Chadema wakwepa kodi

Mbinu za kizamani sana hizi. CCM wamekuwa wanazitumia kutishia wafanyabiashara wakubwa ili wawaunge mkono (forced marriage). Lakini sidhani kwa zama hizi mbinu kama hiyo italeta majibu wanayotaka. Wakubwa wa TRA - hii itakula kwanu.
 
Tumepata habari za upande mmoja, Slaa.Mboe.na Zitto tunaomba taarifa zenu kabla umma haujanza kuwashukia hakika kama wakipatikana na kosa la ukwepaji kodi ni muda muafaka wa kikifuta hiki chama oh mungu mkubwa hatimae mmenasa kiulaini
 
Tumepata habari za upande mmoja, Slaa.Mboe.na Zitto tunaomba taarifa zenu kabla umma haujanza kuwashukia hakika kama wakipatikana na kosa la ukwepaji kodi ni muda muafaka wa kikifuta hiki chama oh mungu mkubwa hatimae mmenasa kiulaini

Wamenasa katika mtego wa pacha hawana ujanja, TRA iliwapa nafasi hadi ijumaa ya juzi wajitee, wameingia mitini. Labda kwa sabau walikuwa safarini, tuwasubiri j3 wajipeleke TRA
 
Kumbe tax holiday ni kwa makamuni ya kifisadi kama CCM, airtel na makampuni ya madini tu? Ruzuku yenyewe ya maana si wameanza kuipata mwaka huu tu kweli CCM wanaweweseka kama wamepata tetekuwanga.
 
Wamenasa katika mtego wa pacha hawana ujanja, TRA iliwapa nafasi hadi ijumaa ya juzi wajitee, wameingia mitini. Labda kwa sabau walikuwa safarini, tuwasubiri j3 wajipeleke TRA

Hata jumatatu wataingia mitini kuanzia jumatatu ni wakati muafaka wa kuanza kuwapeleka kwa wananchi weelewe ya kuwa hiki chama ni cha wasanii wa kutupwa hakika mungu anatenda, secretariet ya ccm ijapange vizuri kwa ajili ya kupeleka taarifa zilizokamilika kwa uma wa watanzania
 
Sasa TRA hawajui cha kufanya? Matatizo ya kutolipa kodi si mahakamani?

By the way, ni taasisi, makampuni au wafanyabiashara wangapi ambao hawajalipa kodi ambao TRA imewatangaza magazetini? TRA sasa inatumiwa kisiasa?

Siku hizi wahariri wa gazeti hilo la watu wa magamba limekuwa na tabia ya kutafuta kitu negative kuhusu CDM na halafu kutafuta mamlaka au mtu muafaka kulizungumzia kwa kutegemea kupata comments za kukiponda Chadema. Na hata hivyo nashangaa gazeti hilo halikwenda mbali zaidi kumtafuta Mrema, Profesa wa Pumba au Mbatia nao ku-comment!

Mtindo huu pia wanao wahariri wa JAMBA LEO. Nakubaliana na mchangiaji aliyetangulia kwamba method hii ya kutaka kuwaokoa watu wa magambna ni ya kizamani.

Kifupi TRA waende mahakamani kimya kimya kama inavyofanya kwa mamia ya wakwepaji wengine, unless hao TRA watuambie kwamba kipo kipengele ktk sheria/kanuni zao kwamba iwapo itakuwa ni chama cha siasa ndicho kimekwepa kodi, basi haraka kitangazwe gazetini!

Pambaff kabisa!
 
Kweli CCM sasa wamezidiwa duh
wametumia
udini
polisi
ukanda
TISS
TUME YA UCHAGUZI
MSAJIRI VYAMA VYA SIASA
KATIBA
wasanii
majini ya shehe moja RIP
Familia
Ufisadi
mahakama----arusha
Vyombo vya habari
Rushwa
Na sasa TRA
bado jeshi nadhani hiyo sio muda maana nawasikia wakichomekia kuna uhaini kila siku
 
Sasa TRA hawajui cha kufanya? Matatizo ya kutolipa kodi si mahakamani?

By the way, ni taasisi, makampuni au wafanyabiashara wangapi ambao hawajalipa kodi ambao TRA imewatangaza magazetini? TRA sasa inatumiwa kisiasa?

Siku hizi wahariri wa gazeti hilo la watu wa magamba (Mzalendo) limekuwa na tabia ya kutafuta kitu negative kuhusu CDM na halafu kutafuta mamlaka au mtu muafaka kulizungumzia kwa kutegemea kupata comments za kukiponda Chadema. Na hata hivyo nashangaa gazeti hilo halikwenda mbali zaidi kumtafuta Mrema, Profesa wa Pumba au Mbatia nao ku-comment!

Mtindo huu pia wanao wahariri wa JAMBA LEO. Nakubaliana na mchangiaji mmoja aliyetangulia kwamba method hii ya kutaka kuwaokoa watu wa magambna ni ya kizamani.

Kifupi TRA waende mahakamani kimya kimya kama inavyofanya kwa mamia ya wakwepaji wengine, unless hao TRA watuambie kwamba kipo kipengele ktk sheria/kanuni zao kwamba iwapo itakuwa ni chama cha siasa ndicho kimekwepa kodi, basi haraka kitangazwe gazetini!
 
Mbinu za kizamani sana hizi. CCM wamekuwa wanazitumia kutishia wafanyabiashara wakubwa ili wawaunge mkono (forced marriage). Lakini sidhani kwa zama hizi mbinu kama hiyo italeta majibu wanayotaka. Wakubwa wa TRA - hii itakula kwanu.

Kaka kweli kabisa. Hii ni habari njema sana.

Inawezekana kweli CHADEMA wamekwepa kodi ila kati ya vitu vinavyoudhi nchi hii ni UNAFIKI wa watendaji wa ngazi mbalimbali. Yaani wanajidai kufuata sheria pale maslahi fulani yanapoguswa? Bila kugusa maslahi ni halali kutofuata sheria au sheria husika zinakuwa hazionekani? Ni hivi majuzi CHADEMA katika ziara zao walizungumzia UFISADI wa TRA hususan huyo Bw. Luoga leo tunaona Luoga huyo huyo na TRA yake wakiigeuzia CHADEMA kibao - kama utoto fulani hivi!

Kabla ya kuituhumu TRA ilikuwa halali kwa CHADEMA kukwepa kodi kama kweli wamekwepa? Na je, ni CHADEMA peke yao wanaokwepa kodi japo kosa la mwingine halihalalishi wewe pia kufanya kosa? Jamani UNAFIKI gani huu?

Lakini habari njema ni kwamba mengi ya TRA yenyewe na huko CCM yatajulikana na kuanikwa hadharani kuhusu ukwepaji kodi; hili la CHADEMA litakuwa cha mtoto. Tusubiri tutaona mpaka nyaraka za magamba humu halafu ndio wataanza tena kuruka kimanga.

Daima hili litasimama: Ulimi wa UONGO ni wa kitambo tu lakini KWELI huthibitika milele.

Mungu Ibariki Tanzania na watu wake.
 
Kafirimaji unatumia gahawa ya tunduru au kilimanjaro au kagera au nikupe chai ya mufindi au njombe!?!
Asee wewe ni nouma jamaa yangu, njoo hapa matongee nikupe kitu cha mchemsho for this useful post
 
Luoga,rais wangu ndugu dr Slaa alisema uachie ofisi,hakusema uende kuangalia returns za kodi cdm. Luoga,ivi siku izi TRA imeanza kutangaza nani kalipa kodi na nani hajalipa? Je kukwepa kodi impact yake ni kutangazwa au kuchukuliwa sheria? Je unadai wamekwepa kodi ya uchaguzi mwaka 2010,ivi unadhani sheria za kodi umesoma wewe peke yako? Je unajua baada ya Y0I mteja anapaswa kufile SOETP baada ya 6mönth after Y0I?? Je kwa COY isiyo na execuse YOI si mwaka unaanza jan-dec. Je tangu end of YOI 2010 miezi6 imepita? Bwn kama TRA imekuwa ndo kitengo kipya cha propaganda CCM baada ya Tambwe Hiza?? TRA kaeni chonjo na upumbavu huo,kumbuka TRA awali ilikuwa na heshima yake,lakini mkitaka kuifanya hadhi ya shule ya kata ni juu yenu! Kama wamekwepa kodi,wapelekee notice ya estimates zenu,wadai penalty,wapeleke mahakamani n.k lakini si kututajia majukumu yenu kwani nasi tuna majukumu yetu pia!
 
Tumepata habari za upande mmoja, Slaa.Mboe.na Zitto tunaomba taarifa zenu kabla umma haujanza kuwashukia hakika kama wakipatikana na kosa la ukwepaji kodi ni muda muafaka wa kikifuta hiki chama oh mungu mkubwa hatimae mmenasa kiulaini

we hapa sio magomen ambapo nyie akina asha mnatoa maneno huku mnampelekea mwingine ili kuchonganisha. Kwani we ni mahakama unayepokea upande huu na kutaka upande wa utetezi? Acha umbea!
 
Rais kikwete mwajibishe Luoga,kasema cdm wamekwepa kodi,si hao tu tupo wengi,na hata sie tunaokula mlo mmoja tunakwepa VAT ktk milo mingine! Jk mfukuze Luoga kakiri kushindwa kukusanya kodi.
 
[Wakati Komu katika ufafanuzi wake alisema Dk. Slaa analipwa mshahara (basic) wa sh. 1,725,000 waraka unaonyesha analipwa sh. 2,300,000. Mbunge analipwa sh. 2,305,000 kabla ya kukatwa kodi.
Kwa upande wa posho, Slaa analipwa mafuta sh. 1,387,500 kwa lita 750 kwa mwezi huku fedha za majukumu zikiwa ni sh. 575,000, mawasiliano sh. 460,000 na nyumba sh. 1,000,000.
Posho nyingine ni kwa ajili ya viburudisho sh. 462,500 na utendaji kazi sh. 989,000. Mshahara huo umefanywa ni maalumu kwa Dk. Slaa pekee na iwapo chama hicho kitapata katibu mkuu mwingine hawezi kulipwa hivyo.
Dk. Slaa akiungwa mkono na Mbowe anadaiwa kujipatia posho ya nyumba mara mbili kwani ilishapendekezwa alipwe sh. milioni 40 kwa ajili ya kumalizia ujenzi wa nyumba yake eneo la Mbweni nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam.
Licha ya kupewa fedha hizo, Dk.Slaa ameendelea kupewa posho nyingine ya nyumba ya sh. 1,000,000 kila mwezi huku akiwa tayari amelipwa na chama sh. milioni 40 kumalizia nyumba yake ambayo sasa anaishi.]


Hii kama ni kweli Dr. heshima inazidi kushuka. Itakuwa ni unafiki mkubwa sana, tofauti na maneno yake. Chama kinapitisha vitu njia za panya? Huu ni uhuni wa hali ya juu bila kuangalia nani kafanya au kwa sababu zipi. Dhambi ni dhambi haijalishi utaitetea vipi. Kama kweli ndo sasa tunaanza kuwatambua vizuri. Hebu makada wa CDM kanusheni kwa data na si matusi na kejeli.
 
Back
Top Bottom