E. J. Magarinza Member Jan 13, 2011 37 10 May 11, 2011 #1 CHADEMA hatimaye wafungua rasmi tawi CBE DODOMA. Viongozi waliochaguliwa ni hawa hapa...
Omuregi Wasu JF-Expert Member May 21, 2009 749 148 May 11, 2011 #2 hONGEREA sana viongozi wapya wa CBE DODOMa. Timizeni wajibu wenu kwa uadilifu. Tuko nanyi. Hakikisheni Chama kinakua na kupanuka.
hONGEREA sana viongozi wapya wa CBE DODOMa. Timizeni wajibu wenu kwa uadilifu. Tuko nanyi. Hakikisheni Chama kinakua na kupanuka.
Mtu wa Pwani JF-Expert Member Dec 26, 2006 4,184 671 May 11, 2011 #3 ndio hawa ? kazi mnayo, picha inaeleza mengi
Edson Zephania JF-Expert Member Apr 8, 2011 517 112 May 11, 2011 #5 E. J. Magarinza said: CHADEMA hatimaye wafungua rasmi tawi CBE DODOMA. Viongozi waliochaguliwa ni hawa hapa... View attachment 29774 Click to expand... naomba nikutane na mwenyekit au katibu if pocbl. Ni PM tupange jins ya kukutana.
E. J. Magarinza said: CHADEMA hatimaye wafungua rasmi tawi CBE DODOMA. Viongozi waliochaguliwa ni hawa hapa... View attachment 29774 Click to expand... naomba nikutane na mwenyekit au katibu if pocbl. Ni PM tupange jins ya kukutana.
F FUSO JF-Expert Member Nov 19, 2010 31,635 37,848 May 11, 2011 #6 Huyu wa mwisho kushoto ni kiongozi kweli? duh...looks to be nervous!!