Nashindwa kutambua kama ikitokea mwaka 2015 wamechukua nchi kwenye uchaguzi huo, je wana uwezo kiasi gani wa kuongoza taifa hili masikini la kizazi kilichokata tamaa na kupoteza uelekeo. maswali yangu yapo katika nyanja zifuatazo
1.Je sera zao zipoje katika kuliongoza taifa hili
2.Je muundo wa viongozi wao hupo vipi katika kuliongoza taifa hili
3.Ukomavu wa misukosuko ya kiuongozi kwenye chama chao hukoje
4.Nini mikakati yao katika kuondoa umasikini na kulinda rasilimali za nchi hii
5.Mipango yao inasemaje juu ya kushughulikia maovu ya viongozi waliopita(tawala wa CCM)
6.Maoni yao kuhusu muundo wa BUNGE na serikali ya nchii hii
1.Je sera zao zipoje katika kuliongoza taifa hili
2.Je muundo wa viongozi wao hupo vipi katika kuliongoza taifa hili
3.Ukomavu wa misukosuko ya kiuongozi kwenye chama chao hukoje
4.Nini mikakati yao katika kuondoa umasikini na kulinda rasilimali za nchi hii
5.Mipango yao inasemaje juu ya kushughulikia maovu ya viongozi waliopita(tawala wa CCM)
6.Maoni yao kuhusu muundo wa BUNGE na serikali ya nchii hii