Antar bin Shaddad
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 202
- 101
hoja dhaifu sana,CCM wanafanyia ufisadi ruzuku yao kiasi gani pamoja na mapato yatokanayo na vyanzo vyao vya mapato?zitto tutakupa ulinzi huyo mbowe na genge lake walimwondoa wangwe shauri ya kupinga mbowe kuchota mapesa. jihadhari kaka hao wakaskazini ni wabinafsi.
wanapeana mshahara 15 milioni na kuuzia chama mitumba