Facilitator
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,280
- 1,763
Wana JF,
Chadema wanapaswa kufahamu kuwa siasa ipo na itaendelea kuwepo lakini kinachohitajika ni kuindesha kwa ustaarabu na amani na katika maeneo stahiki.
Chadema mnawasumbuwa wakazi wa Arusha na siasa zenu watu wanashindwa kufanya kazi zao kila siku maandamano yasiyoisha na mikutano ya Lema, Chadema ebu acheni ulimbukeni wa kisiasa, vitendo vyenu vya kukusanyika ovyo na kusukuma gari la Lema kuzunguka mji mzima kuwatia hofu wananchi pamoja na wageni (Watalii) na wewekezaji pamoja na wafanyabiashara wadogo wadogo wa Jila la Arusha.
Mji wa Arusha saizi umedumaa kibiashara watu wanaukimbia wanaogopa fujo za Chadema, katika hali ya kawaida Chadema wameudumaza mji wa Arusha
Madhara ya kutokumaliza dozi ya tetenas ndo haya. Hujapona vizuri