Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa
source mjengwa
Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa
source mjengwa
Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa
source mjengwa
Hii ilikuwa Arumeru kwenye kampeni za Ubunge. Chadema acheni kutapeli wananchi
Extraordinary claims require extraordinary evidence.So that sage Sagan said.
Kabla hujasema "wamechakachua" kuwa na uhakika ukiulizwa "wapi?" unaweza kuonyesha "hapa".
Kwa hakika wewe ni kilaza wa kutupwa, pole sana! Jaribu angalau mara moja moja kuficha upumbavu wako...unaishusha hadhi JF!
Angalia vizuri hizo picha zote ni za jana kwenye mkutano wa Chadema Morogoro, picha hizi majukwaa yanafanana, tofauti ipo kwenye bendera picha moja ina bendera ingine aina, halafu angalia nyuma kabisa picha moja inaonyesha nyumba ingine aina nyumba.
JF daima....:clap2:
Kwanza hiki ni kipande tu cha umati kama 50%, nilikuwepo na ilikuwa vigumu kupiga picha umati wote kwa mara moja. Labda kama ungepata helikopta.