CHADEMA wamejiandaa vipi KUENDESHA NCHI?

Nchi gani hiyo unayo ongelea hapa? Jifunzeni ustarabu kwanza halafu acheni udini. Hii nchi itaongozwa na watu wenye akili timamu na sio wavuta bangi.

wavuta bangi kama wewe? Mi mvuta kamba nikibadili sana sana manati.
 
nilisikia mahojiano jana ya nelson mandela na mwanaharakati mmoja kijana yule kijana alimwuuliza mandela wakati anapigania uhuru hali ilikuwa tete je haikufika wakati alijisikia kukata tamaa? mandela alijibu anayekata tamaa si mpiganaji .kwa matokeo ya nepi tu japokuwa kayakana yameonyesha wazi ccm iko dakika za mwisho mwisho kusema ukweli nilikuwa nafuatilia picha za wapiga kura hasa wakina mama huko igunga wako hoi sana ule ni umaskini uliokithiri .
 
FaizalFoxy

You must becrazy in ur head. Ni watu kama wewe wenye kufikiria kwa kutumia MASABURI wanaweza kuongea upuuzi kama huu.
Lakini kwa Great Thinkers USHINDI WA CCM IGUNGA SI USHINDI HATA KIDOGO kama tukifanya tathmini za kina. Labda nikupe highlights kidogo tu kuonyesha kuwa CCM wameshindwa Igunga na hii ni INDICATOR YA UCHAGUZI WA 2015 kuwa CCM hawatapata kitu:
  1. CCM wametumia NGUVU KUBWA sana kwa maana ya PESA about 10 Bilioni zimetumika Igunga peke yake! Je
 
nilisikia mahojiano jana ya nelson mandela na mwanaharakati mmoja kijana yule kijana alimwuuliza mandela wakati anapigania uhuru hali ilikuwa tete je haikufika wakati alijisikia kukata tamaa? mandela alijibu anayekata tamaa si mpiganaji .kwa matokeo ya nepi tu japokuwa kayakana yameonyesha wazi ccm iko dakika za mwisho mwisho kusema ukweli nilikuwa nafuatilia picha za wapiga kura hasa wakina mama huko igunga wako hoi sana ule ni umaskini uliokithiri .
Mandela alikuwa anapigania haki, CDM inapigani tumbo.
 
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana mwenendo wa uchaguzi wa Igunga tangu kampeni hadi uchanguzi na mtiririko wa matokeo yanavyotolewa.

Binafsi nimeshangazwa sana na pia kutiwa moyo na jinsi CHADEMA ilivyojipatia idadi kubwa ya kura katika jimbo lenye madiwani wote wa CCM, hii inaashiria kuwa kiwango cha kukubalika kwa CHADEMA kinakua kwa kasi kubwa mno, nionavyo mimi katika uchaguzi wa serikali za mitaa ujao kuna uwezekeno mkubwa maeneo mengi nchini yakawa chini ya CHADEMA kitu ambacho kitaweka msingi wa ushindi 2015.

Pia Igunga imeniacha mdomo wazi kwa kushuhudia kuporomoka vibaya kwa CUF ambayo awali ilidai kuwa ndiyo yenye mtaji mkubwa na inaweza kushinda.

Niombe tu viongozi wa CHADEMA kukubaliana na matokeo kistaarabu (kama hakuna utata wa uchakachuaji) na kujipanga kujieneza zaidi vijijini ambako ndiko bado wananchi hawajitambua vizuri.Mwendo wa Chadema unaridhisha mno.

CHADEMA endeleeni kuchapa kazi vizuri hasa mlipo na dhamana tayari, dalili za mageuzi TZ zinaonekana.

Hongereni wana Igunga kwa kupiga kura kwa amani na utulivu,huu ndio ukomavu wa kisiasa.

Mungu ibariki Tanzania
 
Tuwasaidie Chadema let everyone become Chadema hubiri Uchadema popote utakapokuwa tusiwanyosheee wao kidole pekee maana wako wachache na Nchi ni kubwa na sisi tunaishi na hawa vichwa ngumu kwenye maisha yetu ya kila siku .Tuanze sisi wenyewe na Chadema wakifika wanamalizia kwa maana ya vingoozi.Kuleta changes kwa mtanzania haswa huhitaji kujiunga Chadema bakia uliko lakini huburi changes na Chadema watafanya kweli .
 
kwa mtazamo wangu chadema mmefanya vizuri sana uchaguzi wa igunga
naomba niweke wazi kuwa chadema ilikuwa inapambana na vyama viwili bila kujua
ccm na cuf wamechanganya kura zao ndio huu ushindi kiduchu ukapatikana
chadema mpo kwenye wakati mzuri zaidi wa kunyakua madaraka 2015
cha kufanya ni kujiandaa kwa sababu tumeshaona mnakubalika kwa wingi kabisa
kila la heri chadema!
 
Great thinket yeyote atakubaliana na maneno ya mtoa mada,zile kura za CUF ndo zilitabiriwa ziwe za CHADEMA nami pia naona uelewa wa wananchi unakua sasa,2015 tutarajie makubwa Igunga ilikuwa ni Chadema against Serikali lakini yaliyaojiri sote tumeyaona.
Ukombozi uko karibu sana TZ. nawapongeza wanachaema wote, kazi nzuri
 
Ukisema ccm imeshinda basi unamaanisha ccm ni hero among the fools, maana ushindi finyu uliotumia gharama kubwa unaonesha chadema is a real hero kuwakosesha usingizi size yao(ccm) labda cuf.
Any way chadema kwasasa inapaswa kuendelea na harakati kufa na kupona maana masikini hachoki kutafuta(kuna umasikini wa aina nyingi) vijana na chipukizi wengi kizazi hiki ni wapenzi wao tatizo wengi hawana vitambulisho vya kupigia kura hawajaandikishwa katika daftari la kudumu la wapiga kura hili nalo walitazame maana wapiga kura wao ni vijana, kisha ndio watafakari wataiendesha vipi nchi yetu baada ya kuichukua kutoka mikononi mwa hao warasimu idiot kings.
Kuhusu igunga ni hivi to be won or to win is not the matter the matter is to fight hard leaving the struggle with nothing in your hands is nonesense.
WAR FRONT KAMA KITOVU CHADEMA LETS GO!
 
Mimi sijawahi kuwa mwanachama wa chadema wala ccm....but nikiwa kama mtanzania huru ambaye nafuatilia japo sio kwa undani saana siasa za nchi hii.....

Sasa niko convinced kabisa kuwa CHADEMA wanaelekea kuchukua uongozi wa nchi... na kwamba kifo cha CCM sasa ni uhakika.....tatizo langu ni hili .....

Je, CHADEMA wanajiandaa kweli kuendesha nchi?

Wasiwasi wangu ni kuwa wanatumia nguvu kuubwa kupambana na kuiondoa CCM na ikitokea kwa mfano huu uchaguzi wa Igunga CCM wametangazwa kushinda.....basi ni rahisi kwa viongozi wa CHADEMA kuamini kuwa KAZI BADO NI KUBWA MBELE... wakati kiukweli mimi naona CCM is done for good....

Tazama mfano wa Igunga....
Baada yaa kupeleka viongozi wa kitaifa na hila zoote wanatangazwa kushuinda kwa chini ya asilimia 50 kwa jimbo moja...

Je, ukifika wakati wa uchaguzi kwa majimbo yote? Wataweza kufanya fitina ya majimbo yoote?

Kama Igunga ilikuwa yao kwa miaka yote, leo hawapati hata asilimia 50, it's time kwa watanzania tukaanza na kujiandaa na LIFE AFTER CCM..... the sand is shifting beneath.....

Je, CHADEMA wataweza kujiepusha na mistakes za vyama vya upinzani vya Africa vinapopata madaraka?

Mkuu, umekosea ulikuwa unataka kusema CDM wajiandae kuendesha Fuso zao walizonuna kwa Mbowe!
 
  • Thanks
Reactions: Omr
Kufikiria kuwa CHADEMA wanaweza kuongoza kupata kuongoza nchi ni alinacha. Igunga kipimo tosha.
S
kama Igunga ndio kipimo, suppose hayo ndo yangekuwa matokeo ya jumla ya 2015, hali ingekuwaje, ukweli ni kuwa Iginga ni alarm kali sana kwa CCM, haiwezekani mtu aje nyumbani kwako halafu wanao wote wanamfuata yeye halafu wewe unabaki na mkeo tu,hatari kubwa ati!
Akili za nepi changanya na zako
 
Chadema wamejipanga kam Nyerere alivyoanza
We mtoto, acha kabisa kuchafua jina la nyerere, Nyerere hakuwahi kuiba mke wa mtu, hakuhamasisha wavuta bangi kufanya fujo na team yake nzima ilikuwa inaheshimika sana kwenye hii jamii.
 
Mimi sijawahi kuwa mwanachama wa chadema wala ccm....but nikiwa kama mtanzania huru ambaye nafuatilia japo sio kwa undani saana siasa za nchi hii.....

Sasa niko convinced kabisa kuwa CHADEMA wanaelekea kuchukua uongozi wa nchi... na kwamba kifo cha CCM sasa ni uhakika.....tatizo langu ni hili .....

Je, CHADEMA wanajiandaa kweli kuendesha nchi?

Wasiwasi wangu ni kuwa wanatumia nguvu kuubwa kupambana na kuiondoa CCM na ikitokea kwa mfano huu uchaguzi wa Igunga CCM wametangazwa kushinda.....basi ni rahisi kwa viongozi wa CHADEMA kuamini kuwa KAZI BADO NI KUBWA MBELE... wakati kiukweli mimi naona CCM is done for good....

Tazama mfano wa Igunga....
Baada yaa kupeleka viongozi wa kitaifa na hila zoote wanatangazwa kushuinda kwa chini ya asilimia 50 kwa jimbo moja...

Je, ukifika wakati wa uchaguzi kwa majimbo yote? Wataweza kufanya fitina ya majimbo yoote?

Kama Igunga ilikuwa yao kwa miaka yote, leo hawapati hata asilimia 50, it's time kwa watanzania tukaanza na kujiandaa na LIFE AFTER CCM..... the sand is shifting beneath.....

Je, CHADEMA wataweza kujiepusha na mistakes za vyama vya upinzani vya Africa vinapopata madaraka?

Nakubaliana na wewe. Kwa sasa CHADEMA wanatakiwa kujiimarisha katika ngazi ya matawi zaidi. Ofisi za chama zifunguliwe na uongozi uwepo kwa ajili ya kuingiza wanachama zaidi na kutoa elimu ya uraia. Jambo la muhimu zaidi sio jinsi ya kuingusha CCM bali ni jinsi gani itaongoza dola kwa mafanikio na uadilifu bila kuongozwa na mashinikizo ya mabeberu wa nje na ndani. Plz CHADEMA imarisheni chama vijijini na mijini.
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom