CHADEMA wajiondoa kugombea ubunge - EALA

Status
Not open for further replies.
Chadema have a case, wao wanawabunge wanaowawakilisha kwenye bunge la Jamhuri ya Tanzania pia ni chama kiongozi wa upinzani bungeni; na charter ya community inasema vyama vyenye uwakilishi bungeni ni lazima viwakilishwe kwenye baraza la kutunga sheria la Afrika Mashariki!! Uchaguzi wa kesho ni dhahili huko mbele utakuwa declared null and void!! Majaji wa East African court of Appeal sio wa Voda-fasta; ni watu waliobobea kisheria!! Wale wagombea wa magamba walitumia mamilioni kuhonga itabidi wahonge tena uchaguzi utakaporudiwa; Shame on bibi kiroboto!!
 
Kuna watu wabaguzi kama wazanzibar....

ni wabaguzi wakubwa kudadadeki zao. hawataki mtanganyika akiwa zanzibar apige kura wala apate ajira serikalini hata kama ana sifa. mtanganyika anapata vikwazo kununua aridhi kuliko mzungu. mimi siwapendi, nakaa nao basi tu.
 
Nawapongeza makamanda kwa uamuzi huo,hata kama magamba hayataki mabadiliko yatakubali tu mziki wa chadema
 
Well done CDM. You always make me happy. Unajua kusema ukweli CDM ina wanachama wenye akili wote, yaani hakuna hata mbunge mmoja anawaangusha kule bungeni isipokuwa SHIBUDA kwa kuwa litumwa. Na kwa taarifa SBD umeshashindwa, wamekuheshumu tu subiri 2015 ukafie mbali na elimu huna sijui utakimbilia wapi? Umekaa bungeni muda wote ni propaganda hukwenda shule. Hata UWT siku hizi wanachukua wasomi!!! Again, big up CDM but mwogopeni Milya for a while mpaka mumsome vizuri.
 
Magamba wanadhani mahakama za afrika mashariki ni sawa za kwetu. Aibu watakayoipata ni aibu yetu sote tumekosa viongozi weledi kuwaweka mjengoni kwa mustakbali wa taifa.
 
Sasa kesi imeshafunguliwa ama watawahi kuifungua kesho kabla ya uchaguzi/? ama watasubiri uchaguzi ndipo wafungue kesi kupinga kufanyika kwa uchaguzi huo? mie nadhani njia nzuri ingekuwa ni kuhakikisha kesi inafunguliwa haraka ili kuwepo na Court injuction kuzuia uchaguzi usifanyike hiyo kesho
 
ni wabaguzi wakubwa kudadadeki zao. hawataki mtanganyika akiwa zanzibar apige kura wala apate ajira serikalini hata kama ana sifa. mtanganyika anapata vikwazo kununua aridhi kuliko mzungu. mimi siwapendi, nakaa nao basi tu.
Nashukru mungu mimi siishi nao karibu maana kipindi kile wanachoma moto majumba na bar za watanganyika ningewafanyizia na wao waone utamu wake.....
 
Hii imetulia dawa ni kwenda mahakamani. Sasa wapeleke magamba yao kwenye hiyo mahakama kama wanajeuri.
 
Sasa kesi imeshafunguliwa ama watawahi kuifungua kesho kabla ya uchaguzi/? ama watasubiri uchaguzi ndipo wafungue kesi kupinga kufanyika kwa uchaguzi huo? mie nadhani njia nzuri ingekuwa ni kuhakikisha kesi inafunguliwa haraka ili kuwepo na Court injuction kuzuia uchaguzi usifanyike hiyo kesho
Naunga mkono hoja...
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom