Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,328
Hivi unamgomeaje Tendwa halafu unaendelea na kazi za kisiasa? Si uache siasa kabisa basi.
Leo umeongea pumba iliyo pitiliza! Kwa hiyo Tendwa akigomewa siasa haifanyiki?! Yeye ni mlezi anaye lea kilicho mshinda kulea hakuna mahusiano na kuacha kufanya kazi ya siasa. In reverse, wewe ukipigwa kibuti na mwanaume una ng'oa kabisa sehemu zako za siri kwa vile huna tena kidume cha kuendeleza?
Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.