kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Mambo haya hapa
Umepewa vitumbua vingapi?
Mambo haya hapa
Pole sana, hapo hakuna uchakachuaji wa picha ila naona mnaweweseka tu wanamagamba. Kwani drip za uhai mlizoweka zinakaribia kuisha?Jamani acha uongo anko
calculator uwe na kumbukumbu ndogo basiMambo haya hapa
Kwahiyo mleta mada unataka kutuaminisha ya kuwa waliuwa mtu ili watu waogope kwenda kwenye mkutano??
Ushahidi upi? mwingine mkuu au ndio unafanya upembuzi yakinifu
Extraordinary claims require extraordinary evidence.So that sage Sagan said.
Kabla hujasema "wamechakachua" kuwa na uhakika ukiulizwa "wapi?" unaweza kuonyesha "hapa".
Umepewa vitumbua vingapi?
Mkuu hiyo picha ya kuchakachua hata kama wewe ni Chadema wakutupwa ebu angalia vizuri hiyo picha ina vipande vitatu, hilo jukwaa halafu angalia katikati watu wamesimama.
calculator uwe na kumbukumbu ndogo basi
mbona huu kutano wa ukoo
mbona hauna hata mazingira ya morogoro
hebu kuwa mkweli kidogo kabla sijashusha credibility yako aise
Leo umebahatika kuwa na comments nyingi kwakuwa umegusa mioyo ya watu lakini kubisha kwamba hii picha halisi, umechemka. Linganisha na hii habari .. Mauaji ya Raia mikononi mwa Polisi Moro - YouTube... halafu endelea kubisha.
Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa
source mjengwa
Advocate m-bishi wewe, haya bwana. Ni pm nkwambie kitu kizuri basi
Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa
source mjengwa
Nilikuwepo kwenye mkutano wa CHADEMA Morogoro jana. Wewe unayesema kwamba haupendi mambo ya propaganda naona uko kwenye kundi la kina Thomas wa kwenye Biblia. Watu walijaa mpaka nikawa nawaambia wenzangu kwamba inawezekana kwa Morogoro ikawa ndo mara ya kwanza kukusanyika watu wengi kiasi iki. Na kwa taarifa yako Polisi wasingemuua Ally nafikiri hata watu wangekosa pa kusimama achilia mbali pa kukaa. Muulize mtu yeyote wa Morogoro aliyehudhuria mkutano huo kama mimi ni mwongo basi Mungu anichukkulie hatua. Watu wameamua na kwa taarifa yako hakuna wa kuwarudisha nyuma. bakieni kutokuamini mpaka mtakapoona yamekuwa
Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa
source mjengwa
Pamoja na kuwa teacher wangu(indirect)wa lugha ngumu,pia fact zako ni extraordinary and untouchable,kama hii hapo juu.
tembelea michuzi blog utapata za kutosha maumivu yakizidi gona PANADOL
Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa
source mjengwa
Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa
source mjengwa