Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wamemwandikia barua rasmi rais Jakaya Kikwete juu ya mwenendo wake wa kukaa kimya na kutochukua hatua yoyote kwa baadhi ya matukio yanayoonuesha kupangwa na wahusika kutowajibika hivyo wanamtaka rais awawajibishe.
Baadhi ya hao wanaotakiwa kuwajibishwa ni kamanda wa polisi wa Iringa, Morogoro, Arusha, Tabora na waziri wa mambo ya Ndani bwana Nchimbi
Baadhi ya hao wanaotakiwa kuwajibishwa ni kamanda wa polisi wa Iringa, Morogoro, Arusha, Tabora na waziri wa mambo ya Ndani bwana Nchimbi