Chadema wampa Kikwete 'siku tisa'

Lakini mkumbuke CHADEMA wakisema, wamesema wandugu! Huwa hawabadiliki, hawawi affected na hali ya hewa/ mazingira. Wakisema tutafanya, watafanya kweli. Wana msimamo kweli. Last week nimepita posta nikamsikia mmachinga mmoja akimwambia mwenzake "Una msimamo kama CHADEMA bwana!", Nilicheka sana
 
Toka Dr Slaa toka ashindwe uraisi na nafasi ya kuwa mbunge kama zamani njia pekee ya yy kupata umaarufu ni kwenye maandamano,mbona wakati akiwa mbunge hakukuwa na maandamano?Dr Slaa ni mchu wa madaraka,na hata serikali ya Jk ikianguka sio yy ndiye atakayekuwa raisi,halafu kwann anawatoa sadaka mikoa mingie?angeanza kuwatoa sadaka mkoani kwake kwanza
 
CDM is my religion! Naunga mkono kwa asilia zote,Kikwete nilazima uguswe na nguvu ya uma iwe kwa damu,au kwa maandamano..Uchumi wa inchi unaelekea shimoni.Viva CDM.
 
Nguvu ya umma ilikuwa uchaguzi uliopita, ambapo aliyependwa na wananchi ndio amepewa ridhaa ya kuwaongoza watanzania. Sifa ya Tanzania na Rais JK nje ni kubwa kuliko ujuavyo. Ww hujiulizi kuna marais zaidi ya 54 Africa, kwa nn wachaguliwe 6 tu na JK yumo ? hapo ndipo utajua jamaa ni mashine nyingine kuliko fikra zako

Mashine kilaza yule. GPA 2.1, no wonder kaporomosha kabisa uchumi wa nchi hii.
 
wAOGA KAMA NYINYI MLITAKIWA KUZALIWA MIAKA YA 1920, SASA HIVI MSINGEKUWEPO BILA SHAKA, KAMA UNAOGOPA KUUWAWA BASI BORA UJIUE MWENYEWE SABABU KWA HALI YA TAIFA LETU MAISHA HAYABEBEKI TENA, LABDA KAMA WEWE NI MTOTO WA DOWANS BASI UTAENDELEA KUPINGA KILA NJIA YA CDM
 
Si, amekuwa ndani ya 6 kati ya sita wazuri kutoka mwisho mwa maraisi bora afrika, hii ni akili ndogo haikuhitaji kwenda shule
 
Chadema hawataitakii mema Tanzania yetu.

Kauli zao na vitendo vyao vyote vinaonesha kuashiria fujo, uvunjifu wa amani na uchu wa madaraka.

Hivi wana ubavu gani wa kuitisha Serikali?

Mini naiasa Serikali ya Tanzania. Usipoziba ufa, utajenga ukuta.

Hawa viongozi wa Chadema wachululiwe hatua kali za kisheria kwa kauli zao za uvunjifu wa amani ili wasituletee fujo na uvunjifu wa amani.

Siku tisa? Wana maana gani siku tisa? Na kwa sasa, Serikali iwapuuze kwa hayo maneno yao, na ione baada ya hizo siku tisa wamekusudia nini? Wakianzisha uvunjifu wa amani au chokochoko zinazoashiria uvunjifu wa amani baada ya siku hizo tisa, basi wachukuliwe hatua kali za kisheria.
Kutoa autimutum kwa chama cha siasa ni jambo la kawaida mkuu!unahisi wamevunja sheria gani ya nchi?inawezekana wewe ukawa umechoka kabisa kufikri ndiyo maana unatoa hoja dhaifu!kapumzike mkuu!!
 
Hapa Chadema wame kurupuka na ndiyo maana mimi sikioni bado Chadema kama chama mbadala. Hiyo kauli ya "siku tisa" haionekani kama ili jadiliwa na uongozi wa chama. Inaelekea Mbowe alitoa kauli hiyo at the spur of the moment. Ndiyo hapo Chadema wanapo nipa wasi wasi. Mara nyingi wana achia hisia zichukue nafasi. Hisia wawaachie wananchi wap wafanye vitu kwa kupanga.

1. Siku tisa hazi toshi kuonyesha mafanikio ya sera fulani. Hata serikali ifute kodi hizo sasa hivi hatu wezi kuona unafuu baaada ya siku tisa tu. It's just not possible!

2. Chadema wame toa bluff ambayo they can not follow through. Mark my words baada ya siku tisa kita kacho tokea labda ni maendelezo ya maandamano tu.

3. Kabla hawaja tishia maandamano makubwa wapite kwanza nchi nzima na kuendelea kupata support ya wananchi. Inaelekea Chadema kina haraka sana. Sawa hali imekua mbaya zaidi ila kama chama cha siasa lazima wawe strategic.

Anyway pongezi kwa Chadema. Nadhani wakiendelea wata kuwa chombo kizuri cha kupressure serikali.
Mabadiliko yakifanyika ndani ya siku tisa si lazima na impact ya mabadiliko hayo iwe in nine days.Kuna makaratasi ya kusainiwa nk
Are you sure you thought well before coming up with that argument?
 
Chadema hawataitakii mema Tanzania yetu.

Kauli zao na vitendo vyao vyote vinaonesha kuashiria fujo, uvunjifu wa amani na uchu wa madaraka.

Hivi wana ubavu gani wa kuitisha Serikali?

Mini naiasa Serikali ya Tanzania. Usipoziba ufa, utajenga ukuta.

Hawa viongozi wa Chadema wachululiwe hatua kali za kisheria kwa kauli zao za uvunjifu wa amani ili wasituletee fujo na uvunjifu wa amani.

Siku tisa? Wana maana gani siku tisa? Na kwa sasa, Serikali iwapuuze kwa hayo maneno yao, na ione baada ya hizo siku tisa wamekusudia nini? Wakianzisha uvunjifu wa amani au chokochoko zinazoashiria uvunjifu wa amani baada ya siku hizo tisa, basi wachukuliwe hatua kali za kisheria.
Akili zako ziko makalioni wewe!! Amani ishatoweshwa na jk na kundi lake siku nyingi tu mbona?
 
Nguvu ya umma ilikuwa uchaguzi uliopita, ambapo aliyependwa na wananchi ndio amepewa ridhaa ya kuwaongoza watanzania. Sifa ya Tanzania na Rais JK nje ni kubwa kuliko ujuavyo. Ww hujiulizi kuna marais zaidi ya 54 Africa, kwa nn wachaguliwe 6 tu na JK yumo ? hapo ndipo utajua jamaa ni mashine nyingine kuliko fikra zako

Nataka kucheka sina mbavu yeh.......!!! Kumbe akili siyo nywele...... Ingekuwa ni nywele kila mtu angekuwa kipanga. Nakuonea huruma mkuu, inaelekea ushaanza kuogopa ulaji utaisha... cheque za baba zitakatika. Anza kutafuta ajira ujifunze kujitegemea kabla ya wakati.
 
Chadema hawataitakii mema Tanzania yetu.

Kauli zao na vitendo vyao vyote vinaonesha kuashiria fujo, uvunjifu wa amani na uchu wa madaraka.

Hivi wana ubavu gani wa kuitisha Serikali?

Mini naiasa Serikali ya Tanzania. Usipoziba ufa, utajenga ukuta.

Hawa viongozi wa Chadema wachululiwe hatua kali za kisheria kwa kauli zao za uvunjifu wa amani ili wasituletee fujo na uvunjifu wa amani.

Siku tisa? Wana maana gani siku tisa? Na kwa sasa, Serikali iwapuuze kwa hayo maneno yao, na ione baada ya hizo siku tisa wamekusudia nini? Wakianzisha uvunjifu wa amani au chokochoko zinazoashiria uvunjifu wa amani baada ya siku hizo tisa, basi wachukuliwe hatua kali za kisheria.

Acha woga wewe si dhani kama CDM wanapigia chapuo fujo; CDM wanataka serikali iliyo responsible to its people. Kama serikali inakusanya kodi kila siku badala ya kuangalia katika kuboresha maisha ya walala hoi wao wanaangalia kuboresha marupurupu ya mtu kuwa kiongozi basi ni dhahiri serikali hiyo inakuwa imekosa uhalali wa kuitwa "for the people by the people", Siku tisa hazitoshi kumaliza matatizo, lakini kama mtu ni muelewa basi mchakato unatakiwa kuonekana. Watu wamekaa kwenye nyadhifa wanasubiri mwisho wa mwezi na malupulupu tu basi. Watu wanakata kuona viongozi frontline na siyo watu wa kutoa maelekezo ya kuwalinda wao tu.
 
CDM imekosa sera wanadakia matukio yanayojitokeza. DOWANS ilivyoibuka wamedakia-maandamano, umeme umepanda bei wanadakia-maandamano, sukari imepanda bei-tayari maandamano, Gongo la Mbota-maandamano..lingine likiibuka kesho utasiki maandamano. Wataandamana mpaka miguu itaingia ndani. Nendeni mkafanye kazi mtalala njaa...!!!
 
CDM imekosa sera wanadakia matukio yanayojitokeza. DOWANS ilivyoibuka wamedakia-maandamano, umeme umepanda bei wanadakia-maandamano, sukari imepanda bei-tayari maandamano, Gongo la Mbota-maandamano..lingine likiibuka kesho utasiki maandamano. Wataandamana mpaka miguu itaingia ndani. Nendeni mkafanye kazi mtalala njaa...!!!
In the absence of all the stuff you claimed kuwa wanavirukia ie umeme,sukari nk...There will always be consequences...Kwa mwenendo huo wananchi wanafanya kazi na bado wanalala njaa!

Think before you post,hata kama wewe ni mwana ccm na unafeel responsible to post stuff here to protect your party's ideas,maslahi etc,bado you have to take your time before posting upupu!Unasahahu kuwa njaa hiyo ambayo wananchi wengi wanailalia every single day ndiyo inapeleka maandamano hayo!Kama umezaliwa ndani ya priveledge ya kifisadi huwezi ona hayo mjombaa!
Uchumi gani utakaoendelea ndani ya dunia hii ya sasa bila kuwa na reliable electricity?
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kitampa rais Kikwete siku tisa baada ya kumaliza mzunguko wake wa kwanza wa kuwahamasisha wananchi mikoani.

“Rais Kikwete tunakwenda naye kwa stepu, tutawasha moto wa maandamano nchi nzima, tukimaliza tutaangalia kama atakuwa amechukua hatua. Tutampa siku tisa,” alisema Mbowe na kushangiliwa.

Dk. Slaa aliyekuwa wa kwanza kuhutubia katika mkutano huo, alisisitiza sana msimamo wa chama hicho kumpa Rais Kikwete siku tisa za kuhakikisha anaondoa kodi kwenye maeneo yote yaliyosababisha bei za vyakula na bidhaa mbalimbali kupanda na kufanya maisha ya wananchi kuwa magumu.

My take: Is a 9-day strategy a coincidence, planned?, na je baada ya siku hizo tisa nini kitafuata. This is a serious note, wasiwasi wangu wasije kuwa wamekurupuka kusema siku tisa.


Kiongozi ume elewa vibaya, SIKU TISA NI ZA RAIS WAKO WALAU KUTOA TAMKO LA HALI INAVYO KWENDA KWANI KWASASA YEYE AMEZIANZA SAFARI KANA KWAMBA HAKUNA MATATIZO YOYOTE KATIKA NCHI HII, Rais makini uzungumza walau jambo katika mambo magumu uhsusani yanayo husu uchumi na mtikisiko wa taifa kwa ujumla, sasa yeye atasubiri Chiligati, au Waziri mkuu, ofkoz tunaelewa huyu ni mtendaji wake, lkn haipaswi basi mtendaji aongee alafu na yeye anakuja kusakafia kila kitu, tena huwa napendfa kusema ikionyesha huwa anajua watu wanamtaka aseme na ndo mana tulimpa dhamana ya kuliongoza taifa, heti (watu wanaka niseme lakini mimi sitakuwa na jipya nitasema yale yale aliyosema au anayosema Waziri mkuu, au Chiligati) mgh!!! haya huyu ndo Rais... sasa CDM wanalijua hili ukimya wake unawau Watanzania.
 
Chadema hawataitakii mema Tanzania yetu.

Kauli zao na vitendo vyao vyote vinaonesha kuashiria fujo, uvunjifu wa amani na uchu wa madaraka.

Hivi wana ubavu gani wa kuitisha Serikali?

Mini naiasa Serikali ya Tanzania. Usipoziba ufa, utajenga ukuta.

Hawa viongozi wa Chadema wachululiwe hatua kali za kisheria kwa kauli zao za uvunjifu wa amani ili wasituletee fujo na uvunjifu wa amani.

Siku tisa? Wana maana gani siku tisa? Na kwa sasa, Serikali iwapuuze kwa hayo maneno yao, na ione baada ya hizo siku tisa wamekusudia nini? Wakianzisha uvunjifu wa amani au chokochoko zinazoashiria uvunjifu wa amani baada ya siku hizo tisa, basi wachukuliwe hatua kali za kisheria.
Ni bora serikali ikakaa kimya kuliko kuwachukulia hatua, hujui ugumu wa maisha ya Watanzania walio wengi kwa sasa.unaonekana unakula kiyoyoz sana. Please don't let them try this @home upepo wa mapinduzi umeanza, nitafurahi ukivumia TZ...sioni sababu ya kujibaraguza na amani wakati nyoyo zetu(tulio wengi) hazina amani.
 
Back
Top Bottom