GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Mpenda zoe yupo jukwaan hv sasa.anaelezea kuhusu ccj na kufa kwake.ametoa list ya vigogo waliokuwa waasisi kutoka ccm na waliokuwa wajitoe ccm.yupo sita,mwakyembe na nape mnauye.
Ha ha haaaa mpenda zoe aliisha bugi stepu bana ! kujitoa cdm ndiko aliji maliza wenyewe, na asivyo na akili akapoteza mafao yake ya ubunge. Wakina Shibuda walilamba kwanza ndipo wakatoka