Nyami2010
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 227
- 50
Hakika, CDM mumemkaba koo J.K hadi kashindwa kutangaza Ma-DC na Wakuu wa Mikoa, duu! Muacheni kidogo apumue.......jamani..........Leo wako Iringa, Kesho Mikumi na kesho kutwa Mzumbe..........J2, bila shaka ni Chalinze.........:dance:
Ilianza, oh watatangazwa dec 2010, oh...Jan, oh Machi, mara Aprili....Mei kila kitu kitakuwa tayari...Mei hiyo inayoyoma........kwisheni wandugu:mod:
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu mbariki J.K:A S-rose:
Ilianza, oh watatangazwa dec 2010, oh...Jan, oh Machi, mara Aprili....Mei kila kitu kitakuwa tayari...Mei hiyo inayoyoma........kwisheni wandugu:mod:
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu mbariki J.K:A S-rose: