA, TULETEENI KIPYA KATIKA SIASA ZA TANZANIA.

Big up mkubwa. Ume-hit bull mzee!
 
Kinachokera zaidi kuhusu CDM NI hii ndoa haramu waliofunga na watuhumiwa wakuu wa ufisadi sio siri iko siku umma utawahukumu hawa CDM

Hakika mimi nilikuwa na matumaini makubwa na CDM na hata katika uchaguzi uliopita nilifurahi kuona kwamba wameongeza pesence yao bungeni ili serikali ipate changamoto na hata jimboni kwetu Mdee tulimpigania sana na bahati nzuri akapata ushindi wa kimbunga. Lakini hiki kitendo chao cha kumezwa na mafisadi kinanifanya nisiwasamehe hata kidogo. nakifananisha na espionage!
 
Hakika mimi nilikuwa na matumaini makubwa na CDM na hata katika uchaguzi uliopita nilifurahi kuona kwamba wameongeza pesence yao bungeni ili serikali ipate changamoto na hata jimboni kwetu Mdee tulimpigania sana na bahati nzuri akapata ushindi wa kimbunga. Lakini hiki kitendo chao cha kumezwa na mafisadi kinanifanya nisiwasamehe hata kidogo. nakifananisha na espionage!
Mkuu ni lazima itafutwe namna ya kuwezesha umma uelewe hii ndoa haramu ili waweza kuwasulubu si kwenye sanduku la kura tu hata kabala ya hapo .Kwa kufupi wanachokifanya hawa CDM ni usaliti wa hali ya juu kwa wanachi wa maskini wa Tanzania
 
Hahaha usinichekeshe labda sio dr.slaa wa ukweli, sasa ulitaka tushabikie ufisadi wa ccm? Ccm ndio ishakufa hiyoo.
Kuangalia picha napo huwezi aaaarg?




kila mtu ana uhuru wa kujiunga na chama chochote na wakati wowote; mfano sitashangaa dr. W. Slaa akipiga u-turn kurudi ccm, ni haki yake kidemokrasia. Hapa jf kuna watu wana fikra finyu kuwa mtu bora ni yule anayeshabikia cdm tu. Msipotezwe na viongozi wenu kuwa cdm itakuwa kama ilivyo daima, kumbukeni mwaka 1995 kulikuwepo dr. A.mrema na ncdcr mageuzi yuko wapi siku hizi??? Hata mimi naboreka na mbinu zinazotumiwa na cdm ambazo siku hadi siku watz zinawachosha. Tafadhali dr. Slaa ukiwa ni think tank ya chama badilisha mbinu za kufikisha ujumbe kwa wananchi, maandamano tumechoka, tuleteeni kipya katika siasa za tanzania.
 
Mtu unaweza kuwa ccm na ukaipigia kura chadema

mtu anaweza kuwa hana chama na akaipigia kura chadema.....

Sio kila anaeipinga chadema ni ccm au ni fisadi

chadema ni lazima wajue kuna idadi kubwa ya watu hawana vyama na hwataki
kuwa na vyama lakini wanaweza kuipigia kura chadema iwapo watashawishika....

But kwa mwendo huu.....
Sidhani.....
 
suprisingly the people who were shouting the loudest and condemning slaa and the concubines are the ones that are now using him to sabotage the war against the three musketeers. Then, habari corporation was at the fore front in maligning slaa's name but it makes us wonder when we see him dining and wining with his accusers. Rostam even went further to pay for a lawyer who instituted proceedings against slaa for the alleged adulterous acts. An angel sharing a bed with a devil! Unprecedented.


well written....
 
Back
Top Bottom