Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
sitakubaliana kwamba kutulia kwa vurugu Mbeya ni kutokana na juhudi za mbunge wa mbeya mjini (CHADEMA) Mr Sugu peke yake ni juhudi za pamoja za viongozi wa mkoa wa mbeya bila kujali vyama wanavyotoka. Sugu au Mr II ni mbunge makini na kwa nafasi yake alikuwa na wajibu wa kibunge kukutana na wananchi haukuwa wajibu wa kichadema.
habari za kuaminika zinaeleza wazi kwamba baada ya Sugu kukutana na uongozi wa mkoa wa mbeya na kukubaliana kwa pamoja kuhusu mambo kadhaa kwa ajili ya utatuzi ikiwemo kuwaacha wafanyabishara hadi suluhu ipatikane ndipo alikwenda kuzungumza na wafanyabiashara ndogo kwa kutumia kauli ya mkoa lakini kila mtu anataka kutuaminisha kwamba zile ni juhudi za chadema na Sugu peke yake.
Tuache kutumia matukio kujijenga kisiasa.
habari za kuaminika zinaeleza wazi kwamba baada ya Sugu kukutana na uongozi wa mkoa wa mbeya na kukubaliana kwa pamoja kuhusu mambo kadhaa kwa ajili ya utatuzi ikiwemo kuwaacha wafanyabishara hadi suluhu ipatikane ndipo alikwenda kuzungumza na wafanyabiashara ndogo kwa kutumia kauli ya mkoa lakini kila mtu anataka kutuaminisha kwamba zile ni juhudi za chadema na Sugu peke yake.
Tuache kutumia matukio kujijenga kisiasa.