Chadema Waishukuru Polisi

Mliojiunga JF mwaka huu ,mmekuja na maajabu :loco: Nina wasiwasi wengi wenu ni mataahira !
 
Yakhe mimi ni mtu wa kwanza kulaani mambo haya ,tena ni nambari one,tokea 2001 ,nafikiri ulikuwa wewe hujui hata kama kuna JF,wakati huo ikiitwa Jambo ,na ilikuwa Jambo kweli,sasa hii ya Arusha kwangu mimi ni muendelezo tu wa yale ambayo nikiyapinga kwa marefu na mapana ,siejui wakati huo mlikuwa wapi ,maana kama tungelikuwa pamoja wakati huo ,haya ya leo yasingetendeka,lakini mlitutenga na kutona wapemba si watu.

Now police forces kill your brothers and sisters ,poleni sana ,leo hii ndio mnatambua kuwa Serikali ya CCM ni mbaya,leo hii ndio mnatambua kuwa jeshi la polisi halitendi haki ,leo hii ndio mnatambua kuwa jeshi la polisi linauwa raia wasiokuwa na hatia.

Basi wandugu bado huo au hio ni dibaji tu,polisi hao watauwa,watatesa watanajisi na watafanya kila ovu mnalolijua na msilo lijua,kama nasema kama hamkuamua kupambana nao roho kwa roho basi hayo makelele yenu hayatakuwa dawa wala hawatayasikia,endeleeni kuleta matusi hapa labda mnaona hiyo ndio dawa.
Mwiba,
Matatizo yako tuyaite "CHADEMA Shock"; umekuwa mwoga sana na Chadema, na wasiwasi wako mkubwa ni ile growth ya Chadema, yaani baada ya miaka 5 tu imeifunika CUF, in more than five years sijui itakuwaje, kwa taarifa yako utapata ugonjwa wa moyo kwa kujilinganisha na kubeza Chadema. Growth ya CUF ishakwisha, PEMBA ni sawa na Mkoa wa Ilala au nusu yake; na Zanzibar CUF isha-fikisha limit.

Fikiria CHADEMA itazidi kukua Bara kote, ARUSHA ni mojawapo ya stragetical places Kilimanjaro, sasa hujaenda Mwanza, Mbeya, Iringa, Bukoba, Tabora, Shinyanga, Mara kote huko. Usibeze jabari> Your Shoch is imminent, I can see it and I understand you, but you are wrong because you're showing your true weakness!

Kama alivyosema Dr. Slaa viongozi wa CCM karibu nusu ni Chadema, and they feel it, you can see them, the only issue they are afraid of is their bread, because most of them are paid by CCM. Wapo kwenye payroll ya CCM.

You have to read the TIMES!! CHADEMA is a big shoch to both CUF and CCM. Kama kweli CUF mngekuwa genuine ilibidi mfurahie CHADEMA na maendeleo yake.
 
upuuzi huo!hatuangalii upo na nani!tukuamini vipi?me nikiamua kusema nipo na IGP anasema walitumwa na JK utabisha?wizi mtupu!leta kitu cha uhakika usitufanye watoto!umeniharibia jioni yangu.huna nidhamu!
 
Tangu lini habari za kipelelezi zinaandikwa au kutangazwa. Poor tanzanian kuna kina kitu kinaitwa top secret, secret na confidencial. Watanzania tunajifanya wajuaji sana. Lazima serikali ionye kuwa ipo. Upole wa rais ndio unafanya mambo yote haya kutokea. Jf you work much on news from media than evidence as wikileaks do. No research no right to say badilikeni.
 
Wekeni pembeni matusi,hapa nilipo nipo na mkuu tena wa ngazi za juu kabisa,amesema kipo kitu ilikuwa kitokee na kama sio polisi kuingilia kati basi ana uhakika Chadema wangetwishwa mzigo wa lawama.
Nyie wengine mpo kusubiri habari tu,hebu ingieni deep kwenye hili jambo ili mjue ni kipi hicho walichokuwa nacho polisi ???
Muulize basi ni nini basi ambacho kingetokea na utueleze ili uwafunge midomo wanaopingana na wewe!
 
Wekeni pembeni matusi,hapa nilipo nipo na mkuu tena wa ngazi za juu kabisa,amesema kipo kitu ilikuwa kitokee na kama sio polisi kuingilia kati basi ana uhakika Chadema wangetwishwa mzigo wa lawama.
Nyie wengine mpo kusubiri habari tu,hebu ingieni deep kwenye hili jambo ili mjue ni kipi hicho walichokuwa nacho polisi ???
uko na mkuu hapo pembeni hebu mwulize hizo habari zilikuwa ni zipi na kama wanahisi kuna kikundi kingejichomeka kwanini hawakuwakamata au hawa kuwa na uweyo wakuyuia badala yake ni kuzuia mkutano na maandamano halali ya cdm...siamini kama unalicho kiandika kimetoka hakilini mwako au wamekuwekea gun maana huwa sioni ujinga kama huu kutoka kwako..
 
Mambo yapo mahakamani hatuwezi kuingilia kati,ila kama upo nje ya nchi basi tega sikio na tupia macho JF kila wakati ,tupo mbioni kuyatafuta ,Chadema walitaka kuichafua Arusha.
Mnayatafuta wapi?
 
Unafahamu jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza,mambo ambayo yangetokea kama maandamano yangefanyika yangelipelekea Chadema kufutwa na pia wengi wa viongozi kuishia gerezani.

Majanga ambayo yangetokea kusingelikuwa na wa kumshika isipokuwa wahusika wangelikuwa ni Chama cha Chadema.Ni vizuri Chadema kutafuta ni habari gani polisi walikuwa nazo na ni akina nani walitayarisha mipango hiyo ya hatari,Je ni UVCCM au Ni WaChadema.

Habari za kiintelijensia ambazo polisi wamesema wanazo au walizipata bila ya wasiwasi wowote ule zingehatarisha usalama wa raia wengi kuliko inavyofikiriwa ,nionavyo ndio maana polisi wakalazimika kuzima maandamano kwa njia yeyote ile alimuradi nia ya waliokusudia uovu kutumia maandamano hayo zisifanikiwe.

Inawezekana kabisa habari hizo zikawa na ukweli au zikawa ni rummors zisizo na uthibitisho wowote ule, sasa inakuja kuja hali ya kudhibiti ni pale tunaposema ni bora kukinga kuliko kutibu,polisi wamekinga.

Ingawa kuna watu humu watakuja na ujuwaji kulivyo wanavyojua,hao huwa nawaweka mkono wa kushoto na ni watu wa kupuuzwa,changamoto iliyopo ni uongozi wa juu kutafuta hizo habari za kiupelelezi kutoka kwa jeshi la polisi na kuwajua wabaya wao waliotaka kujichomeka ndani ya maandamano ili kujua ukweli wa mambo.Tugange yajayo yaliopita si ndwele ndivyo waswahili tusemavyo.

Lete hizo habari na taarifa za kiintelijesia sio maneno matupu, hii itakusaidia husionekane wewe sio siMWEMA, pia itatusaidia kuchambua bumba na mchele
 
Wekeni pembeni matusi,hapa nilipo nipo na mkuu tena wa ngazi za juu kabisa,amesema kipo kitu ilikuwa kitokee na kama sio polisi kuingilia kati basi ana uhakika Chadema wangetwishwa mzigo wa lawama.
Nyie wengine mpo kusubiri habari tu,hebu ingieni deep kwenye hili jambo ili mjue ni kipi hicho walichokuwa nacho polisi ???
Hebu muulize huyo 'mkuu' tena wa 'ngazi za juu kabisa' kuwa watu hao waliouawa na polisi ndio walikuwa chanzo cha hicho 'kitu' kilichotakiwa kitokee? Ni kitu gani kikubwa hivyo mpaka kusababisha kutoa roho za watu hao. Kama walikuwa wanataka kufanya uhalifu, ni kitu gani kilichowazuia polisi wasiwakamate? Au polisi walizidiwa nguvu na hao marehemu kwa sababu walikuwa nao pia na silaha nzito za kivita, mabomu na kadhalika? Hebu tujulishe Mkuu, maana inaelekea wengi wetu humu jamvini hatuna uwezo wa kupata habari nyeti kutoka kwa 'wakuu wa ngazi za juu kabisa'!
 
Wewe mwiba acha kutujaza pumba zako wewe na huyo unayemwita kiongozi wa ngazi za juu. Ulimwengu unafahamu mchawi nani wewe bado tu umetumwa nini? Mimi nasema wangempiga mama yako hata iwe kwa bahati mbaya usingekuwa unayazungumza haya. Kaa utafakari sio kukurupuka tu. Eti tuache jazba wewe ndio uache kutawala akili na fikra zetu.
 
Mambo yapo mahakamani hatuwezi kuingilia kati,ila kama upo nje ya nchi basi tega sikio na tupia macho JF kila wakati ,tupo mbioni kuyatafuta ,Chadema walitaka kuichafua Arusha.

Tulitaka na lazima tuisafishe kuondoa uchafu wote wenye lebel ya ufisadi!Mngekua na ushahidi msingebaki kujiuma uma...sheria ingeshafuata mkondo wako!!Mlitegemea kuaibisha CDM ila mmecheza karata zenu vibaya imebaki kua aibu yenu!
 
Wacheni Jazba ,muhimu ni kutafutwa walichokuwa nacho polisi ,jamani hasira hazijengi ,JF ni moja ya kiini zipatikanapo habari za kiintelejinsia ,sasa kale kaizi chetu ni lazima kapite huko kwenye vitalu vya habari za upelelezi ziwekwe hapa ,ikiwa Chadema na uongozi wao watashindwa kuzipata ,kama mnafahamu hili sio jambo jepesi ni lazima ukweli wa kilichokuwa kitendeke ambacho polisi walikihofia kielezwe ,nani atakieleza ,je Chadema wanazijua au wameshazijua ,au walipokamatwa walimegewa na sasa wamekaa kimya ,wengine wacheni kumwaga mavumba maana mna harufu mbaya ya midomo.
hamnazo anataka kujaribu kuendesha basi abiria hatari tupu
 
Wekeni pembeni matusi,hapa nilipo nipo na mkuu tena wa ngazi za juu kabisa,amesema kipo kitu ilikuwa kitokee na kama sio polisi kuingilia kati basi ana uhakika Chadema wangetwishwa mzigo wa lawama.
Nyie wengine mpo kusubiri habari tu,hebu ingieni deep kwenye hili jambo ili mjue ni kipi hicho walichokuwa nacho polisi ???

Wewe tumia akili km Mwema ndo kasema wana taarifa za ki intelijensia na yeye ndo bosi kuna askari gani wa kumpinga Boss,tambua kuwa police Tz ni CCM B ingawa kwa askari wadogo ni utumwa cwezi kuwalaumu sana,alafu kuna watu wameibuka kipindi hiki cjui mmetumwa...? ! SHAME ON U.
 
Mkuu gani huyo? wote ndo wale wale Umetumwa wewe, kamwambie aliyekutuma hujakuta alichotegemea!!!!
 
Ni ujinga mtupu hakuna intelenjisia wa nini UJINGA mtupu, Kiufupi mwema katumika kisiasa bila kujijua, ameshachafuliwa CV yake ndo anakuja kushituka, Hii kitu alichofanya ARUSHA kitamuumiza maisha yake yote. Huwezi kumfanyia mwenzio kitendo cha kinyama alafu utegemee utaishi maisha yako yote bila upumbavu uliofanya usikurudie.All in All ipo siku kibao kitageuka kwa CCM na wataiona TANZANIA CHUNGU, Siku hiyo INAFIKA NA WALA HAIPO MBALI kama ile siku ya kumsubiri YESU
 
Back
Top Bottom