Chadema wampa Kikwete 'siku tisa'

Umasikini wako ni ufinyu wa mawazo na ubunifu ulionao.

Hivi ni nini kinakuzuia kuondoka kwenye umasikini?

Kama huna ubunifu hata aje Mbowe hatoweza kukutowa kwenye umasikini huo. Yeye mwenyewe kashindwa kuendeleza mali za ufisadi alizorithi kwa babake, mpaka tunasikia zinazuiliwa kwa madeni, sasa huyo anaeshindwa kuendeleza mali ya urithi kweli ataweza kukuendeleza wewe masikini? Unashangaza sana.
Kwa majibu yako ya aina hii tayari upeo wa fikra zako ushaonekana. Mtanzania wa kweli anayeijua nchii hii na yanayoendelea sasa chini ya serikali ya CCM hawezi kutamka upupu kama huu. Ungekaa na kupumzika tuu maana huna la maana.
 
CDM and its leaders have strategy, and well planned...utterances and conditions given to CCM/Leaders are well thought off, wale wanaobeza waendelee kubeza ila sisi tunajua kuwa CDM ndicho chombo cha kuleta mageuzi hapa nchini, na sio vinginevyo
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kitampa rais Kikwete siku tisa baada ya kumaliza mzunguko wake wa kwanza wa kuwahamasisha wananchi mikoani.

“Rais Kikwete tunakwenda naye kwa stepu, tutawasha moto wa maandamano nchi nzima, tukimaliza tutaangalia kama atakuwa amechukua hatua. Tutampa siku tisa,” alisema Mbowe na kushangiliwa.

Dk. Slaa aliyekuwa wa kwanza kuhutubia katika mkutano huo, alisisitiza sana msimamo wa chama hicho kumpa Rais Kikwete siku tisa za kuhakikisha anaondoa kodi kwenye maeneo yote yaliyosababisha bei za vyakula na bidhaa mbalimbali kupanda na kufanya maisha ya wananchi kuwa magumu.

My take: Is a 9-day strategy a coincidence, planned?, na je baada ya siku hizo tisa nini kitafuata. This is a serious note, wasiwasi wangu wasije kuwa wamekurupuka kusema siku tisa.

CHADEMA ni watu wa kukurupuka siku zote na hawako makini , wako kwa ajili ya maslahi yao binafsi. Serikali haifanyi kazi kwa shinikizo la watu , na hizo siku 9 zitaisha tuone watafanya nini, kweli nimeanza kuamini CHADEMA WACHANGANYIKIWA NA KUWEWESEKA. Hii ni serikali makini na yote wanayotaka yatazimishwa, historia za nchi za kiarabu si za hapa tanzania
 
CDM and its leaders have strategy, and well planned...utterances and conditions given to CCM/Leaders are well thought off, wale wanaobeza waendelee kubeza ila sisi tunajua kuwa CDM ndicho chombo cha kuleta mageuzi hapa nchini, na sio vinginevyo

Mie mbona sijui, sema ww wajua na wale wachache wenye fikra ndogo
 
CHADEMA ni watu wa kukurupuka siku zote na hawako makini , wako kwa ajili ya maslahi yao binafsi. Serikali haifanyi kazi kwa shinikizo la watu , na hizo siku 9 zitaisha tuone watafanya nini, kweli nimeanza kuamini CHADEMA WACHANGANYIKIWA NA KUWEWESEKA. Hii ni serikali makini na yote wanayotaka yatazimishwa, historia za nchi za kiarabu si za hapa tanzania
Yale yale ya tuone kama watafanya maandamano, yamefanyika tena kwa amani siku hizi mmekuwa watu wa ngoja tuone ok keep on waiting wakati chama kinasonga mbele.
 
Chadema hawataitakii mema Tanzania yetu.

Kauli zao na vitendo vyao vyote vinaonesha kuashiria fujo, uvunjifu wa amani na uchu wa madaraka.

Hivi wana ubavu gani wa kuitisha Serikali?

Mini naiasa Serikali ya Tanzania. Usipoziba ufa, utajenga ukuta.

Hawa viongozi wa Chadema wachululiwe hatua kali za kisheria kwa kauli zao za uvunjifu wa amani ili wasituletee fujo na uvunjifu wa amani.

Siku tisa? Wana maana gani siku tisa? Na kwa sasa, Serikali iwapuuze kwa hayo maneno yao, na ione baada ya hizo siku tisa wamekusudia nini? Wakianzisha uvunjifu wa amani au chokochoko zinazoashiria uvunjifu wa amani baada ya siku hizo tisa, basi wachukuliwe hatua kali za kisheria.

CHADEMA kama chadema hawana ubavu wa kuitisha serikali dhalimu ya ccm lakini UMMA uko nyuma yao na ndio wenye ubavu wa kupambana na kunguni yeyote anaejifanya kaweka uchumi wa wananchi mfukoni kwake na kusababisha wananchi waendelee kuishi maisha ya taabu na shida nyingi.
 
CHADEMA kama chadema hawana ubavu wa kuitisha serikali dhalimu ya ccm lakini UMMA uko nyuma yao na ndio wenye ubavu wa kupambana na kunguni yeyote anaejifanya kaweka uchumi wa wananchi mfukoni kwake na kusababisha wananchi waendelee kuishi maisha ya taabu na shida nyingi.

Chanzo cha maisha mazuri ni kufanya kazi kwa bidii na maarifa, sio kwenye maandamano. Watu ni wavivu wa kufanya kazi, then mnataka mpewe vitu vya bure, hatujafikia huko Tanzania
 
CHADEMA kama chadema hawana ubavu wa kuitisha serikali dhalimu ya ccm lakini UMMA uko nyuma yao na ndio wenye ubavu wa kupambana na kunguni yeyote anaejifanya kaweka uchumi wa wananchi mfukoni kwake na kusababisha wananchi waendelee kuishi maisha ya taabu na shida nyingi.

Huo umma unaousema wewe ndio kwa asilimia kubwa waliichaguwa simu kuendelea kuwaongoza, toka ngazi za udiwani mpaka wabunge, mpaka Rais.

Hebu nambie, madiwani na wabunge Tanzania wepi ni wengi? Jibu utalopata basi ujuwe bado mna kazi ya kufanya. Na hao wachache wanaowaunga mkono mtawakosa kabisa kwa siasa zenu zenu za uchokozi na uvunjifu wa amani. Na kama hamuijuwi peoples power ya kweli basi ngojeni siku wapenda amani tutapocharuka na kuwavamia mitaani, hapo ndio mtajuwa maana ya "peoples power".
 
Yale yale ya tuone kama watafanya maandamano, yamefanyika tena kwa amani siku hizi mmekuwa watu wa ngoja tuone ok keep on waiting wakati chama kinasonga mbele.

Hakuna kitu hapo, na Rais akianza kutumia madaraka yake vibaya kwa mujibu wa katiba mtakwisha wote !
 
Majimshindo nilimsitukia toka siku ya kwanza alipojiunga,maana post yake ya kwanza ilikuwa kumsupport Al Adawi, na kwamba ni mtu msafi asiye na shaka!
Huyu bwana ni agent wa mafisadi na katumwa hapa kiintelijensia zaidi!
Achaneni na kibaraka!
 
Chanzo cha maisha mazuri ni kufanya kazi kwa bidii na maarifa, sio kwenye maandamano. Watu ni wavivu wa kufanya kazi, then mnataka mpewe vitu vya bure, hatujafikia huko Tanzania

Safi sana, leo kila mchapa kazi Tanzania ana uwezo wa kuwa na maisha mazuri na serikali inazidi kubuni njia nyingi za kuwezesha watu wachape kazi kwa ufanisi na wajitume.

Wengi fikira ya maisha bora ni kukaa na kungoja kufanyiwa. Na fikira zao kuwa ukiandamana ndio watu watakuona wakuletee ukitakacho!

Hawajui kujiuliza wao wanaifanyia nini serikali badala ya kungoja serikali ikufanyie kila kitu.

Hivi sijui hawafikiri hawa wanaodhani maendeleo ya kimaisha huketwa kwa maandamano?
 
Majimshindo nilimsitukia toka siku ya kwanza alipojiunga,maana post yake ya kwanza ilikuwa kumsupport Al Adawi, na kwamba ni mtu msafi asiye na shaka!
Huyu bwana ni agent wa mafisadi na katumwa hapa kiintelijensia zaidi!
Achaneni na kibaraka!

Wewe nioneshe Al Adawi kakosa nini? Ubaya wake ni nini? Mimi namsupport kwa kuwa sijaona ubaya wake. Sim support Nyerere kwa kuwa nimeuona ubaya wake.

Sasa wewe Jee?
 
Chadema hawataitakii mema Tanzania yetu.

Kauli zao na vitendo vyao vyote vinaonesha kuashiria fujo, uvunjifu wa amani na uchu wa madaraka.

Hivi wana ubavu gani wa kuitisha Serikali?

Mini naiasa Serikali ya Tanzania. Usipoziba ufa, utajenga ukuta.

Hawa viongozi wa Chadema wachululiwe hatua kali za kisheria kwa kauli zao za uvunjifu wa amani ili wasituletee fujo na uvunjifu wa amani.

Siku tisa? Wana maana gani siku tisa? Na kwa sasa, Serikali iwapuuze kwa hayo maneno yao, na ione baada ya hizo siku tisa wamekusudia nini? Wakianzisha uvunjifu wa amani au chokochoko zinazoashiria uvunjifu wa amani baada ya siku hizo tisa, basi wachukuliwe hatua kali za kisheria.

Naheshimu mawazo yako lakini ni mawazo ya majitaka!!!!!!!!!!!
 
Hakuna kitu hapo, na Rais akianza kutumia madaraka yake vibaya kwa mujibu wa katiba mtakwisha wote !
Hakuna wa kwisha unataka kuniambia Kikwete ana jeshi zuri zaidi ya Gadaffi na Mubarak, Gadaffi anatumia hadi jet fighter sijasikia walibya wamekwisha.
 
Wewe nioneshe Al Adawi kakosa nini? Ubaya wake ni nini? Mimi namsupport kwa kuwa sijaona ubaya wake. Sim support Nyerere kwa kuwa nimeuona ubaya wake.

Sasa wewe Jee?
Kama unampenda sana kamwambie hela zake halipwi na mitambo inataifishwa hadi alipe kodi ya miaka minne na deni alilokopa benki karibu bil.100.
 
Chadema hawataitakii mema Tanzania yetu.

Kauli zao na vitendo vyao vyote vinaonesha kuashiria fujo, uvunjifu wa amani na uchu wa madaraka.
Hivi wana ubavu gani wa kuitisha Serikali?
Mini naiasa Serikali ya Tanzania. Usipoziba ufa, utajenga ukuta.
Hawa viongozi wa Chadema wachululiwe hatua kali za kisheria kwa kauli zao za uvunjifu wa amani ili wasituletee fujo na uvunjifu wa amani.
Siku tisa? Wana maana gani siku tisa? Na kwa sasa, Serikali iwapuuze kwa hayo
maneno yao, na ione baada ya hizo siku tisa wamekusudia nini? Wakianzisha uvunjifu wa amani au chokochoko zinazoashiria uvunjifu wa amani baada ya siku hizo tisa, basi wachukuliwe hatua kali za kisheria.
Hata tunisia na misri walifikiri ni vitisho tu.Kanali gadafi pia anafikiri nguvu ya umma ni kelele za mlango.Endeleeni kufikiri hivyo.
Tutofautishe amani na utulivu.Ukiona watu wanateseka kimyakmiya ujue wametulia sio wana amani.
 
Maisha magumu wakati saa hizi upo kwenye mtandao una bofya? Unashangaza sana!
kama viongozi wenyewe wa ccm ndo ninyi aaah basi ccm imekwisha kabisaa!
YAANI CCM BURE BURE KABISAAA! Mwenyekiti aibadilishe ccm toka juu ikiwemo na yeye.
 
Back
Top Bottom