DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Jussa ni mbabaishaji,tathmini ya cuf ameshindwa kueleza anadandia ya cdm.kama anasema siasa za uzinzi wanaijua basi wameuza ushindi na kupokea fungu,inakuaje kama mtoto wako hajui kusoma umpeleke form one.?