Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Msekwa alisema kwenye mdahalo kwamba anaunga mkono madai ya katiba mpya wakati mwenyekiti wake alikwishasema watarekebisha katiba. Mbona huyo hamkumuuliza kwa nini aliongea hivyo?
Hata hivyo Alberto ameshasema hayo ni maoni na msimamo wake binafsi na tunajua kwamba yeye siyo msemaji mkuu wa chama chake ngazi ya taifa. Tujadili tu msimamo wake, ambao ni haki yake.
Hata hivyo Alberto ameshasema hayo ni maoni na msimamo wake binafsi na tunajua kwamba yeye siyo msemaji mkuu wa chama chake ngazi ya taifa. Tujadili tu msimamo wake, ambao ni haki yake.