Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
MWENYEKITI wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo,
(Chadema), Freeman Mbowe
amesema chama chake
kinamgonja kwa hamu Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward
Lowassa katika kampeni za
uchaguzi mdogo wa jimbo la
Arumeru Mashariki mkoani
Arusha.
Kauli ya Mbowe
inatokana na habari zilizoenea Arumeru ambazo pia
zimethibitishwa na watu
walio karibu na Lowassa,
zikisema Mbunge huyo wa
Monduli (CCM) wakati wowote
atatua Arumeru Mashariki kumpigia kampeni mgombea
wa chama chake, Sioi Sumari. Mzee (Lowassa) ni kweli
kwamba ana mpango wa kuja
hapa kumpigia kampeni
mgombea wetu wa CCM,
inaweza kuwa ni wiki ijayo au
wiki ile nyingine, nadhani bado anajipanga.
Ila taarifa za
uhakika ni kwamba
atakuja,alisema mmoja wa
makada wa CCM jana asubuhi.
Chanzo: mwananchi.
Demokrasia na Maendeleo,
(Chadema), Freeman Mbowe
amesema chama chake
kinamgonja kwa hamu Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward
Lowassa katika kampeni za
uchaguzi mdogo wa jimbo la
Arumeru Mashariki mkoani
Arusha.
Kauli ya Mbowe
inatokana na habari zilizoenea Arumeru ambazo pia
zimethibitishwa na watu
walio karibu na Lowassa,
zikisema Mbunge huyo wa
Monduli (CCM) wakati wowote
atatua Arumeru Mashariki kumpigia kampeni mgombea
wa chama chake, Sioi Sumari. Mzee (Lowassa) ni kweli
kwamba ana mpango wa kuja
hapa kumpigia kampeni
mgombea wetu wa CCM,
inaweza kuwa ni wiki ijayo au
wiki ile nyingine, nadhani bado anajipanga.
Ila taarifa za
uhakika ni kwamba
atakuja,alisema mmoja wa
makada wa CCM jana asubuhi.
Chanzo: mwananchi.