Chadema inatisha, kwani we hukusikia Waziri Kigwangala akisema CHADEMA OYEEEE alipokuwa MIST, Mbeya ndio wanafunzi wakaanza kumsikiliza.
huyo ni naibu waziri, cdm tunatisha sana! cdm hoyeeeeeeeeeeeee!
Naibu wa wizara ipi?
nafikiri anmzungumzia naibu wa wizara ya sayanzi na tech mh. kiwanga
Chadema inatisha, kwani we hukusikia Waziri Kigwangala akisema CHADEMA OYEEEE alipokuwa MIST, Mbeya ndio wanafunzi wakaanza kumsikiliza.
Mawasiliano Sayansi na TeknolojiaNaibu wa wizara ipi?
Hilo la CDM kuwa na nguvu halina ubishi na hali itazidi kuwa mbaya kwa ccm pindi miaka inavyoenda mbele.
Ushuhuda wazi!!!
Hivi karibuni nimechukua kadi ya CDM ili kuwa mwanachama rasmi, hiyo ilihusisha uchukuaji wa kadi kwa wasomi wengine kama kumi na ambao wanalipa kodi. Nilipofika nyumbani niliichomoa kadi yangu kumuonyesha mke wangu, mtoto wangu mdogo aliye Class One aliita kwa sauti kubwa CHADEMA huku akiwa kanyosha vidole viwili juu. Nilishangaa na kumuuliza alijulia wapi ya CDM naye akajibu kuwa shuleni kwao wote ni CDM. Hawana kadi ila roho zao zilishafika huko.
Siku nyingine nikiwa safarini kuna mtoto mdogo wa chekechea naye alishangaza watu kwenye gari pale aliposema CDM iko juu.
Ushahidi!!
Mimi sijamwambia mtoto wangu juu ya siasa na wala sitaki kumuingiza katika siasa katika umri alionao, mke wangu hapendi siasa ingawa huwa ananiunga mkono. Kwa hiyo watoto wamekuwa damu ya CDM..