"CHADEMA Wamechakachua Picha"!

Mjengwa naye mbona wale wale wa zamani. Bado Ana mawazo ya kizamani. Hivi hajui kuwa kwa purukushani zile zinaweza mfanya mtu aende kuangalia kuna nini Jipya mpaka polisi wanaua.
 
Extraordinary claims require extraordinary evidence.So that sage Sagan said.

Kabla hujasema "wamechakachua" kuwa na uhakika ukiulizwa "wapi?" unaweza kuonyesha "hapa".

Anatumia fikra kupingana na uhalisia.
 
Hii inaashiria kuwa CCM imepitwa na wakati ni chama mfu. CCM byebye katika utawala wa nchi hii.

SAM_4817.JPG

Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa

source mjengwa


 

SAM_4817.JPG

Mimi ni kati ya watu nisiyopenda propaganda za kijinga.Nani anaweza akaamini kuwa CHADEMA walipata watu umati wote huu jana wakati mtu mmoja alikuwa ameshauawa na wengine kujeruhiwa mchana huohuo? tuache kudanganyana hapa,CHADEMA wametengeneza hii picha siyo halisi.kama kweli watu wamejaa hivi baada ya mauwaji basi chama hiki kipo mioyoni mwa watu na hakuna atakaye kizuia.Hata hivyo msimamo wangu mpaka nitakapopata ushahidi mwingine ni kuwa picha hii chadema wameichakachua tu
MasalaKulangwa

source mjengwa



Nilifikiri una uhakika kumbe ni kubashi uwe unakuja na vitu ambavyo uko na uhakika navyo
 
kumbe mnafanya vitu kwa makusudi mkitegemea watu waogope ,kwenye ukweli hali ni tofauti na mnavyofikiria ,watu wamefika mkutanoni kama kawaida ,subiri wakishusha bendera ya mkoloni mweusi na kupandisha ya chadema sijui utaficha wapi uso wako .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom