CHADEMA walitegwa, HAWAKUTEGEKA...

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Walikuwa wakisubiriwa kwa hamu mno.Waseme japo neno moja juu ya vurugu za Zanzibar.Vikao mbalimbali vya Nyinyiemu vilijiapiza kudandia kwa kuponda kauli ya kiofisi ya CHADEMA juu ya vurugu hizo.Intelijensia ilihamia CHADEMA.CHADEMA ikabaki kimya.Imecheza karata zake vyema.CCM wamekosa pa kuanzia.Waweza kusema:Maaskofu waliomuona Shein wametumwa na CHADEMA.Mtego umefyatuka kabla ya kumnasa aliyelengwa.Nyinyiemu chaliiii....kazi ni kwenu!
 
Walikuwa wakisubiriwa
kwa hamu mno.Waseme japo neno moja juu ya vurugu za Zanzibar.Vikao
mbalimbali vya Nyinyiemu vilijiapiza kudandia kwa kuponda kauli ya
kiofisi ya CHADEMA juu ya vurugu hizo.Intelijensia ilihamia
CHADEMA.CHADEMA ikabaki kimya.Imecheza karata zake vyema.CCM wamekosa pa
kuanzia.Waweza kusema:Maaskofu waliomuona Shein wametumwa na
CHADEMA.Mtego umefyatuka kabla ya kumnasa aliyelengwa.Nyinyiemu
chaliiii....kazi ni kwenu!

mbona CDM ilishatoa tamko? kuna uzi humu kuhusu hilo!
 
mbona CDM ilishatoa tamko? kuna uzi humu kuhusu hilo!

hawakutoa tamko ambalo nyinyiemu walikuwa wanalitaka ili walitumie,chadema tamko walilolitoa lilikuwa haliwapi mwanya walioutaka.Ni kama vile kumsubiri mtu mlango wa mbele kwa rungu,yeye akatokea mlango wa nyuma baadaye unagundua alishasepa kitambo..Magamba wataanza kufa kwa Presha soon!! Walitaka waseme Chadema ndio wanachochea vurugu za ZNZ
 
kazi kweli kweli chichiem chaliii...watatumia mbinu zote ila hawawezi kushindana na nguvu ya umma
 
Exactly VUTA-NKUVUTE hata mimi nililiona hilo, ndio maana baada ya vurugu thread nyingi zilijaa kuuliza mbona CDM kimya, mbona chama kikuu cha upinzani hakisemi lolote zikiongozwa na kiziwi na zomba. Vile vile walikuwa wametega kusikia kauli ya maaskofu hasa Pengo napo wakagonga mwamba.

Naanza kukubaliana na baadhi ya watu kuwa uchomaji wa makanisa ulifanywa na watu maalum kwa makusudi maalum.
 
Last edited by a moderator:
Ukimya wa CHADEMA kwangu si hoja; kinachonisumbua ni ukimya wa Rais wa Muungano (Dr Kikwete) na Rais wa Zanzibar (Dr Shein) wakati umma wote unategemea kauri zao ili kupata msimamo wa kitaifa. Umma unasubiri kumsikia mmojawao kwa kuwa katika viapo vyao ni pamoja na kulinda katiba, muungano na amani ya watanzania. Hisia zanisukuma kufikiria kuwa labda tuvute subira, bado serikali inaendelea na uchunguzi / upelelezi wa jambo hili zito la vurugu zxa kisiasa (kudai Muungano) kugeuka kuwa za kidini (kuchoma makanisa na biblia). Hata kwenye suala la mgomo wa madaktari serikali ilisubiri kwanza ndipo badaye ikajibu na kuelezea kwa kishindo kikubwa.
 
Ukimya wa CHADEMA kwangu si hoja; kinachonisumbua ni ukimya wa Rais wa Muungano (Dr Kikwete) na Rais wa Zanzibar (Dr Shein) wakati umma wote unategemea kauri zao ili kupata msimamo wa kitaifa. Umma unasubiri kumsikia mmojawao kwa kuwa katika viapo vyao ni pamoja na kulinda katiba, muungano na amani ya watanzania. Hisia zanisukuma kufikiria kuwa labda tuvute subira, bado serikali inaendelea na uchunguzi / upelelezi wa jambo hili zito la vurugu zxa kisiasa (kudai Muungano) kugeuka kuwa za kidini (kuchoma makanisa na biblia). Hata kwenye suala la mgomo wa madaktari serikali ilisubiri kwanza ndipo badaye ikajibu na kuelezea kwa kishindo kikubwa.

watasema nini wakati hili kundi walililea wenyewe mpaka limekuwa kubwa, hawa ndo waliipigia debe nyinyiem wakati wa uchaguzi, nadhani kunamahitaji hawajatimiziwa ndo maana wamekuwa wakali sana, wao shida yao ilikuwa ni mahakama ya kadhi, Magamba wakawachinjia baharini, NDO MAANA WAMEAMUKA KWA NGUVU ZOTE!
 
Exactly VUTA-NKUVUTE hata mimi nililiona hilo, ndio maana baada ya vurugu thread nyingi zilijaa kuuliza mbona CDM kimya, mbona chama kikuu cha upinzani hakisemi lolote zikiongozwa na kiziwi na zomba. Vile vile walikuwa wametega kusikia kauli ya maaskofu hasa Pengo napo wakagonga mwamba.

Naanza kukubaliana na baadhi ya watu kuwa uchomaji wa makanisa ulifanywa na watu maalum kwa makusudi maalum.

Wacha kutia maneno yako kinywani mwangu, ni wapi nilisema hayo niliyoyawekea nyekundu?

Kama huna cha kusema usitie maneno yako kinywani mwangu, huo ni uzandik, ubaradhuli na ufataani.
 
Ukimya wa CHADEMA kwangu si hoja; kinachonisumbua ni ukimya wa Rais wa Muungano (Dr Kikwete) na Rais wa Zanzibar (Dr Shein) wakati umma wote unategemea kauri zao ili kupata msimamo wa kitaifa. Umma unasubiri kumsikia mmojawao kwa kuwa katika viapo vyao ni pamoja na kulinda katiba, muungano na amani ya watanzania. Hisia zanisukuma kufikiria kuwa labda tuvute subira, bado serikali inaendelea na uchunguzi / upelelezi wa jambo hili zito la vurugu zxa kisiasa (kudai Muungano) kugeuka kuwa za kidini (kuchoma makanisa na biblia). Hata kwenye suala la mgomo wa madaktari serikali ilisubiri kwanza ndipo badaye ikajibu na kuelezea kwa kishindo kikubwa.

kauri , pl kauri { English: cowrie shell }
noun 9/10 [ photos: upload ]


kauri { English: cowrie shell[ derived: (Ind.), kaule ] }
noun [ photos: upload ]
Swahili Example: vyombo vya kauri

[ note: porcelain, China. ]

kauri , pl kauri { English: chinaware }
noun 9/10 [ photos: upload ]

Source: http://www.kamusi.org/en/lookup/sw?Word=kauri
 
Ukimya wa CHADEMA kwangu si hoja; kinachonisumbua ni ukimya wa Rais wa Muungano (Dr Kikwete) na Rais wa Zanzibar (Dr Shein) wakati umma wote unategemea kauri zao ili kupata msimamo wa kitaifa. Umma unasubiri kumsikia mmojawao kwa kuwa katika viapo vyao ni pamoja na kulinda katiba, muungano na amani ya watanzania. Hisia zanisukuma kufikiria kuwa labda tuvute subira, bado serikali inaendelea na uchunguzi / upelelezi wa jambo hili zito la vurugu zxa kisiasa (kudai Muungano) kugeuka kuwa za kidini (kuchoma makanisa na biblia). Hata kwenye suala la mgomo wa madaktari serikali ilisubiri kwanza ndipo badaye ikajibu na kuelezea kwa kishindo kikubwa.
Serikali yetu ipo likizo labda wakirudi watatoa tamko.
 
Mmh kama hio ndo mtego wao, basi kwa hakina 'Tulianzana Mungu na tutamaliza na Mungu'. Mungu akiwa upande wetu, nani atakuwa juu yetu?. Poleni magamba!
 
Wacha kutia maneno yako kinywani mwangu, ni wapi nilisema hayo niliyoyawekea nyekundu?

Kama huna cha kusema usitie maneno yako kinywani mwangu, huo ni uzandik, ubaradhuli na ufataani.
Siyo lazima niandike exactly maneno yote uliyosema lakini lengo linaonekana wazi, mfano thread yako uliyoianzisha just after the Zanzibar event lengo lilikuwa ni ku-associate mkutano wa CDM Jangwani na vurugu lakini watu wakakupuuza....

Thread started by zomba https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/269961-m4c-zanzibar.html?highlight=#post3954425

Yanayotokea Zenj ni matunda ya upando wa M4C? maana baada ya hotuba ya Jangwani tu haijapita hata masaa 24 mambo ndio hayo. Ni wakati muafaka wa nyinyi kwenda huko kuendeleza M4C.
Kwa heshima na taadhima, tunaomba uongozi wa CHADEMA usisahau kupeleka mkutano wa M4C Zanzibar haraka iwezekanavyo, tena tunaomba sana Mheshimiwa Tundu Lissu apewe muda mrefu wa kuongea atapokuwa huko. Inaonesha kuwa CHADEMA imewaamsha Wazanzibari kutokea Jangwani ni vyema wakafika huko "LIVE".
 
labda kunaj jambo lingine Linakaribia kibuka huko Zanzibari , Pia waliakamatwa watachukuliwa hatua????
 
Siyo lazima niandike exactly maneno yote uliyosema lakini lengo linaonekana wazi, mfano thread yako uliyoianzisha just after the Zanzibar event lengo lilikuwa ni ku-associate mkutano wa CDM Jangwani na vurugu lakini watu wakakupuuza....

Thread started by zomba https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/269961-m4c-zanzibar.html?highlight=#post3954425

Kwanza umekiri kuwa ni mdhaifu kwa kushindwa kutetea usemi wako na kukiri kuwa hayo uliyoyaandika sijayasema, tazama niliyokuwekea nyekundu.

Hayo uliyoyanyofoa kwenye nyuzi zangu na posts nilizoziweka unaweza kujibu huko kutokana na muktadha husika.

Siku zingine uwe makini na usikurupuke na unafik wako.
 
Back
Top Bottom