Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,903
- 32,312
- Thread starter
- #81
Mkuu Ritz
Mradi una baraka zote za uongozi; kauli ya Mnyika vuvuzela tu wanajua nini wanachofanya si kweli eti hawajui; yaani unataka kuniambia mtu akiuza miraa barazani kwako wewe hutajua? Hawa jamaa wameishiwa sera wamebaki kuhamasisha vurugu tu>
Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu chama,
Huyo John Mnyika, jana nimemsikia akisema hawawezi kukaa kimya Chadema wakichafuliwa ndio maana wameamua kumfungulia kesi Nape, anawachafua kuwa wanapewa pesa kutoka nje ya nchi wakati sio kweli. Sasa wameshindwa vipi kuwapeleka mahakamani hawa wauza CD ambao wanaziuza kwenye mikutano ya Chadema.
Last edited by a moderator: