Ha ha haaaa mpenda zoe aliisha bugi stepu bana ! kujitoa cdm ndiko aliji maliza wenyewe, na asivyo na akili akapoteza mafao yake ya ubunge. Wakina Shibuda walilamba kwanza ndipo wakatoka
Kapandb dr.slaa.kaanza na ishu ya ccm na kujivua gamba.dr.wa ukweli katoa gamba la nyoka live ndani ya gwanda.nyoka aina ya koboko,yule mwenye sifa ya kukimbiza watu.katoka nalo songea mbinga.anaanza uchambuzi.kama kawa kaanza na data.
cdm sasa mnapoteza muelekeo maswla akina mwakiembe na sitta huo ni umbea sasa ongeeni issue ni jinsi gani zera zenu mbadala zinaweza kuwakomboa wananchi achaneni na kuongelea watu
Kapanda kamanda silnde sauti ya simba mb wa mbozi.huwez amin polisi nao leo wanaitikia peoples power!.anapanda sugu sasa.kwanza anapiga free style.anauliza masela mpo!mnaniona mwanenu?anawaasa raia kusimamia na kutetea haki zao
twanga kotekote ndugu.cdm inamchana mwanaccm jk live,itamwogopaje mwanaccj nape? Ww vp? Hata waje wanaccj wangapi cdm kama kazi! Ujiulizi kwa sasa cdm inamchala mijeled (ccm+ccj+cuf),yan inachapa kote kote!
Kapandb dr.slaa.kaanza na ishu ya ccm na kujivua gamba.dr.wa ukweli katoa gamba la nyoka live ndani ya gwanda.nyoka aina ya koboko,yule mwenye sifa ya kukimbiza watu.katoka nalo songea mbinga.anaanza uchambuzi.kama kawa kaanza na data.
twanga kotekote ndugu.
we vp?ujue wanaoöngea jf ni wenye akili timamu tu! Sheria za jf ziko wazi, people who unsound of mind,thence,insane should not register! We umefikaje huku? Ni lini Mpendazoe kajitoa cdm??? Bwn ehe vichaa hawakai huku bwn!
Rais wa Watu, mpenda haki Doctor wa ukweli, yuko ndani ya nyumba Mjini Njombe akitema cheche; kama kawaida watu kibao.
Nape ni kiboko ya cdm, jamaa kila wakisimama jukwaani wanamuwazia huyu kijana wamfanye nn kwani ameisha mwaga mboga tayari
Duh: hii kali badala ya kujivua gamba na kashifa na propaganda zote kushindwa sasa hivi wameanza kutumia nguvu za giza....
Ama kweli CCM watasalimu wenyewe amri na ****** ataomba mwenyewe kuondoka ikulu halafu mbona miezi sita imepita hajarudi hata kutoa shukrani kwa waliompa kura?