mbona Arusha na mwanza hawakuweza na kote kuna wabunge wa chadema ni kwa sababu polisi hawakukubali kutokukubaliana
kwa hiyo utakubaliana na mimi polis ni waleta na wafanya vurugu kwa niaba ya ccm na green guard
mbona Arusha na mwanza hawakuweza na kote kuna wabunge wa chadema ni kwa sababu polisi hawakukubali kutokukubaliana
sitakubaliana kwamba kutulia kwa vurugu Mbeya ni kutokana na juhudi za mbunge wa mbeya mjini (CHADEMA) Mr Sugu peke yake ni juhudi za pamoja za viongozi wa mkoa wa mbeya bila kujali vyama wanavyotoka. Sugu au Mr II ni mbunge makini na kwa nafasi yake alikuwa na wajibu wa kibunge kukutana na wananchi haukuwa wajibu wa kichadema.
habari za kuaminika zinaeleza wazi kwamba baada ya Sugu kukutana na uongozi wa mkoa wa mbeya na kukubaliana kwa pamoja kuhusu mambo kadhaa kwa ajili ya utatuzi ikiwemo kuwaacha wafanyabishara hadi suluhu ipatikane ndipo alikwenda kuzungumza na wafanyabiashara ndogo kwa kutumia kauli ya mkoa lakini kila mtu anataka kutuaminisha kwamba zile ni juhudi za chadema na Sugu peke yake.
Tuache kutumia matukio kujijenga kisiasa.
sitakubaliana kwamba kutulia kwa vurugu Mbeya ni kutokana na juhudi za mbunge wa mbeya mjini (CHADEMA) Mr Sugu peke yake ni juhudi za pamoja za viongozi wa mkoa wa mbeya bila kujali vyama wanavyotoka. Sugu au Mr II ni mbunge makini na kwa nafasi yake alikuwa na wajibu wa kibunge kukutana na wananchi haukuwa wajibu wa kichadema.
habari za kuaminika zinaeleza wazi kwamba baada ya Sugu kukutana na uongozi wa mkoa wa mbeya na kukubaliana kwa pamoja kuhusu mambo kadhaa kwa ajili ya utatuzi ikiwemo kuwaacha wafanyabishara hadi suluhu ipatikane ndipo alikwenda kuzungumza na wafanyabiashara ndogo kwa kutumia kauli ya mkoa lakini kila mtu anataka kutuaminisha kwamba zile ni juhudi za chadema na Sugu peke yake.
Tuache kutumia matukio kujijenga kisiasa.
ikubalike tu kuwa zilikuwa juhudi na ushirikiano wa pamoja kwa mfano, kama jeshi la polisi lisingesitisha mapambano hata Sugu angeshindwa kupata jukwaa la kuzungumza na machinga. Baada ya polisi wa mbeya kutumia busara na kusitisha kutumia nguvu kubwa kama kule Arusha kulisaidia sana kuepusha maafa zaidi kule mbeya.
Mkuu, nani kawaletea hiyo busara? Kwa nini hawakuwa nayo tangu awali wakati wanajipanga kwenda kushambulia? Vitendo vya polisi wetu vinafanana nchi nzima. Wao wanachojua ni kuzima ghasia au maandamano kwa kushambulia tu. Umeiona ile picha ya"busara waliyoitumia" kwa yule binti wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ( angalia gazeti la Mwanachi la Jana 12/11/2011)
magamba at work!
Mtuma post anamkosea fadhila Sugu!Hata kama ni kweli kulikuwa na mazungumzo na serikali ya mkoa,lakini wana Mbeya tulishaweka msimamo wa kutomsikiliza yeyote isipokuwa RAISI WETU SUGU!
Hivyo mchango wa SUGU hauwezi kudharaulika hata kidogo!Kama huamini,kulikuwa na haja gani ya kumwita Sugu toka mjengoni?Si serikali yenyewe ingekaa na kukubaliana na wafanyabiashara?
SUGU moto juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!
kwa hiyo utakubaliana na mimi polis ni waleta na wafanya vurugu kwa niaba ya ccm na green guard