Chadema waishiwa sera

Wana JF,
Chadema wanapaswa kufahamu kuwa siasa ipo na itaendelea kuwepo lakini kinachohitajika ni kuindesha kwa ustaarabu na amani na katika maeneo stahiki.

Chadema mnawasumbuwa wakazi wa Arusha na siasa zenu watu wanashindwa kufanya kazi zao kila siku maandamano yasiyoisha na mikutano ya Lema, Chadema ebu acheni ulimbukeni wa kisiasa, vitendo vyenu vya kukusanyika ovyo na kusukuma gari la Lema kuzunguka mji mzima kuwatia hofu wananchi pamoja na wageni (Watalii) na wewekezaji pamoja na wafanyabiashara wadogo wadogo wa Jila la Arusha.

Mji wa Arusha saizi umedumaa kibiashara watu wanaukimbia wanaogopa fujo za Chadema, katika hali ya kawaida Chadema wameudumaza mji wa Arusha

Madhara ya kutokumaliza dozi ya tetenas ndo haya. Hujapona vizuri

 
Ndungu wana Jr. nashangazwa sana na sera ya Chadema na mwendelezo wake hadi sasa wamepoteza mwelekeo. Awali ya yote huwa nawambia Chama hiki kipo after maslahi ya wachache, baada ya kugunduwa Ndg; Godbless Lema ameshindwa kwenye kesi aliyokata rufaa sasa mawazo yao yote yamehamia Arusha. Jiulize ni kwa nini ARUSHA na si kwingineko? sababu kubwa Arusha watalii wanaingia wengi hivyo kipato kipo, pamoja na wavuta ............... wa machimbo wapo kwa wingi. Mbona Tanga baada ya kutishwa na kijana wa Makamba wamekuwa kimya au hawakusikia alicho sema?

Nauliza tu hivi vyama vingine havina mpango wa Uchaguzi ndani ya vyama vyao? kwani kila kukicha CCM imekuwa hivi !!!!!!!!!, au ndo kusema waliopo hakuna wakuwatoa?

Cha ajabu sana Chadema wamefuata nyayo ya CCM kwa kutumia mtandao wa sms kutumia watu ujumbe hata wasiowahusu.(( Nanukuu ujumbe niliotumiwa hivi punde; HATARI! Angalia, watoto wa vigogo waliopita UVCCM ngazi ya taifa DICKSON MEMBE, FRED LOWASA, RIDHIWANI KIKWETE, ASHURA HUSSEIN MWINYI, BENY SAMWEL SITA, DEBORA MWANDOSYA, IREN PINDA, FELSTER NDUGAI, CHRISTOFER NDEJEMBI, SHARIFER BILALY, HAWA KIGODA, JUDITH MUKAMA NA JALOME MSEKWA. Nchi hii imekwisha. Inatia hasira, wacha watoto wa maskini tupambane kupitia mlango mwingine ''CHADEMA'' ili kutete maskini wenzetu, wazazi na watoto zetu! Vita Hii Inaanza Sasa! Upatapo meseji hii , tuma kwa WAZALENDO wenzako 5 )) Mwisho wa kunukuu.

Je CHADEMA kuna ngugu wa viongozi wangapi hadi sasa au ndo huwa sielewi tena ngazi kubwa kabisa? Mfano Dr. Slaa Mkewe mtelekezwa ni Mb wa kuteuliwa, ambapo mteuaji mkubwa ni Dr. Slaa mwenyewe, Wakili maarufu wa kuongea sana na Mwanasheria Mkuu mtarajiwa Dada yake naye ni Mb wa kuteuliwa. Wapo wengi sana lakini vyanini wakati wote wanashibisha matumbo yao kwa kutumia udhaifu huu wa kuto kufikilia mbali, na kutegemea mawazo dhaifu kama haya.

Chadema kimekuwa kinavuta watu kwa nguvu kuingia kwenye Chama, bila kujua madhara yake makubwa ya baadae, Mfano Kiongo anasimama anasema VUA GAMBA VAA GWANDA. Fikilia huyu unayemvuta aliko sasa unamponda je akija huku utamwosha na Omo ili atakate ama atakuja kuendeleza ufisadi?


Nawasilisha TUUNGANE KUJENGA NCHI SIYO KUBOMOA
JR ni mtaa mmoja wapo huko Arusha ni chini ya mbauda je ulilenga wapate ujumbe huu..halafu hii zarau kwa machali wa Arusha tutaikomesha tu...
 
Kuzaliwa 1977

Kufa zika 2015.


attachment.php
 
Ndungu wana Jr. nashangazwa sana na sera ya Chadema na mwendelezo wake hadi sasa wamepoteza mwelekeo. Awali ya yote huwa nawambia Chama hiki kipo after maslahi ya wachache, baada ya kugunduwa Ndg; Godbless Lema ameshindwa kwenye kesi aliyokata rufaa sasa mawazo yao yote yamehamia Arusha. Jiulize ni kwa nini ARUSHA na si kwingineko? sababu kubwa Arusha watalii wanaingia wengi hivyo kipato kipo, pamoja na wavuta ............... wa machimbo wapo kwa wingi. Mbona Tanga baada ya kutishwa na kijana wa Makamba wamekuwa kimya au hawakusikia alicho sema?

Nauliza tu hivi vyama vingine havina mpango wa Uchaguzi ndani ya vyama vyao? kwani kila kukicha CCM imekuwa hivi !!!!!!!!!, au ndo kusema waliopo hakuna wakuwatoa?

Cha ajabu sana Chadema wamefuata nyayo ya CCM kwa kutumia mtandao wa sms kutumia watu ujumbe hata wasiowahusu.(( Nanukuu ujumbe niliotumiwa hivi punde; HATARI! Angalia, watoto wa vigogo waliopita UVCCM ngazi ya taifa DICKSON MEMBE, FRED LOWASA, RIDHIWANI KIKWETE, ASHURA HUSSEIN MWINYI, BENY SAMWEL SITA, DEBORA MWANDOSYA, IREN PINDA, FELSTER NDUGAI, CHRISTOFER NDEJEMBI, SHARIFER BILALY, HAWA KIGODA, JUDITH MUKAMA NA JALOME MSEKWA. Nchi hii imekwisha. Inatia hasira, wacha watoto wa maskini tupambane kupitia mlango mwingine ''CHADEMA'' ili kutete maskini wenzetu, wazazi na watoto zetu! Vita Hii Inaanza Sasa! Upatapo meseji hii , tuma kwa WAZALENDO wenzako 5 )) Mwisho wa kunukuu.

Je CHADEMA kuna ngugu wa viongozi wangapi hadi sasa au ndo huwa sielewi tena ngazi kubwa kabisa? Mfano Dr. Slaa Mkewe mtelekezwa ni Mb wa kuteuliwa, ambapo mteuaji mkubwa ni Dr. Slaa mwenyewe, Wakili maarufu wa kuongea sana na Mwanasheria Mkuu mtarajiwa Dada yake naye ni Mb wa kuteuliwa. Wapo wengi sana lakini vyanini wakati wote wanashibisha matumbo yao kwa kutumia udhaifu huu wa kuto kufikilia mbali, na kutegemea mawazo dhaifu kama haya.

Chadema kimekuwa kinavuta watu kwa nguvu kuingia kwenye Chama, bila kujua madhara yake makubwa ya baadae, Mfano Kiongo anasimama anasema VUA GAMBA VAA GWANDA. Fikilia huyu unayemvuta aliko sasa unamponda je akija huku utamwosha na Omo ili atakate ama atakuja kuendeleza ufisadi?


Nawasilisha TUUNGANE KUJENGA NCHI SIYO KUBOMOA

Hakuna sababu ya mtu mwenye akili kusoma thread hii, mtumaji ni mgeni, a rookie, very very green, and very very light minded!

Wapi na lini alisikia hukumu ya rufaa ya G. lema!? kama huyu mtu si wa ajabu!, Hapa sio mahala pako go back to where you belong kwenye vijiwe na maskani za wakereketwa wa chama chako.

No research no right to speak, if you have to speak; then speak from the confines of your bedroom; safely from under your bed.
 
Wewe mleta thread hii unafuga nywele kichwani tu,jaribu kutumia akili katika upembuzi wa mada kabla ya kutupia humu jf.cdm is the most strategic political party i tanzania,wala haihitaji mtu uende darasani ili kuthibitisha hili..
 
Niliandika haya nitapigwa madongo

Kurekebishana: Lema badilika
Mimi ni kijana ambaye kwa sasa nina makazi nje ya nchi lakini ni kijana niliyekulia Arusha. Nilipoenda Arusha mwezi wa tatu kuna vitu ambavyo sijafurahia. Kwanza ni kile kitendo cha Lema kuwaambia watu sokoni wafanye wanachotaka na hivyo kufanya watu kuanza kuuza vitu barabarani bila utaratibu wa mji.

Pamoja na kuwa na demokrasia haina maana watu wa mipango ya mji wapuuzwe ni lazima kuwe na utaratibu wa kufanya biashara na kufungua vigenge. Vilevile kuhusu sehemu nyingine za maandeleo kama sehemu za kujenga masoko ya kisasa na miji ya kisasa. Ni kweli kwamba kama mbunge Lema anatakiwa kuhakikisha hakuna kufukuzwa watu kwenye maeneo lakini ni lazima vilevile Lema ahakikishe ujenzi na maendeleo ya mji wa kitalii Arusha unafanyika.

Malalamiko ya wananchi ni muhimu lakini huwezi kufurahisha kila mtu mmoja mmoja utakiwa uangalie Project na manufaa ya Arusha kwa ujumla. Vilevile Lema unatakiwa ujihusishe zaidi kwenye kutangaza Arusha nje ya nchi, kwenye balozi, na kufanya kazi na wizara ya utalii maana wana zile contact za groups za kifaifa za wageni lakini sijawahi kukusikia unafanya chochote. Kwenye Meeting ya Diaspora ya Marekani na uingereza ungekuja kutangaza Arusha maana wewe ni mbunge wa mji ambao unategemea utalii lakini sijakuona mwaka jana pale Virginia ingawa kulikuwa na watu wengi wa kampuni ya utalii.

Sijawahi kusikia Lema unafanya mkutano na wafanyabishara wote wa Utalii na biashara nyinginge Arusha na kuwauliza shida zao ni zipi Arusha ni mji wa biashara hivyo huwezi kuongelea chadema pekee.

Pamoja na ukweli kwamba umefanya kazi nzuri ya kueneza chama Arusha ni wakati wa kuongea biashara na kusaidia kuleta maendeleo Arusha.​
Umeolewa somalia?Kumbe huna haki ya kuzungumzia maswala usiyoyajua wewe tunza ndoa yako na huyo mwarabu aliyekuoa achana na siasa za mapinduzi au umetumwa na watoto wa mafisadi mnakaa nao huko chunga sana kaulizako we mjinga
 
Kumbe ni mchuzi wa bata!

Hivi kupigana kwenye chaguzi zenu we unaonaje? Kushikiana mapanga, kutekana.

We lazima ni kipofu!
Wana JF,
Chadema wanapaswa kufahamu kuwa siasa ipo na itaendelea kuwepo lakini kinachohitajika ni kuindesha kwa ustaarabu na amani na katika maeneo stahiki.

Chadema mnawasumbuwa wakazi wa Arusha na siasa zenu watu wanashindwa kufanya kazi zao kila siku maandamano yasiyoisha na mikutano ya Lema, Chadema ebu acheni ulimbukeni wa kisiasa, vitendo vyenu vya kukusanyika ovyo na kusukuma gari la Lema kuzunguka mji mzima kuwatia hofu wananchi pamoja na wageni (Watalii) na wewekezaji pamoja na wafanyabiashara wadogo wadogo wa Jila la Arusha.

Mji wa Arusha saizi umedumaa kibiashara watu wanaukimbia wanaogopa fujo za Chadema, katika hali ya kawaida Chadema wameudumaza mji wa Arusha
 
Sasa mikutano yao yote vikapu ndo vingi kuliko watu na Lema ndo mfuatiliaji wa hivyo vikapu mpaka anakosa muda wa kuwahutubia wananchi chezea chd wewe.
mtaseema yote ila mwisho wenu umeshakaribia na kaburi limeshachimbwa na hakuna mahali mtajificha,sali Mungu akuweke hai hadi uchaguzi mkuu kwani baada ya hapo vibaka na akina nguza watafunguliwa na mafisadi watasekwa ndani
 
Ndungu wana Jr. nashangazwa sana na sera ya Chadema na mwendelezo wake hadi sasa wamepoteza mwelekeo. Awali ya yote huwa nawambia Chama hiki kipo after maslahi ya wachache, baada ya kugunduwa Ndg; Godbless Lema ameshindwa kwenye kesi aliyokata rufaa sasa mawazo yao yote yamehamia Arusha. Jiulize ni kwa nini ARUSHA na si kwingineko? sababu kubwa Arusha watalii wanaingia wengi hivyo kipato kipo, pamoja na wavuta ............... wa machimbo wapo kwa wingi. Mbona Tanga baada ya kutishwa na kijana wa Makamba wamekuwa kimya au hawakusikia alicho sema?

Nauliza tu hivi vyama vingine havina mpango wa Uchaguzi ndani ya vyama vyao? kwani kila kukicha CCM imekuwa hivi !!!!!!!!!, au ndo kusema waliopo hakuna wakuwatoa?

Cha ajabu sana Chadema wamefuata nyayo ya CCM kwa kutumia mtandao wa sms kutumia watu ujumbe hata wasiowahusu.(( Nanukuu ujumbe niliotumiwa hivi punde; HATARI! Angalia, watoto wa vigogo waliopita UVCCM ngazi ya taifa DICKSON MEMBE, FRED LOWASA, RIDHIWANI KIKWETE, ASHURA HUSSEIN MWINYI, BENY SAMWEL SITA, DEBORA MWANDOSYA, IREN PINDA, FELSTER NDUGAI, CHRISTOFER NDEJEMBI, SHARIFER BILALY, HAWA KIGODA, JUDITH MUKAMA NA JALOME MSEKWA. Nchi hii imekwisha. Inatia hasira, wacha watoto wa maskini tupambane kupitia mlango mwingine ''CHADEMA'' ili kutete maskini wenzetu, wazazi na watoto zetu! Vita Hii Inaanza Sasa! Upatapo meseji hii , tuma kwa WAZALENDO wenzako 5 )) Mwisho wa kunukuu.

Je CHADEMA kuna ngugu wa viongozi wangapi hadi sasa au ndo huwa sielewi tena ngazi kubwa kabisa? Mfano Dr. Slaa Mkewe mtelekezwa ni Mb wa kuteuliwa, ambapo mteuaji mkubwa ni Dr. Slaa mwenyewe, Wakili maarufu wa kuongea sana na Mwanasheria Mkuu mtarajiwa Dada yake naye ni Mb wa kuteuliwa. Wapo wengi sana lakini vyanini wakati wote wanashibisha matumbo yao kwa kutumia udhaifu huu wa kuto kufikilia mbali, na kutegemea mawazo dhaifu kama haya.

Chadema kimekuwa kinavuta watu kwa nguvu kuingia kwenye Chama, bila kujua madhara yake makubwa ya baadae, Mfano Kiongo anasimama anasema VUA GAMBA VAA GWANDA. Fikilia huyu unayemvuta aliko sasa unamponda je akija huku utamwosha na Omo ili atakate ama atakuja kuendeleza ufisadi?


Nawasilisha TUUNGANE KUJENGA NCHI SIYO KUBOMOA


Kuhusu wabunge wa kuteuliwa wa CDM ni kwamba kuna list ambayo imepangwa kufuata utaratibu wa vipengele vinne au vitano hivi kamasikosei, kimoja ni ELIMU ya mwombaji na vingine nimesahau, kisha hiyo list ikapelekwa tume ya uchaguzi-NEC na ndiyo hao NEC wanaoteua na siyo CDM, ila ukweli huu ndiyo utaratibu mzuri ukilinganisha nawa vyama vingine.
 
Wana JF,
Chadema wanapaswa kufahamu kuwa siasa ipo na itaendelea kuwepo lakini kinachohitajika ni kuindesha kwa ustaarabu na amani na katika maeneo stahiki.

Chadema mnawasumbuwa wakazi wa Arusha na siasa zenu watu wanashindwa kufanya kazi zao kila siku maandamano yasiyoisha na mikutano ya Lema, Chadema ebu acheni ulimbukeni wa kisiasa, vitendo vyenu vya kukusanyika ovyo na kusukuma gari la Lema kuzunguka mji mzima kuwatia hofu wananchi pamoja na wageni (Watalii) na wewekezaji pamoja na wafanyabiashara wadogo wadogo wa Jila la Arusha.

Mji wa Arusha saizi umedumaa kibiashara watu wanaukimbia wanaogopa fujo za Chadema, katika hali ya kawaida Chadema wameudumaza mji wa Arusha

Ndipo uwezo wako wa kufikiri ulipo ishia?
 
Wewe mleta thread hii unafuga nywele kichwani tu,jaribu kutumia akili katika upembuzi wa mada kabla ya kutupia humu jf.cdm is the most strategic political party i tanzania,wala haihitaji mtu uende darasani ili kuthibitisha hili..

Kamanda TEMILUGODA huyo mleta maada bado yuko usingizini anapaswa anawe kwanza ndipo aje humu,Pia ndo amejiunga humu maana ndo maana ameandika Jr badala JF.na Jr ni mtaa ambao uko Arusha.Kamwe magamba mtabaki kulala tulipoamka sisi.CCM mliingia Ikulu kwa mbinu tutawatoa kwa mbinu.
 
Mkuu naona hujui kinacho endelea Arusha bora ukae kimya! Kaa uko nje ya nchi(msumbiji) tuachie nchi yetu.

Yani wewe umekuja mara moja Arusha na umeshatoa hukumu, ungekuwa judge ninge kuunganisha kwenye wale majaji wa aliowasema mh Tundullisu .

Hata ujui kiini cha matatizo ya Wafanya biashara Arusha:

Niliandika haya nitapigwa madongo

Kurekebishana: Lema badilika
Mimi ni kijana ambaye kwa sasa nina makazi nje ya nchi lakini ni kijana niliyekulia Arusha. Nilipoenda Arusha mwezi wa tatu kuna vitu ambavyo sijafurahia. Kwanza ni kile kitendo cha Lema kuwaambia watu sokoni wafanye wanachotaka na hivyo kufanya watu kuanza kuuza vitu barabarani bila utaratibu wa mji.

Pamoja na kuwa na demokrasia haina maana watu wa mipango ya mji wapuuzwe ni lazima kuwe na utaratibu wa kufanya biashara na kufungua vigenge. Vilevile kuhusu sehemu nyingine za maandeleo kama sehemu za kujenga masoko ya kisasa na miji ya kisasa. Ni kweli kwamba kama mbunge Lema anatakiwa kuhakikisha hakuna kufukuzwa watu kwenye maeneo lakini ni lazima vilevile Lema ahakikishe ujenzi na maendeleo ya mji wa kitalii Arusha unafanyika.

Malalamiko ya wananchi ni muhimu lakini huwezi kufurahisha kila mtu mmoja mmoja utakiwa uangalie Project na manufaa ya Arusha kwa ujumla. Vilevile Lema unatakiwa ujihusishe zaidi kwenye kutangaza Arusha nje ya nchi, kwenye balozi, na kufanya kazi na wizara ya utalii maana wana zile contact za groups za kifaifa za wageni lakini sijawahi kukusikia unafanya chochote. Kwenye Meeting ya Diaspora ya Marekani na uingereza ungekuja kutangaza Arusha maana wewe ni mbunge wa mji ambao unategemea utalii lakini sijakuona mwaka jana pale Virginia ingawa kulikuwa na watu wengi wa kampuni ya utalii.

Sijawahi kusikia Lema unafanya mkutano na wafanyabishara wote wa Utalii na biashara nyinginge Arusha na kuwauliza shida zao ni zipi Arusha ni mji wa biashara hivyo huwezi kuongelea chadema pekee.

Pamoja na ukweli kwamba umefanya kazi nzuri ya kueneza chama Arusha ni wakati wa kuongea biashara na kusaidia kuleta maendeleo Arusha.​
 
Lema anatakiwa kufanya kazi kusaidia Arusha kiuchumi hii ikiwa ni pamoja na kutangaza Arusha kwa watalii na kuongea na wafanyabiashara na kujadiliana shughuli mbalimbali za maendeleo. Kuelendeleza chama ni muhimu lakini Lema anatakiwa kufanya hizi shughuli pia. Arusha ni mji wa wafanyabiashara wadogowadogo na uchumi ukiwa duni unamuumiza kila mwana Arusha. Kama kuna mtu anajua Lema kafanya lini mikutano na wafanyabishara na kusikiliza malalamiko yao naomba aweke hapa
 
Mtoa mada ndiye kasihiwa sera ndiyo maana anakuja hapa kulia kabla hajatandikwa. Yaani mtoto wa miaka minne ana akili kuliko wewe!
 
Point of correction

sisi wana arusha ndo tunamtaka lema,na ndo maana tukamchagua na kura zetu zikaibiwa na ccm.
Ila siku zote hakhaipotei inacheleweshwa tu.
 
Ndungu wana Jr. nashangazwa sana na sera ya Chadema na mwendelezo wake hadi sasa wamepoteza mwelekeo. Awali ya yote huwa nawambia Chama hiki kipo after maslahi ya wachache, baada ya kugunduwa Ndg; Godbless Lema ameshindwa kwenye kesi aliyokata rufaa sasa mawazo yao yote yamehamia Arusha. Jiulize ni kwa nini ARUSHA na si kwingineko? sababu kubwa Arusha watalii wanaingia wengi hivyo kipato kipo, pamoja na wavuta ............... wa machimbo wapo kwa wingi. Mbona Tanga baada ya kutishwa na kijana wa Makamba wamekuwa kimya au hawakusikia alicho sema?

Nauliza tu hivi vyama vingine havina mpango wa Uchaguzi ndani ya vyama vyao? kwani kila kukicha CCM imekuwa hivi !!!!!!!!!, au ndo kusema waliopo hakuna wakuwatoa?

Cha ajabu sana Chadema wamefuata nyayo ya CCM kwa kutumia mtandao wa sms kutumia watu ujumbe hata wasiowahusu.(( Nanukuu ujumbe niliotumiwa hivi punde; HATARI! Angalia, watoto wa vigogo waliopita UVCCM ngazi ya taifa DICKSON MEMBE, FRED LOWASA, RIDHIWANI KIKWETE, ASHURA HUSSEIN MWINYI, BENY SAMWEL SITA, DEBORA MWANDOSYA, IREN PINDA, FELSTER NDUGAI, CHRISTOFER NDEJEMBI, SHARIFER BILALY, HAWA KIGODA, JUDITH MUKAMA NA JALOME MSEKWA. Nchi hii imekwisha. Inatia hasira, wacha watoto wa maskini tupambane kupitia mlango mwingine ''CHADEMA'' ili kutete maskini wenzetu, wazazi na watoto zetu! Vita Hii Inaanza Sasa! Upatapo meseji hii , tuma kwa WAZALENDO wenzako 5 )) Mwisho wa kunukuu.

Je CHADEMA kuna ngugu wa viongozi wangapi hadi sasa au ndo huwa sielewi tena ngazi kubwa kabisa? Mfano Dr. Slaa Mkewe mtelekezwa ni Mb wa kuteuliwa, ambapo mteuaji mkubwa ni Dr. Slaa mwenyewe, Wakili maarufu wa kuongea sana na Mwanasheria Mkuu mtarajiwa Dada yake naye ni Mb wa kuteuliwa. Wapo wengi sana lakini vyanini wakati wote wanashibisha matumbo yao kwa kutumia udhaifu huu wa kuto kufikilia mbali, na kutegemea mawazo dhaifu kama haya.

Chadema kimekuwa kinavuta watu kwa nguvu kuingia kwenye Chama, bila kujua madhara yake makubwa ya baadae, Mfano Kiongo anasimama anasema VUA GAMBA VAA GWANDA. Fikilia huyu unayemvuta aliko sasa unamponda je akija huku utamwosha na Omo ili atakate ama atakuja kuendeleza ufisadi?


Nawasilisha TUUNGANE KUJENGA NCHI SIYO KUBOMOA
Mbona hueleweki> umeishiwa kabisa rudisha hiyo pochi kwa NEPI. Umeshindwa kazi uliyotumwa wewe ni Kilaza tu!!
 
CHADEMA AU CHADEMONSTRATIONS??JANGA LA TAIFA HILI LICHAMAA
:peace::laugh::boxing::boxing:
 
Back
Top Bottom