NALO LITAPITA
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 333
- 90
Kimsingi kwa yule alnayejua kuliangalia hili uajumuika kukubaliana na mimi kuwa cdm hawatakutana na rais kama walivyoomba hila watakutana na mwenyekiti wa ccm kwa sababu zifuatazo
1.tangu lini raisi akitaka kukutana na watu au organization fulani kamati kuu ya chama chake ndo kinatoa maamuzi?
2.kwa kuwa hoja ilijadiliwa na kamati ya chama chake na wakamuruhusu akutane nao mtakubaliana nami kuwa amepewa na yale atakayo yasimamia na kamati ya chama chake;je katika haya kuna anaebisha kuwa huu mchakato wa katiba ni kwa manufaa ya ccm?
1.tangu lini raisi akitaka kukutana na watu au organization fulani kamati kuu ya chama chake ndo kinatoa maamuzi?
2.kwa kuwa hoja ilijadiliwa na kamati ya chama chake na wakamuruhusu akutane nao mtakubaliana nami kuwa amepewa na yale atakayo yasimamia na kamati ya chama chake;je katika haya kuna anaebisha kuwa huu mchakato wa katiba ni kwa manufaa ya ccm?