Chadema wanakuwa double standard polisi wanapo wauwa wafuasi wa vyama vingine

Wanabodi,

Tanzania ni nchi yetu sote na itajengwa na sisi wenyewe na itabomolewa na sisi wenyewe, Inasikitisha sana la polisi linapotumia nguvu kuuwa raia wanaofanya maandamo kwa amani kwa kuwapiga risasi za moto.

Itakumbukwa maandamano yalifanyika janauri 27, 2001 yalikabiliwa na polisi na kusababisha vifo na majeruhi. Hadi sasa idadi ya vifo inayotajwa na serikali ni watu 34, lakini kuna madai kuwa waliokufa ni zaidi yao cha kushangaza polisi walipo wauwa hao waandamaji wa Pemba, Chadema walikuwa upande wa Jeshi la Polisi na serikali na kudai waandamaji hao walikuwa wanataka kuatalisha amani ya nchi.

Lakini polisi wanapofanya mauaji kwa wafuasi wa Chadema, kule Arusha walikufa watu wawili, Kule Morogoro alikufa mtu mmoja na Iringa alikufa muandishi wa habari, hawa ndio wanaonekana raia muhimu ambao hawakutakiwa kuuwa lakini waandamaji wa pemba walitakiwa kuuwa..

Sasa mkuu unasema tuu bila kuleta ushahidi wa nani alisema nini na wapi? huu tutauita umbea!! Potea.....
 
Takwimu zinaonesha zaidi ya 50 % ya watoto waliozaliwa na wanaozaliwa chini ya msiba huu wa kitaifa(CCM) wana utapiamlo unaopelekea kudumaa kiakili hivyo kukosa uwezo mzuri wa kufikiri.Uzi kama huu unadhihirisha utafiti huo.Ushabiki,makengeza ya kufikiri yamemfanya mtoa mada apotoshe hata mambo yaliyo wazi kabisa kama anavyodai Mbowe aligombea urais 2000 si kweli wakati huo aligombea ubunge Hai na akapata.Uraisi kagombea kipindi kimoja tu 2005,kabla ya hapo walikiunga mkono CUF ktk mambo mbalimbali.
 
Mkuu Lyimo,

Nadhani hunijui vizuri unaweza kunipa ushahidi wowote Chadema walichukuwa hatua gani baada ya hayo mauaji hao sababu waliokufa walikuwa wapemba.

Mkuu Ritz hivi mwaka unautaja CHADEMA walikuwepo. Nadhani wakati huo ilikuwa kama NRA na ilikuwa upande wa CCM ili kupambana na CUF; kutesa kwa zamu mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Unaweza ukaweka ushahidi hapa juu ya kauli yako hii? Au ni porojo za kitoto?

kushangaza polisi walipo wauwa hao waandamaji wa Pemba, Chadema walikuwa upande wa Jeshi la Polisi na serikali na kudai waandamaji hao walikuwa wanataka kuatalisha amani ya nchi.
 
Hatukumbuki. Kwani nani alikuwa Mwenyekiti na katibu mkuu?
 
Wanabodi,

Tanzania ni nchi yetu sote na itajengwa na sisi wenyewe na itabomolewa na sisi wenyewe, Inasikitisha sana la polisi linapotumia nguvu kuuwa raia wanaofanya maandamo kwa amani kwa kuwapiga risasi za moto.

Itakumbukwa maandamano yalifanyika janauri 27, 2001 yalikabiliwa na polisi na kusababisha vifo na majeruhi. Hadi sasa idadi ya vifo inayotajwa na serikali ni watu 34, lakini kuna madai kuwa waliokufa ni zaidi yao cha kushangaza polisi walipo wauwa hao waandamaji wa Pemba, Chadema walikuwa upande wa Jeshi la Polisi na serikali na kudai waandamaji hao walikuwa wanataka kuatalisha amani ya nchi.

Lakini polisi wanapofanya mauaji kwa wafuasi wa Chadema, kule Arusha walikufa watu wawili, Kule Morogoro alikufa mtu mmoja na Iringa alikufa muandishi wa habari, hawa ndio wanaonekana raia muhimu ambao hawakutakiwa kuuwa lakini waandamaji wa pemba walitakiwa kuuwa..

Sijui kama uko makini ktk uandishi wako? Una hakika Chadema walisema hivyo?
Hebu angalia watu unaodai ni wafuasi wa CDM waliouawa. Hata Mwangosi unamuweka kundi hilo. Una hakika Mwandishi huyu alikuwa mfuasi wa CDM?

Huyo kijana aliyeuawa Morogoro akisoma magazeti, kweli ni mfuasi wa CDM?

Mwisho ktk matukio yote hayo, kibaya ni udhaifu wa viongozi wa CUF waliouonyesha kwa kuwasaliti marehemu wote wa Pemba na waathilika wote wengine wakiwa wamerudi hivi karibuni toka mafichoni. CUF wakaingia makubaliano ya siri wakaita muafaka eti wa kumpa Sharif nafasi ktk serikali, bila hata serikali hiyo kusema nini hatima ya waliofariki!

Angalia sasa nafasi ya Prof. Lipumba, je huyu ni mwenyekiti wa TZ bara tu?

CUF kimekuwa chama dhaifu na hao ndo CCM inawataka.
 
Mkuu Ritz hivi mwaka unautaja CHADEMA walikuwepo. Nadhani wakati huo ilikuwa kama NRA na ilikuwa upande wa CCM ili kupambana na CUF; kutesa kwa zamu mkuu.

Mkuu Kimbunga,
Mauaji ya Wapemba yametoka mwaka 2001 Chadema ilikuwepo na kina Mbowe, wakati huo Dr.Slaa alikuwa CCM na mauaji yale kama unakumbuka Dr.Slaa alikuwa analitetea jeshi la polisi, na Kanisa walitoa tamko la kulaumu viongozi wa siasa, cha kushangaza Kanisa hilo hilo leo limetoa tamko la kulani jeshi la polisi kwa mauaji ya muandishi wa habari, hivi wale wapemba 34 waliopigwa risasi na polisi kwenye maandamano walikuwa Nyumbu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kimbunga,
Mauaji ya Wapemba yametoka mwaka 2001 wakati huo Dr.Slaa alikuwa CCM na mauaji yale kama unakumbuka Dr.Slaa alikuwa analitetea jeshi la poli, na Kanisa walitoa tamko la kulaumu viongozi wa siasa, cha kushangaza Kanisa hilo hilo leo limetoa tamko la kulani jeshi la polisi kwa mauaji ya muandishi wa habari, hivi wale wapemba 34 waliopigwa risasi na polisi kwenye maandamano walikuwa Nyumbu.
kanisa limekujaje tena hapa? ficha upumbavu wacho...
 
Last edited by a moderator:
FJM,
Mie sipo humu kulitetea Jeshi la Polisi, natetea utaifa, ni kweli wanauwa ni polisi, leo hii polisi alifyatua bomu na kumuua mwandishi anafikishwa mahakamani, kwa ni Chadema walikuwa upande wa polisi kwenye mauji ya Pemba?
​tutakujibu utakapomaliza dozi yako ya ugonjwa wakichwa maana inaonekana ni mzimu umeingia humu ugua pole nenda lumumba maumivu yakikuzidi ha ha ha
 
kanisa limekujaje tena hapa? ficha upumbavu wacho...

Lilitoa tamko kwenye mauji ya Pemba, likiwalamu viongozi wa siasa ndio wamesababisha, lakini mauwaji ya mwandishi wa habari Kanisa limetoa tamko kuwa polisi ndio wamemuuwa...angalia hapo double standard, nchi usanii mtupu.
 
FJM,
Mie sipo humu kulitetea Jeshi la Polisi, natetea utaifa, ni kweli wanauwa ni polisi, leo hii polisi alifyatua bomu na kumuua mwandishi anafikishwa mahakamani, kwa ni Chadema walikuwa upande wa polisi kwenye mauji ya Pemba?

Polisi ameshafikishwa mahakamani? ni nani huyo nimjue
 
Lilitoa tamko kwenye mauji ya Pemba, likiwalamu viongozi wa siasa ndio wamesababisha, lakini mauwaji ya mwandishi wa habari Kanisa limetoa tamko kuwa polisi ndio wamemuuwa...angalia hapo double standard, nchi usanii mtupu.

Ritz hakuna atakayeweza kujibu hoja yako kwani inaukweli mchungu ambao hawataki kuukubali.
wenye akili wanaelewe kinacho endelea, ukiunganisha hizi nukta ndio unajua nani mnafik na nani yupo kwa maslahi ya taifa.
Mwenye macho haambiwi tazama, wanapaswa kutoa boriti ktk macho yao kwanza kabla ya kujaribu kutoa ktk macho ya wengine.
Siku zote mwisho wa ubaya ni aibu.
 
Lilitoa tamko kwenye mauji ya Pemba, likiwalamu viongozi wa siasa ndio wamesababisha, lakini mauwaji ya mwandishi wa habari Kanisa limetoa tamko kuwa polisi ndio wamemuuwa...angalia hapo double standard, nchi usanii mtupu.

Ritz hakuna atakayeweza kujibu hoja yako kwani inaukweli mchungu ambao hawataki kuukubali.
wenye akili wanaelewe kinacho endelea, ukiunganisha hizi nukta ndio unajua nani mnafik na nani yupo kwa maslahi ya taifa.
Mwenye macho haambiwi tazama, wanapaswa kutoa boriti ktk macho yao kwanza kabla ya kujaribu kutoa ktk macho ya wengine.
Siku zote mwisho wa ubaya ni aibu.
 
Ritz leo unajifanya ni mtetezi wa utaifa .ama kweli shetani akizeeka anajifanya malaika.
 
Mkuu Ritz, kubali tu kuwa hii thread haina evidence za kutosha. Muungwana na vitendo.
 
Ritz hakuna atakayeweza kujibu hoja yako kwani inaukweli mchungu ambao hawataki kuukubali.
wenye akili wanaelewe kinacho endelea, ukiunganisha hizi nukta ndio unajua nani mnafik na nani yupo kwa maslahi ya taifa.
Mwenye macho haambiwi tazama, wanapaswa kutoa boriti ktk macho yao kwanza kabla ya kujaribu kutoa ktk macho ya wengine.
Siku zote mwisho wa ubaya ni aibu.

peri,
Hata siku moja uwezi kuona wala kusikia kiongozi au Pro-Chadema yeyote akilaani mauji ya Pemba.
 
Last edited by a moderator:
FJM,
Mie sipo humu kulitetea Jeshi la Polisi, natetea utaifa, ni kweli wanauwa ni polisi, leo hii polisi alifyatua bomu na kumuua mwandishi anafikishwa mahakamani, kwa ni Chadema walikuwa upande wa polisi kwenye mauji ya Pemba?
Ccm ilikuwa upande gani mauwaji ya iringa?
 
Back
Top Bottom