Hellow jamiiforums......!! !! wakuu ni mara yangu ya kwanza kutuma post ktk mtandao huu wa ukweli! Na kilichonivutia zaidi mpaka nikajiunga ni hoja nzito ambazo zinajadiliwa humu jamvini for real nimeaprciate wakuu. Kwa sasa nipo meru mashariki maeneo Hellow ya ambureni.
Joshua Nassari amewashika vilivyo wananchi wa eneo hili.samahanini nimeshndwa kuambatanisha picha wakuu!
Joshua Nassari amewashika vilivyo wananchi wa eneo hili.samahanini nimeshndwa kuambatanisha picha wakuu!