Nilikuwa naahgalia taarifa ya habari na niliangalia kwa hisia namna walinzi wa Mgombea wa urais kwa kupitia CHADEMA walivyo shupavu kwa kufuatilia gari ya Bosi wao kwa miguu. Jee hali itakuwa hivi iwapo Dr Slaa ataingia madarakani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.