kwa umati huo lazima magamba wamesalute mbaya ila mbona kama naona kusika dola ni ngumu sana kwa jinsi ambavyochadema wanafanya ningependelea hayo yote yangefanyika 2014?
Watu wamesha jua na kwakuwa kujiandikisha kutafanyika tena naamini watu wengi sana watajiandikisha.....Tujihadhali isije ikawa umati wa wapambe wasio piga kura!!!
Tujihadhali isije ikawa umati wa wapambe wasio piga kura!!!