Elections 2010 CHADEMA wamekumbwa na pepo gani?

Chadema ina watu makini na wenye akili ..labda awe ameenda kujimaliza mwenyewe

FL1- Point Noted - upo sahihi kule CHADEMA hakuna wajinga wajinga, waropokaji na mabendera fuata upepo, na wanaoingia kwa lengo hilo huwa hawana maisha marefu ndani ya CHADEMA. Kinachonifurahisha ni kwamba yeyote akitoka au akiingia ndani ya chama - CHADEMA inabakia vile vile, misingi imewekwa imara sana.
 
FL1- Point Noted - upo sahihi kule CHADEMA hakuna wajinga wajinga, waropokaji na mabendera fuata upepo, na wanaoingia kwa lengo hilo huwa hawana maisha marefu ndani ya CHADEMA. Kinachonifurahisha ni kwamba yeyote akitoka au akiingia ndani ya chama - CHADEMA inabakia vile vile, misingi imewekwa imara sana.

Kweli kabisa chadema ina misingi imara ya kuchagua viongozi na kusimamia mambo yao!

Ila haina misingi imara ya kulikomboa hili taifa!, sijajua zile kelelele za ufisadi tulizopiga zinazidi kweli kumweka Kikwete madarakani? na kushinda tena kwa kishindo? bado hatujaona tatizo liko wapi jamani??

Hamna upinzani Tanzania, ila kuna opportnist waliovaa majoho ya ukombozi ili hali are traitors!

Akitokea mtu akanipa timeline ya lini wapinzani Tanzania wanategemea kuchukua nchi, then nitafurahi kujua ukweli, aidha tatizo ni vyama, au wananchi! wananchi walisha-prove wanaweza kuwasikiliza wapinzani, this was proved longtime ago, 1995!!!!!

what to do??

1. Nchi hii sio ya CCM wala chama chochote, misingi imara ni vyama vya upinzani kupigania serikali ya umoja wa kitaifa, yaani serikali itakayoundwa kulingana na wingi wa kura wa kila chama! (haya ni mabadiliko ya katiba)

why?

1. vyama vitakuwa motivated kupata wanachama na kuhakikisha wanapiga kura
2. vyama vitakuwa makini kufanya kazi ili next uchaguzi wapate kura zaidi
3. vyama vitakuwa na kiu ya kueneza 'injili' ya siasa na kuanikana uovu wote
4. kila mwananchi wa tanzania atashiriki katika kuunda serikali
5. Every effort done by opposition will be valuable, not euphoria as the word ufisadi which it seems is fueling JK to be in power rather than to remove him from the power!!

huu ndio upinzani na hapa ndio msingi uliotakiwa kufanyika 1992!!!!!!! akina Mtei wanasema walijisahau, Slaa anasema CCM haiwezi kukubali na serikali haitaki kusikia! where are opposition then??

hivi ni lini mtakuwa mnapeperusha JF yetu kuwa ni great thinkers wanaotaka result na sio hopes zisizotengenezwa! otheriwse bila hivyo si chadema wala vyama vingine vitashika nchi hii! let us be troubleshooter rather than dreamshooter!
 
hoja rojorojo, kutoka kwa watu wa hovyo hovyo.
kamuulize Sabodo kwanini hakupeleka pesa yake TLP akaileta CHADEMA,
MBONA ccm Ilimpokea Warid Kabouru na kina Lamwai, iweje kosa kwa CCJ kuamia CHADEMA ?
Chadema wanakua wanachama wakawaida tu, wanaingia kwenye mchakato kama wanachama wengine, kwa taarifa yako , kuna wabunge kama 40 wa CCM wako mbioni kujiunga CHADEMA

Mwambie huyo.......................... katumwa ati................. mwambie huyoooooooooooooo. Ati akitoka Chadema kwenda sisi Mafisadi, swafi. Akitoka ccj kwenda Chadema, noma. Mwambieeeeeeeeee.

Na hii iwe salaam kwa wote wanaojifanya kuionea huruma Chadema kwa kupokea wanachama toka vyama vingine. Kwamba hicho ni kimbelembele. Wambieeeeeeeeeeeeee

Wamezoea domokrasia ya sisi m ambako kila mtu ni adui yao mpaka apendwe na makamba kwanza. Asemacho makamba na yule msanii wa porojo kikwete wanadhani ndio dhahabu. Wanawanyenyekea na kuwalamba miguu. Wambieeeeeeeeeeeeee.
 
Chadema ina watu makini na wenye akili ..labda awe ameenda kujimaliza mwenyewe
FirstLady maneno uliyosema ni kama yametoka mdomoni mwa Katibu Mkuu mwenyewe, nafikiri hata Dr. Slaa angesema hivyo hivyo.
 
Kweli kabisa chadema ina misingi imara ya kuchagua viongozi na kusimamia mambo yao!

Ila haina misingi imara ya kulikomboa hili taifa!,
Hamna upinzani Tanzania, ila kuna opportnist waliovaa majoho ya ukombozi ili hali are traitors!
Waberoya

Kwanza karibu sana maana umepotea takribani miezi minne sasa, nafikiri hata Kubwajinga naye karibu atajitokeza maana wote mlipotea kwa siku moja na tunajua wewe na Kubwajinga ni kama pete na kidole.

Pili labda umesahau nikukumbushe kidogo Chadema ya mwaka jana ya kina Zitto uliyokuwa unapiga kelele kuwa haikufanya uchaguzi wa mwenyekiti na kuvuruga uchaguzi wa BAVICHA, ndiyo hiyo hiyo unayosema leo 'ina misingi mizuri ya kuchagua viongozi na kusimamia mambo yake'.

Na Mwenyekiti wake bado ni yule yule Mh. Mbowe na mkono waliokuwa wanausubiri udondoke (Zitto) ndio unazidi kushikamana na misingi ya ukombozi ni ile ile haijabadilika labda sana sana kilichobadilika ni Chadema kuzidi kukubalika hata kwa makada wakubwa wa nambari one, welcome home.
 
Wangeenda CCM wangeambiwa ni vibaraka lakini wakienda CHADEMA ni mashujaa. Siasa za JF ni za kichama chama.

Ni kama wale wasanii, kuiunga mkono CHADEMA makofi kibao, wale walioenda kuiimbia CCM ziii kibao.
 
Back
Top Bottom