Maskini Jeuri
Member
- May 9, 2011
- 80
- 10
Nini? Magamba watuhamilie?
No no no!
Wajitambue kama wauza nchi. Hapana kweli hapana!!! Kama jimboni kwetu tunamtambua makamba kama mbunge! Yeyote awaye tutamtambua Kama mwakilishi kutoka box la kura na si vinginevyo, tafadhali CDM piganieni Hilo.
No no no!
Wajitambue kama wauza nchi. Hapana kweli hapana!!! Kama jimboni kwetu tunamtambua makamba kama mbunge! Yeyote awaye tutamtambua Kama mwakilishi kutoka box la kura na si vinginevyo, tafadhali CDM piganieni Hilo.