CHADEMA wakionana na kikwete Kushiney

CUF Ngangari

JF-Expert Member
Aug 11, 2011
273
51
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeomba kukutana na kikwete kwa nia ya kuzungumzia mabadiliko ya mswada uliopitishwa juu ya uundaji kamati ya kukusanya maoni kwa wanainchi, huku wakiwa wamesahau kuwa walíisha wahi kutoka ndani ya bunge kwa madai eti hawatambui mchakato uliomuweka madarakani, yaani ni sawa na kusema "hawamtambui Rais" Leo mnajipeleka wenyewe bila kuitwa, wameshindwa chadema kutambua kuwa lugha wanayoisikia CCM, Kisiasa katika hili wamèfeli wao ndio walikuwa wanasema kuwa hawawezi kukaa meza moja na CCM Leo mnamuomba Raisi mkutane? mtambue hata CUF hawakuomba kukutana kukutana na CCM hata siku moja ila walitambua Lugha wanayoisikia CCM ni Maandamano yasiyo na kibali, ndio LUgha CCM wanayoisikia, wenyewe utawasikia njooni tuzungumze, kwa Chadema kujipeleka kwa kikwete mmejiuza bei sawa na bure, kwa kufanya hivyo mmetufadhaisha sana.
 
Vipi Mtatiro naona anaikuza sana cuf kwa kuwaelekeza wabunge wake nini cha kutetea huku bara.

mtatiro aje JF kuna mambo mengi twataka atufafanulie,
 
Narrow interpretation and analysis, kuwa great thinker basi kiana chalii wangu!
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeomba kukutana na kikwete kwa nia ya kuzungumzia mabadiliko ya mswada uliopitishwa juu ya uundaji kamati ya kukusanya maoni kwa wanainchi, huku wakiwa wamesahau kuwa walíisha wahi kutoka ndani ya bunge kwa madai eti hawatambui mchakato uliomuweka madarakani, yaani ni sawa na kusema "hawamtambui Rais" Leo mnajipeleka wenyewe bila kuitwa, wameshindwa chadema kutambua kuwa lugha wanayoisikia CCM, Kisiasa katika hili wamèfeli wao ndio walikuwa wanasema kuwa hawawezi kukaa meza moja na CCM Leo mnamuomba Raisi mkutane? mtambue hata CUF hawakuomba kukutana kukutana na CCM hata siku moja ila walitambua Lugha wanayoisikia CCM ni Maandamano yasiyo na kibali, ndio LUgha CCM wanayoisikia, wenyewe utawasikia njooni tuzungumze, kwa Chadema kujipeleka kwa kikwete mmejiuza bei sawa na bure, kwa kufanya hivyo mmetufadhaisha sana.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeomba kukutana na kikwete kwa nia ya kuzungumzia mabadiliko ya mswada uliopitishwa juu ya uundaji kamati ya kukusanya maoni kwa wanainchi, huku wakiwa wamesahau kuwa walíisha wahi kutoka ndani ya bunge kwa madai eti hawatambui mchakato uliomuweka madarakani, yaani ni sawa na kusema "hawamtambui Rais" Leo mnajipeleka wenyewe bila kuitwa, wameshindwa chadema kutambua kuwa lugha wanayoisikia CCM, Kisiasa katika hili wamèfeli wao ndio walikuwa wanasema kuwa hawawezi kukaa meza moja na CCM Leo mnamuomba Raisi mkutane? mtambue hata CUF hawakuomba kukutana kukutana na CCM hata siku moja ila walitambua Lugha wanayoisikia CCM ni Maandamano yasiyo na kibali, ndio LUgha CCM wanayoisikia, wenyewe utawasikia njooni tuzungumze, kwa Chadema kujipeleka kwa kikwete mmejiuza bei sawa na bure, kwa kufanya hivyo mmetufadhaisha sana.
Eleza vizuri watakwishaje?
CUF walitaka madaraka sasa wamepata maslahi ya taifa na wananchi siyo kipaumbele kwao. Usilinganishe CUF mke wa CCM na CDM chama dume TZ
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeomba kukutana na kikwete kwa nia ya kuzungumzia mabadiliko ya mswada uliopitishwa juu ya uundaji kamati ya kukusanya maoni kwa wanainchi, huku wakiwa wamesahau kuwa walíisha wahi kutoka ndani ya bunge kwa madai eti hawatambui mchakato uliomuweka madarakani, yaani ni sawa na kusema "hawamtambui Rais" Leo mnajipeleka wenyewe bila kuitwa, wameshindwa chadema kutambua kuwa lugha wanayoisikia CCM, Kisiasa katika hili wamèfeli wao ndio walikuwa wanasema kuwa hawawezi kukaa meza moja na CCM Leo mnamuomba Raisi mkutane? mtambue hata CUF hawakuomba kukutana kukutana na CCM hata siku moja ila walitambua Lugha wanayoisikia CCM ni Maandamano yasiyo na kibali, ndio LUgha CCM wanayoisikia, wenyewe utawasikia njooni tuzungumze, kwa Chadema kujipeleka kwa kikwete mmejiuza bei sawa na bure, kwa kufanya hivyo mmetufadhaisha sana.

Unatumia miguu kufikiri ? chadema walisema hawatambui uhalali wa mchakato wa uchaguzi, na hawakusema hawamtambui rais kwa mjibu wa katiba iliyopo rais akisha tangazwa hakuna hanayeweza kumpinga
 
Hivi CUF Ngangari ni mtu au Chama? Inamaana hichi kilichoandikwa hapa ndio mwisho wa kufikiri wa CUF yooote? Kama ni hivyo msiba mkubwa upo mbele ya CUF. Kwa nini usiseme wewe ni Maaalim ama hata ni Lipumba?
 
SIDHANI KAMA KITENDO CHA WABUNGE WA CDM KUTOKA NJE YA UKUMBI WA BUNGE WAKTI WA HOTUBA YA RAIS ILIMAANUSHA KUTOMTAMBUA!! INGEMANIISHA HAYO WASINGEWAHI KUSHIRIKI VIKAO VYA BUNGE WALA ZILE ZA SERIKALI ZA MITAA. NLICHOELEWA KUHUSU ULE MTOKO NI KUONYESHA HISIA ZAO KWA SERIKALI KUHUSU FRAUD KATIKA UCHAGUZI!! NAFIKIRI CHADEMA WAMEKUWA WAUNGWANA SANA!! MAANA MARA BAADA YA UCHAGUZI Dr. SLAA ANGETANGAZA HAMTAMBUI RAIS PASINGETOSHA!! ccm has to be grateful for that!
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeomba kukutana na kikwete kwa nia ya kuzungumzia mabadiliko ya mswada uliopitishwa juu ya uundaji kamati ya kukusanya maoni kwa wanainchi, huku wakiwa wamesahau kuwa walíisha wahi kutoka ndani ya bunge kwa madai eti hawatambui mchakato uliomuweka madarakani, yaani ni sawa na kusema "hawamtambui Rais" Leo mnajipeleka wenyewe bila kuitwa, wameshindwa chadema kutambua kuwa lugha wanayoisikia CCM, Kisiasa katika hili wamèfeli wao ndio walikuwa wanasema kuwa hawawezi kukaa meza moja na CCM Leo mnamuomba Raisi mkutane? mtambue hata CUF hawakuomba kukutana kukutana na CCM hata siku moja ila walitambua Lugha wanayoisikia CCM ni Maandamano yasiyo na kibali, ndio LUgha CCM wanayoisikia, wenyewe utawasikia njooni tuzungumze, kwa Chadema kujipeleka kwa kikwete mmejiuza bei sawa na bure, kwa kufanya hivyo mmetufadhaisha sana.
 
chama cha demokrasia na maendeleo kimeomba kukutana na kikwete kwa nia ya kuzungumzia mabadiliko ya mswada uliopitishwa juu ya uundaji kamati ya kukusanya maoni kwa wanainchi, huku wakiwa wamesahau kuwa walíisha wahi kutoka ndani ya bunge kwa madai eti hawatambui mchakato uliomuweka madarakani, yaani ni sawa na kusema "hawamtambui rais" leo mnajipeleka wenyewe bila kuitwa, wameshindwa chadema kutambua kuwa lugha wanayoisikia ccm, kisiasa katika hili wamèfeli wao ndio walikuwa wanasema kuwa hawawezi kukaa meza moja na ccm leo mnamuomba raisi mkutane? Mtambue hata cuf hawakuomba kukutana kukutana na ccm hata siku moja ila walitambua lugha wanayoisikia ccm ni maandamano yasiyo na kibali, ndio lugha ccm wanayoisikia, wenyewe utawasikia njooni tuzungumze, kwa chadema kujipeleka kwa kikwete mmejiuza bei sawa na bure, kwa kufanya hivyo mmetufadhaisha sana.

ngangari ni maalim aliyehakikisha anakuwa ngangari hadi cuf ikaolewa na ccm kwa ndoa ya mkeka (mtafuta cha uvunguni sharti...............) sasa kimyaaaaaaa. Wapi tena ngangari. Bwana akisema neno utasikia mke, "naunga mkono hoja mia kwa mia". ndoa ya mkeka taaaaam bwana.

 
Zamani zile neno CUF Ngangari kabla ya ndoa ilikuwa inaonyesha kukomaa kweli kweli. Ila kwa kweli sasa hivi cuf ni laiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiini kabisa
 
Hawa Cuf akili yao Pusi sana,tunakutana na rais,siyo Ccm.wao ndiyo walikutana na Ccm!
 
wao walipinga mbinu iliyotumika kumweka madarakani kikwete siyo kutomtambua kuwa siyo rahisi wakati katiba yetu inasema mtu akishatangazwa kuwa ni raisi akuna kuhoji basi mnatakiwa kumtambua kama raisi wenu kwisha na hilo wanaijua na wao walitoka nje kupinga njia iliyotumika kumpeleka kikwete ikulu.
 
Unatumia miguu kufikiri ? chadema walisema hawatambui uhalali wa mchakato wa uchaguzi, na hawakusema hawamtambui rais kwa mjibu wa katiba iliyopo rais akisha tangazwa hakuna hanayeweza kumpinga

Una uhakika na uyasemayo? Unakumbuka rais alipolihutubia bunge kwa mara ya kwanza CDM walitoka nje kwa madai ya kutomtambua ilhali alikuwa ameshatangazwa na kuapishwa kwa mujibu wa katiba? Na jee CDM walishawah kufuta hyo kauli ya kutomtambua rais? Na wanaposema wanaenda kwa rais ni yupi? Huyu huyu wasiyemtambua au kuna mwingine?Think about it
 
wao walipinga mbinu iliyotumika kumweka madarakani kikwete siyo kutomtambua kuwa siyo rahisi wakati katiba yetu inasema mtu akishatangazwa kuwa ni raisi akuna kuhoji basi mnatakiwa kumtambua kama raisi wenu kwisha na hilo wanaijua na wao walitoka nje kupinga njia iliyotumika kumpeleka kikwete ikulu.
Tofautisha kati ya Raisi na CCM. Sio unakurupuka wewe.
 
Viongozi wa chadema wanatembea na lebo ya bei nyuma ya migongo yao, usipate tabu kikwete waambie wageuke utaona bei yao, wamejileta wenyewe hao kwa njaa zao, thamani yao ni ndogo mno.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeomba kukutana na kikwete kwa nia ya kuzungumzia mabadiliko ya mswada uliopitishwa juu ya uundaji kamati ya kukusanya maoni kwa wanainchi, huku wakiwa wamesahau kuwa walíisha wahi kutoka ndani ya bunge kwa madai eti hawatambui mchakato uliomuweka madarakani, yaani ni sawa na kusema "hawamtambui Rais" Leo mnajipeleka wenyewe bila kuitwa, wameshindwa chadema kutambua kuwa lugha wanayoisikia CCM, Kisiasa katika hili wamèfeli wao ndio walikuwa wanasema kuwa hawawezi kukaa meza moja na CCM Leo mnamuomba Raisi mkutane? mtambue hata CUF hawakuomba kukutana kukutana na CCM hata siku moja ila walitambua Lugha wanayoisikia CCM ni Maandamano yasiyo na kibali, ndio LUgha CCM wanayoisikia, wenyewe utawasikia njooni tuzungumze, kwa Chadema kujipeleka kwa kikwete mmejiuza bei sawa na bure, kwa kufanya hivyo mmetufadhaisha sana.

Nyie wote ni vyama vya upinzani, kwa nini mnajipinzani wenyewe kwa wenyewe? Kwa tabia na mtindo huu, nyie wote mtakuwa kushiney muda si mrefu. Mmeshindwa kutambua adui yenu.
[h=2][/h]
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeomba kukutana na kikwete kwa nia ya kuzungumzia mabadiliko ya mswada uliopitishwa juu ya uundaji kamati ya kukusanya maoni kwa wanainchi, huku wakiwa wamesahau kuwa walíisha wahi kutoka ndani ya bunge kwa madai eti hawatambui mchakato uliomuweka madarakani, yaani ni sawa na kusema "hawamtambui Rais" Leo mnajipeleka wenyewe bila kuitwa, wameshindwa chadema kutambua kuwa lugha wanayoisikia CCM, Kisiasa katika hili wamèfeli wao ndio walikuwa wanasema kuwa hawawezi kukaa meza moja na CCM Leo mnamuomba Raisi mkutane? mtambue hata CUF hawakuomba kukutana kukutana na CCM hata siku moja ila walitambua Lugha wanayoisikia CCM ni Maandamano yasiyo na kibali, ndio LUgha CCM wanayoisikia, wenyewe utawasikia njooni tuzungumze, kwa Chadema kujipeleka kwa kikwete mmejiuza bei sawa na bure, kwa kufanya hivyo mmetufadhaisha sana.

Wewe hujui hata kinachoendelea sasa. Unganisha haya matatu utapata jibu Chadema kumwona Rais +Tamko la Vyombo nya Habari +Maandamano ya Wanaharakati=JK kutokusaini mswada ule na kuurudisha Bungeni kwa majadiliano zaidi au kusaini na kurudishwa bungeni kwa marekebisho zaidi. Kwahiyo Chadema wanakwenda kumwona mtanzania mwenzao ikulu ili kumwelewesha kwamba wabunge wake pamoja na CUF wamemwingiza mkenge. Hebu kumbuka sheria ya matumizi katika uchagizi ilikuwaje ilipitishwa lakini ilirudishwa bungeni kwa marekebisho
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeomba kukutana na kikwete kwa nia ya kuzungumzia mabadiliko ya mswada uliopitishwa juu ya uundaji kamati ya kukusanya maoni kwa wanainchi, huku wakiwa wamesahau kuwa walíisha wahi kutoka ndani ya bunge kwa madai eti hawatambui mchakato uliomuweka madarakani, yaani ni sawa na kusema "hawamtambui Rais" Leo mnajipeleka wenyewe bila kuitwa, wameshindwa chadema kutambua kuwa lugha wanayoisikia CCM, Kisiasa katika hili wamèfeli wao ndio walikuwa wanasema kuwa hawawezi kukaa meza moja na CCM Leo mnamuomba Raisi mkutane? mtambue hata CUF hawakuomba kukutana kukutana na CCM hata siku moja ila walitambua Lugha wanayoisikia CCM ni Maandamano yasiyo na kibali, ndio LUgha CCM wanayoisikia, wenyewe utawasikia njooni tuzungumze, kwa Chadema kujipeleka kwa kikwete mmejiuza bei sawa na bure, kwa kufanya hivyo mmetufadhaisha sana.

usijaribu hata kidogo kufananisha kafu na cdm. Yaani usijaribu tena!
 
sio miguu, nafikiri anatumia masaburi kufikiri.
sishangai lakini maana fikra za wanandoa hufanana, so huo upotoshaji wa magamba umeingia kwenye vichwa vya wana ngangari baada ya ndoa yao...
 
Vp Mimba yako imekua kiasi gani maana najua karibu unajifungua wew Cuf Ngangari
 
Una uhakika na uyasemayo? Unakumbuka rais alipolihutubia bunge kwa mara ya kwanza CDM walitoka nje kwa madai ya kutomtambua ilhali alikuwa ameshatangazwa na kuapishwa kwa mujibu wa katiba? Na jee CDM walishawah kufuta hyo kauli ya kutomtambua rais? Na wanaposema wanaenda kwa rais ni yupi? Huyu huyu wasiyemtambua au kuna mwingine?Think about it
Wajinga kama nyinyi kwa nini msifanye juhudi ya kujielimisha ktk mambo madogo kabla hamjabandika upupu wenu hapa?
 
Back
Top Bottom